Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Waislamu

  • UN yataka Suu Kyi azuie mauaji ya Waislamu Myanmar

    UN yataka Suu Kyi azuie mauaji ya Waislamu Myanmar

    Dec 09, 2016 10:31

    Umoja wa Mataifa umetoa wito kwa kiongozi asiye rasmi wa Myanmar Aung San Suu Kyi achukue hatua za kuzuia ukatili wa jeshi la nchi hiyo dhidi ya Waislamu wa kabila la Rohingya katika jimbo la Rakhine kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Barua ya wazi ya viongozi wa Kiislamu nchini Marekani kwa Donald Trump

    Barua ya wazi ya viongozi wa Kiislamu nchini Marekani kwa Donald Trump

    Dec 07, 2016 04:09

    Zaidi ya Waislamu 300 wa Marekani wameonyesha radiamali yao kwa matamshi ya chuki dhidi ya Uislamu ya Rais mteule wa nchi hiyo Donald Trump.

  • Kansela wa Ujerumani ataka kupigwa marufuku burqa

    Kansela wa Ujerumani ataka kupigwa marufuku burqa

    Dec 07, 2016 03:49

    Kansela wa Ujerumani Angela Merkel ametoa wito wa kupigwa marufuku vazi la stara la burqa, linalovaliwa na wanawake wa Kiislamu.

  • Wanaharakati na wabunge wa Kiislamu Uholanzi wapinga marufuku ya burqa

    Wanaharakati na wabunge wa Kiislamu Uholanzi wapinga marufuku ya burqa

    Dec 01, 2016 00:40

    Wanaharakati wa kutetea haki za binadamu na wabunge wa Kiislamu nchini Uholanzi wamepinga vikali hatua ya Bunge la nchi hiyo kupiga marufuku vazi la stara la niqabu au burqa katika baadhi ya maeneo ya umma.

  • Waislamu Marekani walaani hujuma ya 'kigaidi' Ohio

    Waislamu Marekani walaani hujuma ya 'kigaidi' Ohio

    Nov 29, 2016 10:41

    Viongozi wa Kiislamu nchini Marekani wamelaani vikali kile vyombo vya usalama vimetaja kuwa hujuma ya kigaidi katika jimbo la Ohio, ambapo mwanafunzi mmoja wa Marekani mwenye asili ya Somalia aliwashambulia kwa kisu wanachuo wenzake.

  • Jumuiya ya haki za binadamu  Nigeria yatoa wito wa kuachiliwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky

    Jumuiya ya haki za binadamu Nigeria yatoa wito wa kuachiliwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky

    Nov 21, 2016 23:16

    Jumuiya ya Kutetea Haki za Binadamu ya Nigeria imetoa wito wa kuachiliwa huru mara moja Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria anayeshikiliwa na vyombo vya usalama vya nchi hiyo.

  • Maandamano ya kuwaunga mkono Waislamu Marekani yaendelea, mara hii ni wakazi wa Kentucky

    Maandamano ya kuwaunga mkono Waislamu Marekani yaendelea, mara hii ni wakazi wa Kentucky

    Nov 21, 2016 23:15

    Wakazi wa jimbo la Kentucky nchini Marekani wamefanya maandamano kwa kukusanyika mbele ya kituo cha Kiislamu cha mji huo kuwaunga mkono Waislamu hususan baada ya uchaguzi wa rais uliompa ushindi Donald Trump, mfanyabiashara mwenye misimamo ya chuki dhidi ya wafuasi wa dini hiyo.

  • Rakhine, machinjio ya Waislamu wa Rohingya, Myanmar

    Rakhine, machinjio ya Waislamu wa Rohingya, Myanmar

    Nov 19, 2016 23:10

    Jimbo la Rakhine lenye idadi kubwa zaidi ya Waislamu nchini Myanmar limeendelea kushuhudia ukatili na mauaji ya kutisha dhidi ya wafuasi wa dini hiyo.

  • UN: 30 elfu wamelazimika kuwa wakimbizi Myanmar tangu Oktoba

    UN: 30 elfu wamelazimika kuwa wakimbizi Myanmar tangu Oktoba

    Nov 19, 2016 04:11

    Umoja wa Mataifa umesema operesheni kali ya kiusalama inayoendelea kushuhudiwa katika jimbo la Rakhine nchini Myanmar imesababisha makumi ya maelfu ya watu kubaki bila makazi tangu mwezi uliopita wa Oktoba.

  • Mazishi ya Waislamu waliouawa kinyama na Jeshi la Nigeria

    Mazishi ya Waislamu waliouawa kinyama na Jeshi la Nigeria

    Nov 17, 2016 23:53

    Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (INM) imefanya mazishi ya Waislamu waliouawa kinyama hivi karibuni na jeshi la nchi hiyo katika mji wa kaskazini wa Kano.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS