-
Watu kadhaa wauawa na kujeruhiwa katika maandamano ya upinzani Zambia
Dec 24, 2020 08:12Kwa akali watu wawili wameuawa huku wengine kadhaa wakijeruhiwa katika maandamano ya wapinzani wa Zambia, kuonyesha uungaji mkono wao kwa kinara wao, Hakainde Hichilema.
-
UN: Zaidi ya watu 1,000 wameuawa nchini Sudan Kusini
Nov 18, 2020 02:30Umoja wa Mataifa umesema watu zaidi ya elfu moja wameuawa katika mapigano ya kikabila nchini Sudan Kusini katika kipindi cha miezi sita iliyopita.
-
Upinzani: Watu 90 wameuawa katika ghasia za kabla ya uchaguzi Guinea
Oct 13, 2020 03:42Kundi moja la kiraia limesema makumi ya watu wameuawa nchini Guinea katika maandamano ya machafuko ya kabla ya uchaguzi wa rais utakaofanyika Oktoba 18 mwaka huu.
-
Watu 30 wauawa katika mashambulizi ya wanamgambo nchini Ethiopia
Sep 18, 2020 08:07Watu wasiopungua 30 wameuawa katika mashambulizi ya wanamgambo waliobeba silaha katika eneo la Benishangul-Gumuz, magharibi mwa Ethiopia.
-
30 wauawa katika mapigano baina ya al-Shabaab na wanakijiji Somalia
Sep 06, 2020 07:35Makumi ya watu wameuawa katika makabiliano makali baina ya wanamgambo wa al-Shabaab na wanakijiji katikati mwa Somalia.
-
Watu 15 wauawa katika shambulizi la wabeba silaha Burundi
Aug 25, 2020 03:38Kwa akali watu 15 wameuawa baada ya watu waliojizatiti kwa silaha kushambulia wakazi wa eneo moja huko kusini mwa Burundi.
-
Watu wengine kadhaa wauawa katika mashambulio ya anga ya Saudi Arabia huko Yemen
Aug 05, 2020 08:03Watu wasiopungua wanne wameuawa na wengine wanane kujeruhiwa kufuatia mashambulio ya anga ya muungano wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabiia huko Yemen.
-
Watu 4 wauawa katika maandamano ya ghasia Kongo DR
Jul 10, 2020 07:28Watu wanne wameuawa na wengine kadhaa wamejeruhiwa katika maandamano ya kupinga uteuzi wa mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Askari polisi na magaidi 7 wauawa kwenye makabiliano Misri
Apr 15, 2020 08:06Afisa wa polisi wa Misri na washukiwa saba wa genge la kigaidi wameuawa katika makabiliano ya risasi baina ya pande mbili hizo jijini Cairo.
-
Makumi wauawa katika ghasia za kabla ya uchaguzi Burundi
Feb 26, 2020 13:44Serikali ya Burundi imekiri kuua watu 22 ndani ya siku chache zilizopita, kwa tuhuma za kufanya 'makosa' yanayohusishwa na uchaguzi mkuu ujao.