Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

vita dhidi ya Uislamu

  • Rais wa Ufaransa atuhumiwa kueneza chuki dhidi ya Waislamu

    Rais wa Ufaransa atuhumiwa kueneza chuki dhidi ya Waislamu

    Nov 04, 2019 23:01

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ametuhumiwa kuhusika na kueneza chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu katika nchi hiyo ya Ulaya.

  • Sanders: Trump ni mbaguzi wa rangi na anapiga vita Uislamu

    Sanders: Trump ni mbaguzi wa rangi na anapiga vita Uislamu

    Aug 16, 2019 23:12

    Mgombea urais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Democratic amesema kuwa Rais wa nchi hiyo, Donald Trump ni mbaguzi wa rangi na anapiga vita dini ya Uislamu.

  • Indhari ya Mkuu wa Sera za Nje wa EU kuhusu uenezaji chuki dhidi ya Uislamu

    Indhari ya Mkuu wa Sera za Nje wa EU kuhusu uenezaji chuki dhidi ya Uislamu

    Mar 28, 2019 00:07

    Mashambulizi ya kigaidi ya makundi yenye kuchupa mipaka hususan magaidi wa Daesh huko barani Ulaya na Marekani yamepelekea kuandaliwa uwanja wa kushadidishwa mashambulizi ya propaganda na kuibua anga ya vita vya kisaikolojia dhidi ya dini ya Uislamu na Waislamu kwa ujumla.

  • Sisitizo la Antonio Guterres la ulazima wa kukabiliana na chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia)

    Sisitizo la Antonio Guterres la ulazima wa kukabiliana na chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia)

    Mar 24, 2019 03:07

    Matukio ya miaka ya hivi karibuuni katika medani ya kimataifa hususan kujitokeza makundi yenye kufurutu ada na kuenea vitendo vyao vya ugaidi katika madola ya Magharibi, yalivipatia vyombo vya habari na tawala za nchi hiyo kisingizio tosha cha kueneza chuuki dhidi ya Uislamu.

  • Le Monde: Matajiri wa Marekani wanafadhili propaganda chafu dhidi ya Uislamu

    Le Monde: Matajiri wa Marekani wanafadhili propaganda chafu dhidi ya Uislamu

    Mar 12, 2019 13:03

    Kundi dogo la matajiri na vibopa wa Marekani linafadhili mitandao inayosambaza habari na mashambulizi na propaganda chafu zinazoenezwa kupitia mtandao wa intaneti barani Ulaya kwa ajili ya kueneza fikra za mrengo wa kulia wenye misimamo mikali na kuchochea uadui dhidi ya Uislamu na matukufu yake.

  • Malalamiko dhidi ya matamshi ya kukejeli Uislamu nchini Uingereza

    Malalamiko dhidi ya matamshi ya kukejeli Uislamu nchini Uingereza

    Aug 08, 2018 21:58

    Katika mkondo wa wimbi la kupinga matamshi ya dharau na kebehi yaliyotolewa na waziri wa zamani wa mambo ya nje wa Uingereza dhidi ya Waislamu, Mwenyekiti wa chama cha Conservative cha Uingereza amemtaka Boris Johnson aombe radhi kutokana na matamshi yake dhidi ya wanawake wa Kiislamu wanaovaa vazi la burqa.

  • Kushamiri magenge yaliyo dhidi ya Uislamu nchini Marekani baada ya kuingia madarakani Trump

    Kushamiri magenge yaliyo dhidi ya Uislamu nchini Marekani baada ya kuingia madarakani Trump

    Feb 23, 2018 21:15

    Vitendo vya kiuadui na chuki vya magenge ya kibaguzi ambayo chuki zao dhidi ya Uislamu hazina kifani, vimeongezeka sana nchini Marekani tangu baada ya kuanza urais wa Donald Trump nchini humo.

  • Kushadidi hatua za chuki za Trump dhidi ya Uislamu

    Kushadidi hatua za chuki za Trump dhidi ya Uislamu

    Nov 30, 2017 23:16

    Kitendo cha Rais Donald Trump wa Marekani cha kusambaza tena filamu za vidio za propaganda za chuki dhidi ya Uislamu kupitia ukurasa wake wa Twitter kimezusha moto wa ghadhabu na hasira duniani. Hatua hiyo ya Trump ya kuweka tena filamu hizo za vidio za kuchochea chuki dhidi ya Uislamu imelaaniwa kuanzia ndani ya Marekani na wapinzani wake mpaka na viongozi wa nchi nyengine duniani.

  • Unyanyasaji dhidi ya Waislamu waongezeka mno nchini Uingereza

    Unyanyasaji dhidi ya Waislamu waongezeka mno nchini Uingereza

    Nov 04, 2017 23:42

    Gazeti moja la nchini Uingereza limeripoti habari ya kuongezeka unyanyasaji na mashambulizi dhidi ya Waislamu nchini humo katika mwaka huu wa 2017.

  • Waislamu wazidi kunyanyaswa nchini Uingereza

    Waislamu wazidi kunyanyaswa nchini Uingereza

    Jun 18, 2017 03:23

    Vitendo vya unyanyasaji dhidi ya Waislamu vimeongezeka nchini Uingereza hasa baada ya kutokea mashambulizi ya kigaidi katika miji ya Manchester na London.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS