-
UNHCR: Mamilioni ya watu wamekuwa wakimbizi duniani
Jun 19, 2017 10:58Kamisheni Kuu ya Wakimbizi ya Umoja wa Mataifa (UNHCR) imetangaza kuwa, watu milioni 65 na laki sita walikuwa wakimbizi kote duniani hadi kufikia mwishoni mwa mwaka uliopita wa 2016.
-
UN yaonya kuhusu hali ya watu milioni 130 wanaokabiliwa na hali mbaya ulimwenguni
Jun 17, 2017 23:21Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, watu milioni 130 katika maeneo mbalimbali duniani wanakabiliwa na mugogoro ya kibinadamu na ukimbizi.
-
Asasi za kiraia zatahadharisha juu ya kuendelea hali mbaya ya wakimbizi Chad
Jun 01, 2017 02:50Asasi zisizo za kiserikali zimeonya kuhusiana na kuendelea kuwa mbaya hali ya wakimbizi na mgogoro wa kibinadamu nchini Chad.
-
UN: Matatizo yote ya Wapalestina yanatokana na Israel
May 31, 2017 22:50Umoja wa Mataifa umesema kuwa, matatizo yote waliyo nayo Wapalestina hivi sasa yanatokana na kukaliwa kwa mabavu ardhi zao na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Malango: Wakimbizi kutoka Sudan Kusini wanaendelea kuingia Uganda
May 10, 2017 22:58Mratibu wa Umoja wa Mataifa nchini Uganda amesema kuwa, wakimbizi kutoka Sudan Kusini wanaendelea kuingia nchini humo kila siku.
-
UN yataka suala la wakimbizi Libya lishughulikiwe ipasavyo
Feb 11, 2017 13:08Maafisa kadhaa wa ngazi za juu wa Umoja wa Mataifa wametaka kuchukuliwe hatua za kivitendo za kufuatilia hali ya wakimbizi wa nchini Libya.
-
Kuafiki Kenya uakhirishaji tarehe ya kufunga kambi kubwa zaidi ya wakimbizi duniani, Dadaab
Nov 18, 2016 04:39Hatimaye baada ya mazungumzo magumu, serikali ya Kenya wiki hii imeafiki kuakhirisha tarehe ya kufungwa kambi ya wakimbizi ya Daadab iliyo karibu na mpaka wa nchi hiyo na Somalia.
-
Wakimbizi wa Iraq warejea katika makazi yao
Oct 03, 2016 10:48Malefu ya familia za wakimbizi Wairaqi zimerejea katika makazi yao hapo awali baada amani na utulivu kurejea katika baadhi ya maeneo ya Iraq.
-
Somalia na changamoto ya kurejea nyumbani wakimbizi walioke nje ya nchi
Sep 17, 2016 23:35Katika hali ambayo vita vya ndani na mizozo ya kikabila inayoendelea sasa katika nchi kadhaa za Kiafrika vimeibua wimbi kubwa la wakimbizi katika nchi jirani za maeneo mbalimbali ya bara hilo, serikali za nchi za bara hilo sasa zinakabiliwa na matatizo mapya ya jinsi ya kurejea wakimbizi hao katika nchi zao baada ya kumalizika vita na machafuko ya ndani katika baadhi ya nchi hizo.
-
UNHCR: Hali ya wakimbizi Sudan Kusini ni mbaya sana
Jul 12, 2016 12:32Shirika la Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limetangaza kuwa hali ya raia wanaokimbia vita na mapigano ya ndani Sudan Kusini inatia wasiwasi mkubwa.