Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

vita

  • Kwa amri ya Abiy Ahmed: Jeshi la Ethiopia laanza mashambulizi dhidi ya harakati ya TPLF

    Kwa amri ya Abiy Ahmed: Jeshi la Ethiopia laanza mashambulizi dhidi ya harakati ya TPLF

    Nov 04, 2020 08:54

    Jeshi la Ethiopia mapema leo limeanza mashambulizi dhidi ya Harakati ya Wananchi ya Ukombozi wa Tigray (The Tigray People's Liberation Front (TPLF)).

  • UN: Mazungumzo ya amani Libya yanaendelea kwa mafanikio huko Ghadames

    UN: Mazungumzo ya amani Libya yanaendelea kwa mafanikio huko Ghadames

    Nov 03, 2020 08:53

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa mazungumzo ya pande hasimu nchini Libya yanayoendelea katika mji wa Ghadames ulioko kusini magharibi mwa nchi hiyo yamepiga hatua kubwa katka njia ya kufikia makubaliano juu ya utekelezaji wa mapatano ya kusitisha vita yaliyotiwa saini wiki kadhaa zilizopita.

  • HRW: Imarati imetuma mamia ya vijana wa Kisudan kupigana vita Libya

    HRW: Imarati imetuma mamia ya vijana wa Kisudan kupigana vita Libya

    Nov 03, 2020 02:46

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch lenye makao yake makuu mjini New York nchini Marekani limetangaza kuwa, kampuni ya huduma za ulinzi na usalama ya Black Shield ya Imarati iliajiri karibu vijana 270 za Kisudani kwa ajili ya kufanya kazi za ulinzi katika Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) lakini vijana hao walijikuta wakitumwa Libya kwenda kupigana katika safu za jenerali muasi, Khalifa Haftar.

  • Indhari ya UN kuhusu hali mbaya ya Yemen na kuendelea jinai za Muungano wa Saudia kwa uungaji mkono wa Magharibi

    Indhari ya UN kuhusu hali mbaya ya Yemen na kuendelea jinai za Muungano wa Saudia kwa uungaji mkono wa Magharibi

    Oct 21, 2020 06:18

    Mnamo mwezi Machi 2015, Saudi Arabia ikishirikiana na Imarati ilianzisha vita vya kidhalimu dhidi ya wananchi wa Yemen kupitia muungano wao wa pamoja wa kijeshi; na hadi sasa muungano huo vamizi umeshaua na kujeruhi makumi ya maelfu ya watu nchini humo.

  • Uamuzi wa Sudan wa kuondoa askari wake katika vita vya Yemen

    Uamuzi wa Sudan wa kuondoa askari wake katika vita vya Yemen

    Oct 11, 2020 07:09

    Katika hali ambayo Saudi Arabia inaendelea kupiga ngoma ya vita huko nchini Yemen, waitifaki wake katika muungano huo wa kijeshi hawako tayari tena kuvumilia siasa za kupenda vita za Riyadh na hivi sasa wamo mbioni kujiondoa katika muungano huo.

  • Zarif amhutubu Trump: Hakuna vita vibaya na vita vizuri

    Zarif amhutubu Trump: Hakuna vita vibaya na vita vizuri

    Sep 11, 2020 08:12

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemhutubu Rais Donald Trump wa Marekani na kumwambia kwamba, hakuna kitu kinachofahamika kama vita vizuri, na kusisitiza kuwa vita vyote ni vibaya.

  • Mlipuko watikisa kambi ya jeshi Mogadishu; watu 8 wapoteza maisha

    Mlipuko watikisa kambi ya jeshi Mogadishu; watu 8 wapoteza maisha

    Aug 08, 2020 11:41

    Mlipuko mkubwa umetokea leo katika kambi ya jeshi huko Mogadishu mji mkuu wa Somalia na kuuwa watu 8 na kujeruhi wengine 14.

  • Tukio la kushushwa bendera ya Marekani katika majengo ya ubalozi mdogo wa nchi hiyo katika mji wa Chengdu

    Tukio la kushushwa bendera ya Marekani katika majengo ya ubalozi mdogo wa nchi hiyo katika mji wa Chengdu

    Jul 29, 2020 06:00

    Vyombo vya habari vya China juzi viliripoti kuwa bendera ya Marekani imeshushwa na kuondolewa katika majengo ya ubalozi mdogo wa nchi hiyo katika mji wa Chengdu.

  • Baadhi ya wanamgambo wa Taliban walioachiwa huru kutoka jela wamerudi tena vitani

    Baadhi ya wanamgambo wa Taliban walioachiwa huru kutoka jela wamerudi tena vitani

    Jul 25, 2020 07:19

    Msemaji wa Baraza la Usalama wa Taifa la Afghanistan amesema wafungwa kadhaa wanamgambo wa kundi la Taliban ambao wameachiwa huru kutoka jela wamerudi tena kwenye medani za vita vya ndani vya nchi hiyo.

  • Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran yakemea vikali hatua ya ndege zakivita za Marekani ya kuhatarisha usalama wa ndege ya abiria ya Iran

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran yakemea vikali hatua ya ndege zakivita za Marekani ya kuhatarisha usalama wa ndege ya abiria ya Iran

    Jul 24, 2020 13:49

    Msemaji wa Wizara Mambo ya Nchi za Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekemea vikali hatua ya ndege mbili za kijeshi za Marekani ya kutishia usalama wa ndege ya abiria ya Iran katika anga ya Syria na kusema: Habari zaidi kuhusu tukio hilo zinafanyiwa uchunguzi na hatua za dharura za kisiasa na kisheria zitachukuliwa baada ya kukamilika uchunguzi huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS