-
UN yataka Suu Kyi azuie mauaji ya Waislamu Myanmar
Dec 09, 2016 10:31Umoja wa Mataifa umetoa wito kwa kiongozi asiye rasmi wa Myanmar Aung San Suu Kyi achukue hatua za kuzuia ukatili wa jeshi la nchi hiyo dhidi ya Waislamu wa kabila la Rohingya katika jimbo la Rakhine kaskazini mwa nchi hiyo.
-
Barua ya wazi ya viongozi wa Kiislamu nchini Marekani kwa Donald Trump
Dec 07, 2016 04:09Zaidi ya Waislamu 300 wa Marekani wameonyesha radiamali yao kwa matamshi ya chuki dhidi ya Uislamu ya Rais mteule wa nchi hiyo Donald Trump.
-
Kansela wa Ujerumani ataka kupigwa marufuku burqa
Dec 07, 2016 03:49Kansela wa Ujerumani Angela Merkel ametoa wito wa kupigwa marufuku vazi la stara la burqa, linalovaliwa na wanawake wa Kiislamu.
-
Wanaharakati na wabunge wa Kiislamu Uholanzi wapinga marufuku ya burqa
Dec 01, 2016 00:40Wanaharakati wa kutetea haki za binadamu na wabunge wa Kiislamu nchini Uholanzi wamepinga vikali hatua ya Bunge la nchi hiyo kupiga marufuku vazi la stara la niqabu au burqa katika baadhi ya maeneo ya umma.
-
Waislamu Marekani walaani hujuma ya 'kigaidi' Ohio
Nov 29, 2016 10:41Viongozi wa Kiislamu nchini Marekani wamelaani vikali kile vyombo vya usalama vimetaja kuwa hujuma ya kigaidi katika jimbo la Ohio, ambapo mwanafunzi mmoja wa Marekani mwenye asili ya Somalia aliwashambulia kwa kisu wanachuo wenzake.
-
Jumuiya ya haki za binadamu Nigeria yatoa wito wa kuachiliwa huru Sheikh Ibrahim Zakzaky
Nov 21, 2016 23:16Jumuiya ya Kutetea Haki za Binadamu ya Nigeria imetoa wito wa kuachiliwa huru mara moja Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria anayeshikiliwa na vyombo vya usalama vya nchi hiyo.
-
Maandamano ya kuwaunga mkono Waislamu Marekani yaendelea, mara hii ni wakazi wa Kentucky
Nov 21, 2016 23:15Wakazi wa jimbo la Kentucky nchini Marekani wamefanya maandamano kwa kukusanyika mbele ya kituo cha Kiislamu cha mji huo kuwaunga mkono Waislamu hususan baada ya uchaguzi wa rais uliompa ushindi Donald Trump, mfanyabiashara mwenye misimamo ya chuki dhidi ya wafuasi wa dini hiyo.
-
Rakhine, machinjio ya Waislamu wa Rohingya, Myanmar
Nov 19, 2016 23:10Jimbo la Rakhine lenye idadi kubwa zaidi ya Waislamu nchini Myanmar limeendelea kushuhudia ukatili na mauaji ya kutisha dhidi ya wafuasi wa dini hiyo.
-
UN: 30 elfu wamelazimika kuwa wakimbizi Myanmar tangu Oktoba
Nov 19, 2016 04:11Umoja wa Mataifa umesema operesheni kali ya kiusalama inayoendelea kushuhudiwa katika jimbo la Rakhine nchini Myanmar imesababisha makumi ya maelfu ya watu kubaki bila makazi tangu mwezi uliopita wa Oktoba.
-
Mazishi ya Waislamu waliouawa kinyama na Jeshi la Nigeria
Nov 17, 2016 23:53Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (INM) imefanya mazishi ya Waislamu waliouawa kinyama hivi karibuni na jeshi la nchi hiyo katika mji wa kaskazini wa Kano.