Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • DCI: Mwaka 2023 ndio mwaka umbaya zaidi kwa watoto wa Kipalestina

    DCI: Mwaka 2023 ndio mwaka umbaya zaidi kwa watoto wa Kipalestina

    Jan 11, 2024 23:14

    Kundi la kimataifa linalofanya kazi katika uwanja wa kulinda watoto duniani limeutaja mwaka 2023 kuwa mwaka wa mauaji ya kimbari ya watoto wa Kipalestina huko Gaza.

  • Kuanza kusikilizwa mashtaka ya Afrika Kusini katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki dhidi ya utawala wa Kizayuni

    Kuanza kusikilizwa mashtaka ya Afrika Kusini katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki dhidi ya utawala wa Kizayuni

    Jan 11, 2024 23:11

    Mahakama ya Kimataifa ya Haki yenye makao makuu yake mjini The Hague Uholanzi Alhamisi na Ijumaa inasikiliza na kukusanya mitazamo ya kisheria ya Afrika Kusini na utawala wa Kizayuni kuhusu kesi ya mauaji ya kimbari katika Ukanda wa Gaza. Moja ya shughuli za mahakama hiyo ni kushughulikia mashtaka yanayohusiana na Mkataba wa Mauaji ya Kimbari wa 1948. Mkataba huo unatambuliwa rasmi na nchi 153.

  • Ugaidi, mbinu ya Israeli ya kukwepa fedheha ya kushindwa kijeshi

    Ugaidi, mbinu ya Israeli ya kukwepa fedheha ya kushindwa kijeshi

    Jan 10, 2024 07:41

    Kushindwa Israel kufikia malengo ya kijeshi katika medani ya vita huko Gaza kumeifanya kugeukia mbinu ya kuwaua kigaidi makamanda wa makundi ya muqawama.

  • Kuondoka askari wa utawala wa Kizayuni kaskazini mwa Gaza; matokeo ya kusimama kidete muqawama

    Kuondoka askari wa utawala wa Kizayuni kaskazini mwa Gaza; matokeo ya kusimama kidete muqawama

    Jan 09, 2024 05:29

    Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limethibitisha habari za kuondoka askari wake kutoka kaskazini mwa Gaza, ambapo kuondoka huko ni kukamilishwa kwa mpango wa makundi ya muqawama wa Palestina wa kulishinda jeshi vamizi.

  • Wananchi wa Uingereza wataka kufukuzwa balozi wa Israel mjini London

    Wananchi wa Uingereza wataka kufukuzwa balozi wa Israel mjini London

    Jan 09, 2024 04:18

    Wananchi wa Uingereza wametia saini waraka, wakitaka kufukuzwa balozi wa utawala wa Kizayuni wa Israel mjini London kwa sababu ya kuunga mkono mauaji ya kimbari katika Ukanda wa Gaza.

  • Kutofautiana Baraza la Mawaziri la Israel kuhusu kutawaliwa Gaza baada ya vita

    Kutofautiana Baraza la Mawaziri la Israel kuhusu kutawaliwa Gaza baada ya vita

    Jan 09, 2024 03:09

    Baraza la Mawaziri la utawala wa Kizayuni linakabiliwa na mizozo mingi, mojawapo ikiwa ni jinsi ya kuendeshwa masuala ya Gaza baada ya kumalizika vita.

  • Kukwepa uwajibikaji na kimya cha Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa kuhusiana na jinai za utawala wa Kizayuni huko Gaza

    Kukwepa uwajibikaji na kimya cha Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa kuhusiana na jinai za utawala wa Kizayuni huko Gaza

    Jan 08, 2024 08:41

    Katika kuendeleza misimamo inayozusha mizozo ya nchi za Magharibi, Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa amepuuza jinai zinazotekelezwa na utawala wa Kizayuni huko Gaza na kudai kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inapaswa kukomesha vitendo vyake vinavyovurunga amani na uthabiti wa eneo.

  • Yemen: Oparesheni dhidi ya utawala wa Kizayuni zinaendelea

    Yemen: Oparesheni dhidi ya utawala wa Kizayuni zinaendelea

    Jan 08, 2024 00:10

    Mwakilishi wa Ofisi ya Kisiasa ya Serikali ya Wokovu wa Kitaifa ya Yemen amesisitiza kuwa jeshi la nchi hiyo litaendelea kutekeleza oparesheni dhidi ya utawala wa Kizayuni katika Bahari ya Sham na katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na utawala huo (Israel).

  • Maripota wengine 2 wauawa shahidi katika shambulio la anga la Israel  Ukanda wa Gaza

    Maripota wengine 2 wauawa shahidi katika shambulio la anga la Israel Ukanda wa Gaza

    Jan 08, 2024 00:08

    Jeshi la Israel mapema jana Jumapili lilifanya mashambulizi ya anga huko Rafah na kuishambulia gari iliyokuwa imewabeba maripota wawili wa Palestina huko kusini mwa Gaza na kuwauwa shahidi waandishi habari wawili wa Palestina.

  •  Onyo la Umoja wa Mataifa kuhusu uhaba wa misaada ya kibinadamu Ukanda wa Gaza

    Onyo la Umoja wa Mataifa kuhusu uhaba wa misaada ya kibinadamu Ukanda wa Gaza

    Jan 06, 2024 04:07

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, wakimbizi walioingia katika mji wa Rafah tangu kuanza hujuma ya utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza wamefikia takriban watu milioni moja.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS