Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Spika wa Bunge Kuwait: Israel inapaswa kutengwa kimataifa

    Spika wa Bunge Kuwait: Israel inapaswa kutengwa kimataifa

    Mar 23, 2017 11:45

    Spika wa Bunge la Kuwait, Marzouq Al-Ghanim, amelaani siasa za kibaguzi za utawala haramu wa Israel na kusisitiza udharura wa kutengwa utawala huo katika Jumuiya ya Kimataifa ya Mabunge.

  • Wapalestina waandamana kulaani ukatili wa Israel

    Wapalestina waandamana kulaani ukatili wa Israel

    Mar 19, 2017 00:56

    Mamia ya Wapalestina wameshiriki katika mazishi ya kiijana aliyeuawa kwa kupigwa risasia na vikosi vya utawala wa Kizayuni wa Israel katika mji wa Al Khalil huko Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Jeshi la Syria latungua ndege ya kivita ya Israel wakati ikiwasaidia lSIS, lsrael yapatwa na wasi wasi mkubwa

    Jeshi la Syria latungua ndege ya kivita ya Israel wakati ikiwasaidia lSIS, lsrael yapatwa na wasi wasi mkubwa

    Mar 17, 2017 15:09

    Komandi kuu ya jeshi la Syria imetangaza kuwa kikosi cha anga cha jeshi la nchi hiyo kimetungua ndege ya kivita ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel wakati ilipokuwa katika safari yake kuelekea mji wa Palmyra, magharibi mwa mji wa Homs kuwasaidia magaidi walioshindwa wa Daeish.

  • Guterres aamuru kufutwa ripoti ya Apartheid kuhusu Israel

    Guterres aamuru kufutwa ripoti ya Apartheid kuhusu Israel

    Mar 17, 2017 12:53

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameamuru kufutwa ripoti ya ESCWA kuhusu siasa za ubaguzi za utawala haramu wa Israel. Hatua hiyo ya Antonio Guterres imechukuliwa kutokana na mashinikizo ya waitifaki wa utawala huo ghasibu.

  • Kufichuka ushirikiano mkubwa baina ya Israel na magaidi wakufurishaji

    Kufichuka ushirikiano mkubwa baina ya Israel na magaidi wakufurishaji

    Mar 16, 2017 23:28

    Ripoti zimeenea kuhusu ushirikiano mkubwa uliopo baina ya utawala wa Kizayuni wa Israel na magaidi wenye misimamo mikali ya ukufurishaji.

  • Silaha za nyuklia za utawala wa Kizayuni ni tishio kwa usalama wa dunia

    Silaha za nyuklia za utawala wa Kizayuni ni tishio kwa usalama wa dunia

    Mar 10, 2017 00:45

    Mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) amesema silaha za nyuklia za utawala wa Kizayuni wa Israel ni tishio kwa amani na usalama wa kimataifa na ametaka wakala huo uchunguze na kufuatilia kwa uzito mkubwa mpango wa silaha za nyuklia wa utawala huo.

  • Israel yaidhinisha sheria ya kupiga marufuku Adhana

    Israel yaidhinisha sheria ya kupiga marufuku Adhana

    Mar 09, 2017 00:38

    Bunge la Utawala wa Kizayuni wa Israel, Knesset, limepitisha rasimu ya sheria ya kupiga marufuku adhana katika misikiti yote iliyopo katika mji mtakatifu wa Quds unaokaliwa kwa mabavu.

  • Hamas: Tutaendeleza mapambano ya mtutu wa bunduki dhidi ya utawala wa Kizayuni

    Hamas: Tutaendeleza mapambano ya mtutu wa bunduki dhidi ya utawala wa Kizayuni

    Mar 05, 2017 12:55

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina imesisitiza kuwa itaendeleza mapambano ya mtutu wa bunduki dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel unaoikalia Quds kwa mabavu.

  •  Amir-Abdollahian: Waislamu wanaunga mkono azimio la kupinga vitongoji vya walowezi wa Kizayuni Palestina

    Amir-Abdollahian: Waislamu wanaunga mkono azimio la kupinga vitongoji vya walowezi wa Kizayuni Palestina

    Mar 02, 2017 04:16

    Katibu Mkuu wa Mkutano wa Kimataifa wa Kuunga Mkono Palestina amesema kuwa, nchi za Kiislamu kwa pamoja zinaunga mkono azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa la kupinga ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi unaofanywa na utawala haramu wa Israel huko Palestina.

  • Mbinu mpya za Israel za kuwaua viongozi wa Hizbullah na Hamas

    Mbinu mpya za Israel za kuwaua viongozi wa Hizbullah na Hamas

    Feb 26, 2017 23:17

    Naibu Waziri wa Ushirikiano wa utawala wa Kizayuni amewatishia viongozi wa Hizbullah ya Lebanon na wale wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS kuwa Israel itatumia mbinu mpya za kuwaua.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS