Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

wameuawa

  • Watu kadhaa wauawa katika maombolezo ya siku ya Ashura nchini Nigeria

    Watu kadhaa wauawa katika maombolezo ya siku ya Ashura nchini Nigeria

    Sep 10, 2019 14:37

    Waislamu kadhaa waliokuwa katika maombolezo ya Siku ya Ashura (tarehe 10 Muharram) wakikumbuka mauaji ya mjukuu wa Mtume Muhammad (saw) wameuawa leo kwa kupigwa risasi nchini Nigeria.

  • Watu 16 wauawa katika mashambulio dhidi ya vijiji kadhaa nchini Nigeria

    Watu 16 wauawa katika mashambulio dhidi ya vijiji kadhaa nchini Nigeria

    Aug 21, 2019 07:51

    Watu wasiopungua 16 wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa baada ya watu wenye silaha kushambulia vijiji kadhaa katiika jimbo la Katsina kaskazini mwa Nigeria.

  • Ugonjwa wa surua waua maelfu ya watu Congo DR

    Ugonjwa wa surua waua maelfu ya watu Congo DR

    Aug 18, 2019 07:51

    Shirika la Madatari Wasio na Mpaka (MSF) limeripoti kuwa zaidi ya watu 2700 wameaga dunia katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kutokana na ugonjwa wa surua.

  • Watu wasiopungua 37 wauawa katika mapigano ya kikabila nchini Chad

    Watu wasiopungua 37 wauawa katika mapigano ya kikabila nchini Chad

    Aug 10, 2019 04:10

    Watu wasiopungua 37 wameuawa nchini Chad na makumi ya wengine kujeruhiwa baada ya kuzuka mapigano mapya ya kikabila.

  • Save the Children: Zaidi ya watoto 500 wamefariki dunia kwa ugonjwa wa Ebola huko DRC

    Save the Children: Zaidi ya watoto 500 wamefariki dunia kwa ugonjwa wa Ebola huko DRC

    Aug 08, 2019 08:13

    Shirika la Kimataifa la Kutetea Haki za Watoto la Save the Children limetangaza kuwa, zaidi ya watoto 500 wamekufa kwa maradhi ya Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, tangu ugonjwa huo ulipoanza kushuhudiwa nchini humo mwaka mmoja uliopita.

  • Watu elfu moja wauawa Libya, Misri na Imarati zatuhumiwa kushambulia wahajiri

    Watu elfu moja wauawa Libya, Misri na Imarati zatuhumiwa kushambulia wahajiri

    Jul 06, 2019 04:07

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Wahajiri limetangaza kuwa, tangu mwezi Aprili mwaka huu hadi hivi sasa, karibu watu elfu moja wameshauawa nchini Libya.

  • UN: Watoto 7500 wa Kiyemeni wameuawa au kupata ulemavu

    UN: Watoto 7500 wa Kiyemeni wameuawa au kupata ulemavu

    Jun 29, 2019 17:03

    Umoja wa Mataifa umeashiria hali mbaya ya kibinadamu inayoikabili Yemen hivi sasa na kueleza kuwa watoto zaidi ya 7,500 wameuawa au kujeruhiwa nchini humo.

  • Watu 38 wauawa katika mapigano ya kikabila nchini Mali

    Watu 38 wauawa katika mapigano ya kikabila nchini Mali

    Jun 19, 2019 03:04

    Watu wasiopungua 38 wameuawa huku wengine wengi wakijeruhiwa katika mapigano ya kikabila nchini Mali.

  • Daesh yadai kuhusika na mauaji ya Congo DR

    Daesh yadai kuhusika na mauaji ya Congo DR

    Jun 05, 2019 13:37

    Kundi la kigaidi la Daesh limedai kuwa ndilo lililohusika na shambulizi lililoua watu kadhaa katika mkoa ulioathiriwa na ugonjwa wa Ebola huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

  • Askari 8 wa serikali wauawa Sinai Misri

    Askari 8 wa serikali wauawa Sinai Misri

    Jun 05, 2019 11:28

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Misri imetangaza habari ya kuuawa askari wanane wa serikali katika mkoa wa Sinai wa kaskazini mwa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS