Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

vikwazo

  • Paris: Upo uwezekano wa kuiwekea vikwazo Saudi Arabia

    Paris: Upo uwezekano wa kuiwekea vikwazo Saudi Arabia

    Oct 31, 2018 21:54

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa amesema kuwa upo uwezekano Saudia ikawekewa vikwazo iwapo itakuwa imehusika katika mauaji ya mwandishi wa habari mkosoaji wa utawala wa ukoo wa Aal Saud, Jamal Khashoggi.

  • Dakta Zarif: Jamii ya Kimataifa imesimama dhidi ya vikwazo vya Marekani

    Dakta Zarif: Jamii ya Kimataifa imesimama dhidi ya vikwazo vya Marekani

    Oct 30, 2018 22:56

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, jamii ya kimataifa imesimama dhidi ya vikwazo vya Marekani kiasi kwamba, majirani na nchi za Ulaya zimesimama kidete dhidi ya hatua za upande mmoja za serikali ya Washington.

  • Ulaya yakerwa na vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran na kusisitiza kulindwa mapatano ya JCPOA

    Ulaya yakerwa na vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran na kusisitiza kulindwa mapatano ya JCPOA

    Oct 30, 2018 22:50

    Rais Donald Trump wa Marekani daima amekuwa akijaribu kuvuruga mapatano ya kimataifa yaliyofikiwa kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kundi la 5+1 kwa kisingizio kuwa ni mapatano mabaya zaidi ya kimataifa kuwahi kufikiwa na Marekani.

  • Iran yaitaka dunia iheshimu uamuzi wa ICJ dhidi ya Marekani

    Iran yaitaka dunia iheshimu uamuzi wa ICJ dhidi ya Marekani

    Oct 26, 2018 10:31

    Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amezitaka nchi zote huru duniani kufungamana na uamuzi wa hivi karibuni wa Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ), kwa kutouinga mkono Marekani kuiwekea vikwazo Tehran.

  • Marekani yashindwa kuiwekea vikwazo kamili vya kibenki Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Marekani yashindwa kuiwekea vikwazo kamili vya kibenki Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Oct 25, 2018 04:35

    Viongozi wa Marekani wamesema kuwa, serikali ya Rais Donald Trump hatimaye itairuhusu Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuweza kuendeleza mawasiliano yake ya kibenki kupitia mfumo wa SWIFT na kustafidi na huduma za utumaji fedha kimataifa.

  • Kukataliwa na madola ya Magharibi simulizi za Saudia kuhusu hekaya ya mauaji ya Khashoggi

    Kukataliwa na madola ya Magharibi simulizi za Saudia kuhusu hekaya ya mauaji ya Khashoggi

    Oct 21, 2018 23:35

    Moja ya matukio makubwa zaidi ya ukiukaji haki za binadamu kuwahi kufanywa na utawala wa Aal Saud ni la mauaji ya Jamal Khashoggi, mwandishi wa habari na mkosoaji maarufu wa utawala huo wa kifalme yaliyotokea ndani ya ubalozi wake mdogo ulioko mjini Istanbul, Uturuki.

  • Nchi za Ulaya na Asia zataka kuondolewa vikwazo Iran

    Nchi za Ulaya na Asia zataka kuondolewa vikwazo Iran

    Oct 20, 2018 04:34

    Nchi za Ulaya na Asia sanjari na kutangaza utayarifu wao wa kuendelea kufungamana na makubaliano ya nyuklia ya Iran, zimesema kuondolewa vikwazo Jamhuri ya Kiislamu ni sehemu muhimu ya mapatano hayo ya kimataifa yanayofahamika kama JCPOA.

  • Zarif: Vikwazo vipya vya US dhidi ya Iran vinakiuka maamuzi ya ICJ

    Zarif: Vikwazo vipya vya US dhidi ya Iran vinakiuka maamuzi ya ICJ

    Oct 18, 2018 10:34

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Marekani imekubuhu na ni mraibu mkubwa wa kuyawekea mataifa mengine vikwazo, na kwamba vikwazo vipya dhidi ya Tehran ni ukiukaji wa moja kwa moja kwa maamuzi ya hivi karibuni ya Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ).

  • Qassemi: Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Iran ni kuvunjia heshima sheria za kimataifa

    Qassemi: Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Iran ni kuvunjia heshima sheria za kimataifa

    Oct 17, 2018 23:48

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Iran ni kuvunjia heshima sheria na kanuni za kimataifa na hilo linatokana na chuki ya serikali ya Washington kwa taifa hili la Kiislamu.

  • Vikwazo vya kongresi ya Marekani dhidi ya Hizbullah ya Lebanon

    Vikwazo vya kongresi ya Marekani dhidi ya Hizbullah ya Lebanon

    Oct 13, 2018 08:25

    Katika kuendelea jitihada za Marekani za kukabiliana na harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon; kongresi ya nchi hiyo imepasisha mswada wa kuiwekea vikwazo vipya harakati hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS