Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wameuawa

  • Watu 30 wauawa katika mashambulizi ya wanamgambo nchini Ethiopia

    Watu 30 wauawa katika mashambulizi ya wanamgambo nchini Ethiopia

    Sep 18, 2020 08:07

    Watu wasiopungua 30 wameuawa katika mashambulizi ya wanamgambo waliobeba silaha katika eneo la Benishangul-Gumuz, magharibi mwa Ethiopia.

  • 30 wauawa katika mapigano baina ya al-Shabaab na wanakijiji Somalia

    30 wauawa katika mapigano baina ya al-Shabaab na wanakijiji Somalia

    Sep 06, 2020 07:35

    Makumi ya watu wameuawa katika makabiliano makali baina ya wanamgambo wa al-Shabaab na wanakijiji katikati mwa Somalia.

  • Watu 15 wauawa katika shambulizi la wabeba silaha Burundi

    Watu 15 wauawa katika shambulizi la wabeba silaha Burundi

    Aug 25, 2020 03:38

    Kwa akali watu 15 wameuawa baada ya watu waliojizatiti kwa silaha kushambulia wakazi wa eneo moja huko kusini mwa Burundi.

  • Watu wengine kadhaa wauawa katika mashambulio ya anga ya Saudi Arabia huko Yemen

    Watu wengine kadhaa wauawa katika mashambulio ya anga ya Saudi Arabia huko Yemen

    Aug 05, 2020 08:03

    Watu wasiopungua wanne wameuawa na wengine wanane kujeruhiwa kufuatia mashambulio ya anga ya muungano wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabiia huko Yemen.

  • Watu 4 wauawa katika maandamano ya ghasia Kongo DR

    Watu 4 wauawa katika maandamano ya ghasia Kongo DR

    Jul 10, 2020 07:28

    Watu wanne wameuawa na wengine kadhaa wamejeruhiwa katika maandamano ya kupinga uteuzi wa mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Askari polisi na magaidi 7 wauawa kwenye makabiliano Misri

    Askari polisi na magaidi 7 wauawa kwenye makabiliano Misri

    Apr 15, 2020 08:06

    Afisa wa polisi wa Misri na washukiwa saba wa genge la kigaidi wameuawa katika makabiliano ya risasi baina ya pande mbili hizo jijini Cairo.

  • Makumi wauawa katika ghasia za kabla ya uchaguzi Burundi

    Makumi wauawa katika ghasia za kabla ya uchaguzi Burundi

    Feb 26, 2020 13:44

    Serikali ya Burundi imekiri kuua watu 22 ndani ya siku chache zilizopita, kwa tuhuma za kufanya 'makosa' yanayohusishwa na uchaguzi mkuu ujao.

  • Watu 23 wapoteza maisha wakigombania chakula Niger

    Watu 23 wapoteza maisha wakigombania chakula Niger

    Feb 18, 2020 07:57

    Kwa akali watu 23 wameuawa katika mkanyagano wa kugombania chakula cha msaada nchini Niger.

  • Kundi la Jenerali Haftar laua askari 14 wa serikali ya mwafaka wa kitaifa ya Libya

    Kundi la Jenerali Haftar laua askari 14 wa serikali ya mwafaka wa kitaifa ya Libya

    Sep 20, 2019 14:54

    Askari 14 wa vikosi vya serikali ya mwafaka wa kitaifa ya Libya wameuliwa katika mashambulio ya anga yaliyofanywa na vikosi vinavyojiita Jeshi la Taifa la Libya vinavyoongozwa na Jenerali mstaafu Khalifa Haftar.

  • Magaidi wa Boko Haram waua wanajeshi 9 wa Nigeria

    Magaidi wa Boko Haram waua wanajeshi 9 wa Nigeria

    Sep 12, 2019 11:52

    Magaidi wa kundi la Boko Haram wameshambulia kituo cha kijeshi kaskazini mashariki mwa Nigeria na kuwaua wanajeshi tisa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS