• Kupunguzwa wanajeshi wa Sudan katika vita vya Yemen

    Kupunguzwa wanajeshi wa Sudan katika vita vya Yemen

    Dec 09, 2019 11:07

    Wanajeshi wa Sudan ni miongoni mwa askari vamizi wanaoendesha mauaji dhidii ya Waislamu wa Yemen tangu Saudi Arabia ilipoivamia nchi hiyo ya Kiarabu takriban miaka mitano iliyopita. Baada ya kupita miaka yote hiyo ya jinai dhidi ya wananchi maskini wa Yemen, wavamizi wa nchi hiyo sasa wanakiri kwamba njia pekee ya kumaliza vita hivyo ni mazungumzo.

  • Sisitizo la Trump la kuendelea kuwepo askari wa Marekani nchini Afghanistan

    Sisitizo la Trump la kuendelea kuwepo askari wa Marekani nchini Afghanistan

    Aug 31, 2019 06:38

    Miaka 18 iliyopita Marekani iliishambulia na kuivamia kijeshi Afghanistan na kisha ikaikalia kwa mabavu nchi hiyo kwa kisingizio cha kulipiza kisasi cha mashambulio ya Septemba 11, mwaka 2001 na pia kupambana na ugaidi nchini humo. Wakati rais wa sasa wa Marekani Donald Trump alipokuwa kwenye kampeni za uchaguzi wa urais mwaka 2016 na baada ya kuingia Ikulu ya White House aliahidi kwamba atawaondoa askari wa nchi hiyo walioko Syria na Afghanistan, hata hivyo hadi sasa amehalifu ahadi yake hiyo.

  • Jitihada za Marekani za kuzidisha mivutano katika eneo la Asia  magharibi

    Jitihada za Marekani za kuzidisha mivutano katika eneo la Asia magharibi

    May 26, 2019 02:25

    Rais Donald Trump wa Marekani tangu aingie madarakani amekuwa akitoa zingatio makhusi kwa eneo la Asia Magharibi na khususan eneo la Ghuba ya Uajemi; na hata safari yake ya kwanza nje ya nchi ilikuwa nchini Saudi Arabia, ili kuonyesha umuhimu wa eneo hili katika siasa za nje za Marekani na nafasi ya washirika wa Washington katika eneo. Bila shaka Trump mara kadhaa amekuwa akiutaja utawala wa Saudia kuwa ni ng'ombe wa kukamwa.

  • Jeshi la Saudia laua raia watano katika eneo la Qatif

    Jeshi la Saudia laua raia watano katika eneo la Qatif

    Feb 03, 2019 15:55

    Jeshi la Saudi Arabia limehujumu mji WA Qatif katika mkoa wa Ash-Sharqiyyah na kuua raia watano na kuwajeruhi wengine kadhaa.

  • Marekani yapanua kisiri uwepo wake wa kijeshi Tunisia

    Marekani yapanua kisiri uwepo wake wa kijeshi Tunisia

    Sep 25, 2018 02:24

    Ripoti mpya imefichua kuwa Marekani imekuwa ikipanua kisiri uwepo wake wa kijeshi nchini Tunisia, licha ya upinzani kusisitiza kuwa kitendo hicho ni uingiliaji wa masuala ya ndani na kukanyaga uhuru wa kujitawala nchi hiyo.

  • Marekani yapanua uwepo wake wa kijeshi barani Afrika

    Marekani yapanua uwepo wake wa kijeshi barani Afrika

    Apr 25, 2018 05:38

    Marekani imetangaza kuwa inajenga kituo cha ndege zisizo na rubani (drone) za kijeshi nchini Niger kwa shabaha eti ya kukabiliana na makundi ya kigaidi.

  • Ung'ang'anizi wa Marekani wa kuendelea kuweko wanajeshi wake nchini Iraq

    Ung'ang'anizi wa Marekani wa kuendelea kuweko wanajeshi wake nchini Iraq

    Mar 25, 2018 02:19

    Msemaji wa komandi ya operesheni za kijeshi ya Marekani huko magharibi mwa Iraq amedai kuwa bado kuna udharura wa kuweko wanajeshi wa nchi hiyo katika eneo hilo.

  • Juhudi za Ulaya kuzidisha uingiliaji wa kijeshi barani Afrika

    Juhudi za Ulaya kuzidisha uingiliaji wa kijeshi barani Afrika

    Jan 19, 2018 13:21

    Ikiwa ni katika mkondo wa kudumisha uingiliaji wa nchi za Magharibi barani Afrika, serikali za Italia na Uingereza zimeazimia kuimarisha uwepo wao wa kijeshi katika baadhi ya nchi za bara hilo.

  • Kuongezeka majeshi ya nchi kubwa barani Afrika

    Kuongezeka majeshi ya nchi kubwa barani Afrika

    Jan 12, 2018 04:50

    Hatari ya kueneza zaidi ugaidi barani Afrika ndiyo kisingizio kinachotumiwa sasa na nchi kubwa hususan za Magharibi kwa ajili ya kuhalalisha kuwepo kwa majeshi ya nchi hizo barani Afrika na hilo linaonekana zaidi katika matamshi ya Rais Emanuel Macron wa Ufaransa aliyeiomba China kushirikiana na nchi za kundi la Sahil huko Afrika.

  • Amir wa Qatar awaonya wanaofanya njama za kuishambulia kijeshi nchi yake

    Amir wa Qatar awaonya wanaofanya njama za kuishambulia kijeshi nchi yake

    Oct 29, 2017 15:55

    Amir wa Qatar, Tamim Bin Hamad al-Thani ameonya kuwa, hatua yoyote ya kijeshi dhidi ya nchi hiyo ndogo ya Ghuba ya Uajemi italitumbukiza eneo zima la Mashariki ya Kati katika machafuko.