Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Venezuela

  • Korea Kaskazini yalaani vikali uingiliaji wa Marekani nchini Venezuela

    Korea Kaskazini yalaani vikali uingiliaji wa Marekani nchini Venezuela

    Feb 04, 2019 13:55

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Korea Kaskazini imetoa taarifa inayolaani uungaji mkono wa nchi za Magharibi zikiongozwa na Marekani kwa Juan Gerardo Guaidó kiongozi wa upinzani aliyejitangaza kuwa rais wa muda wa Venezuela na uingiliaji wa nchi hizo katika nchi hiyo na kusema kuwa kitendo hicho ni ukiukaji wa kuchupa mipaka wa sheria za kimataifa.

  • Maduro: Venezuela ina Rais mmoja tu

    Maduro: Venezuela ina Rais mmoja tu

    Feb 04, 2019 07:49

    Rais Nicolas Maduro wa Venezuela amesema kuwa, nchi hiyo ina Rais mmoja tu na kwamba kitendo cha kiongozi wa kambi ya upinzani cha kujitangazia urais nchini humo, ni kinyume kabisa cha katiba.

  • Pendekezo la Rais Maduro la kufanyika uchaguzi wa kabla ya wakati nchini Venezuela

    Pendekezo la Rais Maduro la kufanyika uchaguzi wa kabla ya wakati nchini Venezuela

    Feb 04, 2019 07:43

    Venezuela ambayo ni nchi ya Latin America kwa miaka kadhaa sasa imekuwa ikikabiliwa na machafuko kutokana na kupungua bei ya nishati ya mafuta katika soko la dunia.

  • Kulegeza msimamo Marekani kuhusu vitisho vyake vya kijeshi dhidi ya Venezuela

    Kulegeza msimamo Marekani kuhusu vitisho vyake vya kijeshi dhidi ya Venezuela

    Feb 03, 2019 01:27

    Katika hali ambayo Washington na waitifaki wake wangali wanafuatilia mpango wao wa kuipindua serikali ya mrengo wa kushoto ya Venezuela; kusimama kidete na kuwa macho Rais Nicolaus Madurowa nchi hiyo na kuungwa mkono kwake na wananchi, si tu kuwa kumefelisha njama za pande hizo za kutekeleza njama zao dhidi ya Maduro bali kumeipelekea Washington pia kulegeza msimamo katika baadhi ya siasa zake.

  • Rais Rouhani: Wananchi wa Venezuela watasambaratisha njama mpya za Marekani

    Rais Rouhani: Wananchi wa Venezuela watasambaratisha njama mpya za Marekani

    Feb 02, 2019 14:43

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, wananchi wa Venezuela watasambaratisha njama mpya za Marekani kwa kudumisha umoja na kusimama kidete pamoja na serikali.

  • Kushadidishwa mashinikizo dhidi ya Venezuela

    Kushadidishwa mashinikizo dhidi ya Venezuela

    Feb 02, 2019 02:44

    Kufuatia kudhihiri mgogoro wa kisiasa wa Venezuela, nchi za Magharibi zimekuwa zikifanya juhudi kubwa za kufikia malengo yao katika nchi hiyo ya Amerika ya Latini iliyo na utajiri mkubwa wa mafuta.

  • Umoja wa Afrika watangaza kumuunga mkono Rais Nicolás Maduro wa Venezuela

    Umoja wa Afrika watangaza kumuunga mkono Rais Nicolás Maduro wa Venezuela

    Jan 31, 2019 04:43

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Venezuela imetangaza kwamba Umoja wa Afrika umesisitiza kumuunga mkono Rais Nicolás Maduro wa nchi hiyo.

  • Onyo la Russia kuhusu kuingilia kijeshi Marekani mgogoro wa Venezuela

    Onyo la Russia kuhusu kuingilia kijeshi Marekani mgogoro wa Venezuela

    Jan 30, 2019 12:54

    Matukio ya kisiasa yaliyojiri karibuni katika nchi yenye utajiri mkubwa wa mafuta ya Venezuela na makabiliano yanayozidi kupamba moto baina ya wapinzani na serikali ya mrengo wa kushoto ya nchi hiyo yameingia kwenye awamu nyeti na hasasi.

  • Russia: Nchi za Magharibi zisifikirie kuingilia kijeshi Venezuela

    Russia: Nchi za Magharibi zisifikirie kuingilia kijeshi Venezuela

    Jan 30, 2019 06:31

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia jana usiku alizitaka nchi za Magharibi kuachana na mpango, fikra au dhana yoyote kwamba ipo haja ya kuingilia kijeshi huko Venezuela.

  • China: Marekani itabeba dhima ya chochote kitakachotokea Venezuela

    China: Marekani itabeba dhima ya chochote kitakachotokea Venezuela

    Jan 29, 2019 15:00

    China sanjari na kutangaza uungaji mkono wake kwa Rais Nicolas Maduro wa Venezuela, imesema Marekani inapaswa kubebeshwa dhima kwa jambo lolote baya litakalotokea katika nchi hiyo ya Amerika ya Latini.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS