Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wameuawa

  • Watu kadhaa wauawa na kujeruhiwa katika maandamano ya upinzani Zambia

    Watu kadhaa wauawa na kujeruhiwa katika maandamano ya upinzani Zambia

    Dec 24, 2020 08:12

    Kwa akali watu wawili wameuawa huku wengine kadhaa wakijeruhiwa katika maandamano ya wapinzani wa Zambia, kuonyesha uungaji mkono wao kwa kinara wao, Hakainde Hichilema.

  • UN: Zaidi ya watu 1,000 wameuawa nchini Sudan Kusini

    UN: Zaidi ya watu 1,000 wameuawa nchini Sudan Kusini

    Nov 18, 2020 02:30

    Umoja wa Mataifa umesema watu zaidi ya elfu moja wameuawa katika mapigano ya kikabila nchini Sudan Kusini katika kipindi cha miezi sita iliyopita.

  • Upinzani: Watu 90 wameuawa katika ghasia za kabla ya uchaguzi Guinea

    Upinzani: Watu 90 wameuawa katika ghasia za kabla ya uchaguzi Guinea

    Oct 13, 2020 03:42

    Kundi moja la kiraia limesema makumi ya watu wameuawa nchini Guinea katika maandamano ya machafuko ya kabla ya uchaguzi wa rais utakaofanyika Oktoba 18 mwaka huu.

  • Watu 30 wauawa katika mashambulizi ya wanamgambo nchini Ethiopia

    Watu 30 wauawa katika mashambulizi ya wanamgambo nchini Ethiopia

    Sep 18, 2020 08:07

    Watu wasiopungua 30 wameuawa katika mashambulizi ya wanamgambo waliobeba silaha katika eneo la Benishangul-Gumuz, magharibi mwa Ethiopia.

  • 30 wauawa katika mapigano baina ya al-Shabaab na wanakijiji Somalia

    30 wauawa katika mapigano baina ya al-Shabaab na wanakijiji Somalia

    Sep 06, 2020 07:35

    Makumi ya watu wameuawa katika makabiliano makali baina ya wanamgambo wa al-Shabaab na wanakijiji katikati mwa Somalia.

  • Watu 15 wauawa katika shambulizi la wabeba silaha Burundi

    Watu 15 wauawa katika shambulizi la wabeba silaha Burundi

    Aug 25, 2020 03:38

    Kwa akali watu 15 wameuawa baada ya watu waliojizatiti kwa silaha kushambulia wakazi wa eneo moja huko kusini mwa Burundi.

  • Watu wengine kadhaa wauawa katika mashambulio ya anga ya Saudi Arabia huko Yemen

    Watu wengine kadhaa wauawa katika mashambulio ya anga ya Saudi Arabia huko Yemen

    Aug 05, 2020 08:03

    Watu wasiopungua wanne wameuawa na wengine wanane kujeruhiwa kufuatia mashambulio ya anga ya muungano wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabiia huko Yemen.

  • Watu 4 wauawa katika maandamano ya ghasia Kongo DR

    Watu 4 wauawa katika maandamano ya ghasia Kongo DR

    Jul 10, 2020 07:28

    Watu wanne wameuawa na wengine kadhaa wamejeruhiwa katika maandamano ya kupinga uteuzi wa mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Askari polisi na magaidi 7 wauawa kwenye makabiliano Misri

    Askari polisi na magaidi 7 wauawa kwenye makabiliano Misri

    Apr 15, 2020 08:06

    Afisa wa polisi wa Misri na washukiwa saba wa genge la kigaidi wameuawa katika makabiliano ya risasi baina ya pande mbili hizo jijini Cairo.

  • Makumi wauawa katika ghasia za kabla ya uchaguzi Burundi

    Makumi wauawa katika ghasia za kabla ya uchaguzi Burundi

    Feb 26, 2020 13:44

    Serikali ya Burundi imekiri kuua watu 22 ndani ya siku chache zilizopita, kwa tuhuma za kufanya 'makosa' yanayohusishwa na uchaguzi mkuu ujao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS