Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Mgogoro ulioanzishwa na utawala wa Kizayuni; matokeo ya utawala wa Netanyahu na baraza lake la mawaziri

    Mgogoro ulioanzishwa na utawala wa Kizayuni; matokeo ya utawala wa Netanyahu na baraza lake la mawaziri

    Apr 15, 2024 22:43

    Kanali ya 12 ya utawala wa Kizayuni imesema kwenye tovuti yake kwamba Netanyahu ni mwongo na kwamba ameuletea madhara makubwa ya kiusalama utawala ghasibu wa Israel kwa kushindwa kijeshi katika Ukanda wa Gaza, kuzusha migogoro mbalimbali katika eneo na kuwa leo hii utawala huo unakabiliwa na matatizo ya pande zote.

  • Bunge la Iraq: Jibu la Iran kwa Israel ni haki halali

    Bunge la Iraq: Jibu la Iran kwa Israel ni haki halali

    Apr 15, 2024 04:31

    Naibu Spika wa Bunge la Iraq amesema kuwa hatua ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ya kuurushia makombora na ndege zisizo na rubani (droni) utawala wa Kizayuni ni haki ya kimaumbile na iliyostahiki.

  • Shehena ya mbolea ya kemikali iliyotengenezwa na utawala wa Kizayuni yakamatwa kaskazini magharibi mwa Iran

    Shehena ya mbolea ya kemikali iliyotengenezwa na utawala wa Kizayuni yakamatwa kaskazini magharibi mwa Iran

    Apr 15, 2024 04:29

    idara ya Forodha ya Iran imetangaza kuwa imezuia shehena ya mbolea ya kemikali iliyotengenezwa katiika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) iliyokuwa ikisafirishwa huko kaskazini magharibi mwa Iran.

  • UNRWA: Watu wa kaskazini mwa Gaza wanakabiliwa na njaa

    UNRWA: Watu wa kaskazini mwa Gaza wanakabiliwa na njaa

    Apr 15, 2024 01:09

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Misaada ya Kibinadamu kwa Wapalestina (UNRWA) limetangaza kuwa misaada ya kibinadamu kwa familia za Wapalestina wanaoishi Ukanda wa Gaza haikidhi hata mahitaji yao ya kiwango cha chini kabisa.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Iran haitasita kulinda maslahi yake

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Iran haitasita kulinda maslahi yake

    Apr 15, 2024 01:00

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haitasita wala kuwa na shaka katika kulinda maslahi yake halali dhidi ya uchokozi wowote mpya.

  • Rais Raisi: Hatua yoyote ya kifidhuli itakabiliwa na jibu kali zaidi la Iran

    Rais Raisi: Hatua yoyote ya kifidhuli itakabiliwa na jibu kali zaidi la Iran

    Apr 14, 2024 07:42

    Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema iwapo utawala wa Kizayuni wa Israel utafanya harakati yoyote ya kifidhuli utakabiliwa na jibu madhubuti, zito na kali zaidi.

  • HAMAS: Shambulio la Iran ni haki ya kimaumbile na jibu linalostahiki dhidi ya Israel

    HAMAS: Shambulio la Iran ni haki ya kimaumbile na jibu linalostahiki dhidi ya Israel

    Apr 14, 2024 07:41

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema, shambulio lililofanywa na Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) dhidi ya utawala wa Kizayuni ni jibu la kimaumbile na linalostahiki.

  • Hatua ya kijeshi ya Iran dhidi ya  utawala wa Kizayuni; mfano halisi wa

    Hatua ya kijeshi ya Iran dhidi ya utawala wa Kizayuni; mfano halisi wa "kujitetea halali"

    Apr 14, 2024 07:10

    Katika kujibu shambulio la utawala wa Kizayuni dhidi ya ubalozi mdogo wa Iran huko Damascus, mji mkuu wa Syria, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran alfajiri ya Jumapili ya leo tarehe 14 April 2024 imefanya mashambulizi ya moja kwa moja ya ndege zisizo na rubani na makombora katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu (Israel).

  • Khalid Mash'al: Karibuni hivi, vita vya miezi sita vitamvunja adui Mzayuni

    Khalid Mash'al: Karibuni hivi, vita vya miezi sita vitamvunja adui Mzayuni

    Apr 13, 2024 23:01

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya ughaibuni ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS Khaled Mash'al, amepongeza istiqama ya kishujaa ya Ukanda wa Ghaza na kusisitiza kuwa vita vya miezi sita wanavyopigana Wapalestina na utawala wa Kizayuni wa Israel "karibuni hivi vitamvunja adui Mzayuni".

  • Kukiri Wazayuni kuhusu uwezo mkubwa wa kistratijia wa Iran

    Kukiri Wazayuni kuhusu uwezo mkubwa wa kistratijia wa Iran

    Apr 13, 2024 22:59

    Viongozi wa utawala wa Kizayuni wamekiri kutokuwa na uwezo wa kukabiliana na nguvu na uwezo mkubwa wa kistratijia wa Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS