-
Mashambulizi ya Ndege zisizo na Rubani za Israel kwenye kambi ya Noor Shams
Jul 03, 2024 22:49Ripoti zinasema kuwa, Wapalestina wanne wameuawa shahidi katika shambulio la ndege zisizo na rubani za Israel kwenye kambi ya Noor Shams kwenye Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Bagheri: Lebanon itakuwa jahanamu kubwa kwa Israel
Jul 03, 2024 08:19Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, bila ya shaka yoyote Lebanon itakuwa jahanamu kubwa sana kwa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Kan'ani: Kukaa kimya mkabala wa jinai za Wazayuni ni mbali na ubinadamu
Jul 02, 2024 08:27Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa kunyamaza kimya jamii ya kimataifa mkabala wa jinai za Wazayuni huko Ukanda wa Gaza ni mbali na utu na ubinadamu.
-
Zaidi ya waandishi wa habari 150 wameshauawa shahidi katika vita vya Gaza
Jul 02, 2024 02:15Ofisi ya upashaji habari ya serikali ya Gaza huko Palestina imetangaza kuwa, zaidi ya waandishi wa habari 150 wameshauawa shahidi kwenye ukanda huo tangu utawala wa Kizayuni ulipoanzisha mashambulizi ya pande zote, Oktoba 7, 2023.
-
Hamas: Kitendo cha Israel cha kuwatumia mateka kama ngao za binadamu ni uhalifu wa kivita
Jul 01, 2024 03:32Mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas); Izzat al-Rashq amesema kuwa, hatua ya utawala wa Kizayuni ya kuwatumia mateka kama ngao za binadamu ni jinai ya kivita.
-
Wazayuni washambulia mahema ya wakimbizi wa Kipalestina kusini mwa Gaza
Jun 29, 2024 08:17Wanajeshi wa utawala haramu wa Israel waliokuwa wamejizatiti kwa vifaru wamevamia mahema ya wakimbizi wa Kipalestina katika eneo la al Mawasi kaskazini magharibi mwa Rafah, kusini mwa Ukanda wa Gaza.
-
Balozi wa utawala wa Kizayuni aitwa katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Uholanzi, kuhusu ujasusi dhidi ya mahakama ya ICC
Jun 27, 2024 02:41Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Uholanzi imesema imemwita wizarani humo balozi wa utawala ghasibu wa Israel baada ya kuchapishwa habari kuhusu uwezekano wa kupenya Wazayuni katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) ya mjini Hague.
-
Kuendelea mivutano kati ya Netanyahu na jeshi la Kizayuni
Jun 25, 2024 08:51Vita vya Gaza vimeingia katika mwezi wa tisa huku mizozo na mivutano kati ya Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, na maafisa wa kijeshi wa utawala wa Kizayuni ikiendelea kushika kasi.
-
Balozi wa utawala wa Kizayuni atimuliwa Colombia
Jun 24, 2024 03:34Balozi wa Israel ametimuliwa nchini Colombia baada ya Bogota kuvunja uhusiano wake wa kidiplomasia na utawala wa Kizayuni kutokana na mashambulizi na jinai zisizokwisha za Israel dhidi ya wananchi madhulumu wa Palestina hasa wa Ukanda wa Ghaza.
-
Jibu la Hizbullah litaurejesha utawala wa Israel katika Zama za Mawe
Jun 23, 2024 04:07Kituo cha Taarifa za Vita cha Hizbullah ya Lebanon kimetangaza kuwa, shambulio kali la harakati hiyo ya muqawama dhidi ya vituo nyeti vya utawala wa Kizayuni, ambavyo vinajulikana tu na vyombo vya usalama vya utawala huo, litairejesha Israel katika zama za mawe.