-
Sanders: Trump ni mbaguzi wa rangi na anapiga vita Uislamu
Aug 17, 2019 03:42Mgombea urais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Democratic amesema kuwa Rais wa nchi hiyo, Donald Trump ni mbaguzi wa rangi na anapiga vita dini ya Uislamu.
-
Indhari ya Mkuu wa Sera za Nje wa EU kuhusu uenezaji chuki dhidi ya Uislamu
Mar 28, 2019 04:37Mashambulizi ya kigaidi ya makundi yenye kuchupa mipaka hususan magaidi wa Daesh huko barani Ulaya na Marekani yamepelekea kuandaliwa uwanja wa kushadidishwa mashambulizi ya propaganda na kuibua anga ya vita vya kisaikolojia dhidi ya dini ya Uislamu na Waislamu kwa ujumla.
-
Sisitizo la Antonio Guterres la ulazima wa kukabiliana na chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia)
Mar 24, 2019 07:37Matukio ya miaka ya hivi karibuuni katika medani ya kimataifa hususan kujitokeza makundi yenye kufurutu ada na kuenea vitendo vyao vya ugaidi katika madola ya Magharibi, yalivipatia vyombo vya habari na tawala za nchi hiyo kisingizio tosha cha kueneza chuuki dhidi ya Uislamu.
-
Le Monde: Matajiri wa Marekani wanafadhili propaganda chafu dhidi ya Uislamu
Mar 12, 2019 16:33Kundi dogo la matajiri na vibopa wa Marekani linafadhili mitandao inayosambaza habari na mashambulizi na propaganda chafu zinazoenezwa kupitia mtandao wa intaneti barani Ulaya kwa ajili ya kueneza fikra za mrengo wa kulia wenye misimamo mikali na kuchochea uadui dhidi ya Uislamu na matukufu yake.
-
Malalamiko dhidi ya matamshi ya kukejeli Uislamu nchini Uingereza
Aug 09, 2018 02:28Katika mkondo wa wimbi la kupinga matamshi ya dharau na kebehi yaliyotolewa na waziri wa zamani wa mambo ya nje wa Uingereza dhidi ya Waislamu, Mwenyekiti wa chama cha Conservative cha Uingereza amemtaka Boris Johnson aombe radhi kutokana na matamshi yake dhidi ya wanawake wa Kiislamu wanaovaa vazi la burqa.
-
Kushamiri magenge yaliyo dhidi ya Uislamu nchini Marekani baada ya kuingia madarakani Trump
Feb 24, 2018 00:45Vitendo vya kiuadui na chuki vya magenge ya kibaguzi ambayo chuki zao dhidi ya Uislamu hazina kifani, vimeongezeka sana nchini Marekani tangu baada ya kuanza urais wa Donald Trump nchini humo.
-
Kushadidi hatua za chuki za Trump dhidi ya Uislamu
Dec 01, 2017 02:46Kitendo cha Rais Donald Trump wa Marekani cha kusambaza tena filamu za vidio za propaganda za chuki dhidi ya Uislamu kupitia ukurasa wake wa Twitter kimezusha moto wa ghadhabu na hasira duniani. Hatua hiyo ya Trump ya kuweka tena filamu hizo za vidio za kuchochea chuki dhidi ya Uislamu imelaaniwa kuanzia ndani ya Marekani na wapinzani wake mpaka na viongozi wa nchi nyengine duniani.
-
Unyanyasaji dhidi ya Waislamu waongezeka mno nchini Uingereza
Nov 05, 2017 03:12Gazeti moja la nchini Uingereza limeripoti habari ya kuongezeka unyanyasaji na mashambulizi dhidi ya Waislamu nchini humo katika mwaka huu wa 2017.
-
Waislamu wazidi kunyanyaswa nchini Uingereza
Jun 18, 2017 07:53Vitendo vya unyanyasaji dhidi ya Waislamu vimeongezeka nchini Uingereza hasa baada ya kutokea mashambulizi ya kigaidi katika miji ya Manchester na London.
-
Darul Iftaa ya Misri yakosoa chuki dhidi ya Uislamu nchini Marekani
Feb 13, 2017 04:21Idara Kuu inayohusika na Fatwa za Kiislamu ya Misri (Darul Iftaa) imekosoa vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu nchini Marekani na kuchomwa moto vituo vya Kiislamu.