-
Ukosoaji wa Amnesty International kwa Umoja wa Ulaya kuhusiana na wahajiri wa Kiafrika
Dec 13, 2017 00:48Shirika la Msamaha Duniani la Amnesty International sambamba na kuyatuhumu madola ya Ulaya kwa kuwaunga mkono viongozi wa Libya wanaoshirikiana na magenge ya magendo ya binadamu limesema kuwa, madola hayo yanashirikiana katika ukiukaji wa haki za wahajiri nchini humo.
-
Wasiwasi wa UN kuhusu hali ya wakimbizi wa Congo DR
Dec 09, 2017 16:08Ripoti ya Umoja wa Mataifa inasema kuwa, watu karibu milioni 2 wamelazimika kuhama makazi yao mwaka huu pekee huko katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kwa kuhofia ukatili na mauaji.
-
AU na EU zataka kutatuliwa mgogoro wa wahajiri wa Kiafrika
Dec 02, 2017 05:00Umoja wa Afrika na Umoja wa Ulaya zimetilia mkazo udharura wa kutafutwa ufumbuzi wa kimsingi wa hali mbaya ya wakimbizi na wahajiri wa Kiafrika.
-
UN: Wakimbizi Waislamu wa Rohingya wanakabiliwa na hatari kubwa
Nov 19, 2017 12:55Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa una wasiwasi kuhusu hatari zinazowakabili Waislamu wakimbizi wa Rohingya katika wimbi la kufukuzwa huko Myanmar.
-
UN yaeleza wasiwasi wake kuhusu hali ya wakimbizi wa Sudan Kusini
Oct 27, 2017 04:13Umoja wa Mataifa umeeleza wasiwasi wake kuhusu hali ya wakimbizi wa Sudan Kusini walioko katika mji mkuu wa nchi jirani ya Sudan, Khartoum.
-
The Gardian: UN inashirikiana na Myanmar kufanya mauaji ya kimbari dhidi ya Waislamu wa Rohingya
Oct 17, 2017 11:42Gazeti la The Gardian linalochapishwa nchini Uingereza limefichua kuwa Umoja wa Mataifa unashirikiana na serikali ya Myanmar katika kuficha dhulma na ukandamizaji unaofanywa na serikali ya nchi hiyo dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya.
-
UN: Waislamu wa Rohingya, mgogoro mkubwa zaidi wa wakimbizi duniani
Sep 24, 2017 10:22Shirika la Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limesema kuwa, kitendo cha wanajeshi na mabudha wa Myanmar cha kuwalazimizisha Waislamu wa Rohingya wakimbie makazi yao kimesababisha kuzuka mgogoro mkubwa zaidi wa wakimbizi duniani.
-
Serikali ya Kongo DR yaanza uchunguzi kuhusu mauaji ya wakimbizi wa Burundi
Sep 18, 2017 09:39Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imesema kuwa imeanza kuchunguza mauaji ya makumi ya wakimbizi wa Burundi waliouliwa nchini humo.
-
Mafuriko Nigeria yapelekea watu 110,000 kupoteza makazi
Sep 01, 2017 10:24Rais Muhammadu Buhari wa Nigeria amesema watu zaidi ya laki moja na elfu kumi wamepoteza makazi yao baada ya kutokea mafuruko katika jimbo la Benue katikati mwa nchi hiyo.
-
FAO: Kuna wakimbizi milioni mbili katika mikoa ya Tanganyika na Kasaï Kongo DR
Jun 29, 2017 10:09Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) limetangaza habari ya kuweko wakimbizi milioni mbili katika mikoa miwili ya Tanganyika, mashariki mwa nchi na Kasaï, katikati mwa taifa hilo.