Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wahajiri

  • UNICEF: Watoto Waafrika wavukao Mediteranea kuelekea Ulaya wanateswa vibaya

    UNICEF: Watoto Waafrika wavukao Mediteranea kuelekea Ulaya wanateswa vibaya

    Mar 01, 2017 00:27

    Safari ya watoto wanaokimbia mizozo na mateso Afrika kwenda Ulaya kupitia bahari ya Mediteranea imegubikwa na mateso ikiwemo ukatili wa kingono na kulazimishwa kufanya kazi.

  • Hilali Nyekundu: Wahajiri 74 wafa maji pwani ya Libya wakielekea Ulaya

    Hilali Nyekundu: Wahajiri 74 wafa maji pwani ya Libya wakielekea Ulaya

    Feb 21, 2017 10:25

    Shirika la Hilala Nyekundu la Libya limesema makumi ya wahajiri wamekufa maji katika Bahari ya Mediterranean wakijaribu kuelekea barani Ulaya.

  • Maandamano makubwa ya kuwaunga mkono wahajiri yafanyika Uhispania

    Maandamano makubwa ya kuwaunga mkono wahajiri yafanyika Uhispania

    Feb 19, 2017 04:10

    Katika hali ambayo Rais Donald Trump wa Marekani anatazamiwa wiki ijayo kutangaza 'sheria kali zaidi' za kudhibiti wahajiri na raia wa nchi saba za Kiislamu, mamia ya maelfu ya wananchi wamefanya maandamano Uhispania kuonyesha uungaji mkono wao kwa wajahiri.

  • Kupinga Libya suala la  kupatiwa makazi wahajiri katika ardhi ya nchi hiyo

    Kupinga Libya suala la kupatiwa makazi wahajiri katika ardhi ya nchi hiyo

    Feb 07, 2017 09:37

    Katika hali ambayo, Libya ingali inakabiliwa na changamoto kubwa za kisiasa na kiuchumi, suala la wahajiri wanaoelekea Ulaya kupitia nchi hiyo nalo limegeuka na kuwa tatizo jingine kubwa kwa nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika.

  • Italia kuzisaidia kifedha nchi za Kiafrika ili ziwazuie wahajiri wasielekee Ulaya

    Italia kuzisaidia kifedha nchi za Kiafrika ili ziwazuie wahajiri wasielekee Ulaya

    Feb 01, 2017 23:22

    Italia imeanzisha mfuko wa fedha wa kuzisaidia nchi za Kiafrika ziimarishe zaidi mipaka yao ili kujaribu kuepusha wahajiri kusafiri kwa kutumia boti dhaifu na hatarishi za mipira kwa ajili ya kuelekea barani Ulaya.

  • Dunia yalaani hatua ya Trump kuwazuia Waislamu kuingia Marekani

    Dunia yalaani hatua ya Trump kuwazuia Waislamu kuingia Marekani

    Jan 29, 2017 10:15

    Hatua ya rais Donald Trump kuwazuia wahamiaji Waislamu kuingia nchini humo inaendelea kulaani na kukoslewa kote duniani na Marekani kwenywe.

  • Wahajiri 219 wamezama katika Bahari ya Mediterranea

    Wahajiri 219 wamezama katika Bahari ya Mediterranea

    Jan 18, 2017 00:39

    Wahajiri na wakimbizi wapatao 219 wamezama katika Bahari ya Mediterranea katika wiki mbili za kwanza za mwaka 2017 hii ikiwa ni mara mbili zaidi ya kipindi sawa na hiki mwaka jana.

  • Wahajiri zaidi ya 100 wahofiwa kufa maji Bahari ya Mediterranea

    Wahajiri zaidi ya 100 wahofiwa kufa maji Bahari ya Mediterranea

    Jan 15, 2017 11:17

    Makumi ya wahajiri wanahofiwa kupoteza maisha baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kwenda bara Ulaya kuzama katika Bahari ya Mediterranea.

  • Miili ya wahajiri 11 yapatikana ufuoni mjini Tripoli, Libya

    Miili ya wahajiri 11 yapatikana ufuoni mjini Tripoli, Libya

    Dec 28, 2016 10:47

    Shirika la Hilali Nyekundu la Libya limesema miili 11 ya wahajiri waliokufa maji wakijaribu kuelekea barani Ulaya imepatikana katika fuo za mji mkuu wa Libya, Tripoli.

  • UN: Wajiri elfu tano wamekufa maji wakieleka Ulaya mwaka huu 2016

    UN: Wajiri elfu tano wamekufa maji wakieleka Ulaya mwaka huu 2016

    Dec 23, 2016 12:53

    Shirika la Kimataifa la Uhajiri (IOM) limesema wakimbizi na wahajiri wapatao 5,000 wamepoteza maisha mwaka huu wa 2016 wakijaribu kuingia barani Ulaya kupitia Bahari ya Mediterranea.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS