Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uturuki

  • Russia yatiwa wasi wasi na mashambulizi ya magaidi katika mkoa wa Idlib, Syria

    Russia yatiwa wasi wasi na mashambulizi ya magaidi katika mkoa wa Idlib, Syria

    Feb 04, 2020 04:45

    Serikali ya Russia imetoa radiamali yake kufuatia baadhi ya ripoti zinazohusu kushambuliwa askari wa Uturuki katika operesheni zinazofanywa na askari wa Syria.

  • Tisho la Erdoğan kuishambulia kijeshi Syria

    Tisho la Erdoğan kuishambulia kijeshi Syria

    Feb 03, 2020 02:29

    Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki ametishia kuishambulia kijeshi Syria.

  • Ripoti ya Independent: Kengele za vita zasikika zaidi katika milango ya Libya

    Ripoti ya Independent: Kengele za vita zasikika zaidi katika milango ya Libya

    Jan 29, 2020 15:05

    Ripoti iliyotolewa na gazeti la Independent la Uingereza imefichua kuwa, mapatano tete ya kusitisha vita yaliyofikiwa hivi karibuni baina ya madola makubwa mjini Berlin huko Ujerumani yanaelekea kuporomoka kutokana na mashambulizi ya anga yanayoshuhudiwa sasa nchini Libya na vitisho vinavyoendelea kutolewa na pande hasimu.

  • Mtetemeko mkubwa wa ardhi waua 19 Uturuki, Iran tayari kutuma misaada ya dharura

    Mtetemeko mkubwa wa ardhi waua 19 Uturuki, Iran tayari kutuma misaada ya dharura

    Jan 25, 2020 04:49

    Mtetemeko mkubwa wa ardhi umetikisa mkoa wa Elazig mashariki mwa Uturuki na kuua watu wasiopungua 19 na kupelekea wengine wengi kujeruhiwa na idadi kubwa ya nyumba kubomoka.

  • Ankara: Uturuki haitatuma askari wala silaha nchini Libya

    Ankara: Uturuki haitatuma askari wala silaha nchini Libya

    Jan 24, 2020 09:38

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki amesema kwamba kwa mujibu wa mapatano yaliyofikiwa katika mkutano wa Berlin nchini Ujerumani, Uturuki haitatuma tena askari wala silaha huko Libya.

  • Uturuki yaanza kutuma vikosi vya jeshi lake nchini Libya

    Uturuki yaanza kutuma vikosi vya jeshi lake nchini Libya

    Jan 06, 2020 08:00

    Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amesema vikosi vya jeshi la nchi hiyo vimeanza kuelekea nchini Libya, kushirikiana na Serikali ya Muafaka wa Kitaifa Libya (GNA) inayoongozwa na Waziri Mkuu Fayez al-Sarraj.

  • Bunge la Uturuki laidhinisha kutumwa askari wa nchi hiyo Libya

    Bunge la Uturuki laidhinisha kutumwa askari wa nchi hiyo Libya

    Jan 03, 2020 02:53

    Bunge la Uturuki limepasisha muswada wa sheria inayoruhusu kutumwa wanajeshi wa nchi hiyo huko Libya.

  • Uturuki: Hatutapeleka askari Libya ikiwa vikosi vya Haftar vitasitisha mashambulio dhidi ya Tripoli

    Uturuki: Hatutapeleka askari Libya ikiwa vikosi vya Haftar vitasitisha mashambulio dhidi ya Tripoli

    Jan 02, 2020 03:53

    Makamu wa Rais wa Uturuki Fuat Oktay amesema, nchi yake haitapeleka askari Libya ikiwa vikosi vya kundi linalojiita Jeshi la Taifa la Libya (LNA) linaloongozwa na Khalifa Haftar vitasitisha mashambulio dhidi ya mji mkuu wa nchi hiyo Tripoli.

  • Arab League yaonya juu ya kutumwa majeshi ajinabi Libya

    Arab League yaonya juu ya kutumwa majeshi ajinabi Libya

    Jan 01, 2020 08:00

    Jumuiya ya Nchi za Kiarabu imeziasa pande hasimu za kisiasa nchini Libya kujiepusha na hatua yoyote ambayo itachochea kutumwa vikosi vya nchi za kigeni katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Khalifa Haftar anajaribu kueneza wigo wa kimataifa wa mgogoro wa Libya

    Khalifa Haftar anajaribu kueneza wigo wa kimataifa wa mgogoro wa Libya

    Jan 01, 2020 07:52

    Baada ya kupinduliwa utawala wa Muammar Gaddafi huko Libya mwaka 2011, nchi hiyo ilitumbukia katika vita vya ndani na hivi sasa kuna serikali mbili hasimu, moja ya mashariki na nyingine ya magharibi mwa nchi hiyo ambapo vikosi vya pande hizo mbili vinaendelea kupigana,

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS