-
Amri ya Trump ya kupunguza idadi ya askari wa Marekani nchini Ujerumani
Jun 07, 2020 11:55Uhusiano wa Marekani na Ujerumani katika mtazamo mpana wa kupungua uhusiano kati ya nchi za Ulaya na Marekani umekumbwa na mvutano hasa baada ya kuingia madarakani Rais Donald Trump.
-
Mazungumzo ya kuondoka jeshi la Marekani nchini Iraq kuanza mwezi Juni
Apr 27, 2020 00:41Msemaji wa Mkuu wa Majeshi ya Iraq amesema kuwa, mazungumzo ya jinsi ya kuondoka majeshi ya Marekani katika ardhi ya nchi hiyo yataanza mwezi Juni mwaka huu.
-
Kuondoka askari wa Marekani katika kambi tatu za jeshi nchini Iraq, ni stratijia au taktiki?
Mar 31, 2020 03:46Wanajeshi wa Marekani wameondoka katika kambi ya K1 huko kaskazini mwa Iraq. Maudhui ya kuondoka wanajeshi wa Marekani nchini Iraq imekuwa suala na mjadala muhimu katika kipindi cha miezi mitatu ya mwaka huu wa 2020.
-
Congress ya Marekani: Madhara waliyopata wanajeshi wetu katika shambulizi la Iran Ain al Assad ni makubwa, huenda yakabakia milele
Feb 15, 2020 08:04Chombo cha habari cha Baraza la Congress la Marekani kimeonya kwamba matatizo ya ubongo waliyopata wanajeshi wa nchi hiyo katika shambulio la kulipiza kisasi lililofanywa na Iran kwenye kambi ya kijeshi ya Marekani ya Ain al Assad nchini Iraq ni makubwa na kuna hatari madhara hayo yakabakia kwa wananajeshi wa Marekani katika kipindi chote cha uhai wao.
-
Pentagon: Askari 109 wa Marekani walipatwa na ugonjwa wa ubongo katika shambulizi la makombora la Iran
Feb 11, 2020 06:59Ikiwa ni katika mwenendelezo wa kukiri juu ya ongezeko la idadi ya askari magaidi wa Marekani waliojeruhiwa katika shambulizi la makombora la Iran kwenye kambi ya jeshi la Marekani ya Ain Assad nchini Iraq, Wizara ya Ulinzi ya Marekani, Pentagon imetangaza kuwa askari 109 wa nchi hiyo wamekumbwa na ugonjwa wa ubongo kutokana na shambulizi hilo.
-
Muungano wa 'Sairoon' kuchunguza mpango wa kuwatimua haraka askari wa Kimarekani nchini Iraq
Feb 04, 2020 14:12Muungano wa 'Sairoon' katika bunge la Iraq umeitisha kikao kikuu cha kitaifa kwa ajili ya kuchunguza mpango wa kuwatimua haraka askari wa Marekani kutoka katika ardhi ya nchi hiyo.
-
Sadr aitisha maandamano ya "watu milioni moja" Iraq ya kulaani kuwepo kijeshi kwa Marekani
Jan 15, 2020 08:05Kiongozi wa Harakati ya Sadr nchini Iraq ametoa mwito kwa wananchi kufanya maandamano ya watu wasiopungua milioni moja ya kulaani kuwepo kijeshi Marekani nchini humo.
-
Bunge la Iraq lapitisha mpango wa kuwatimua askari wa jeshi la Marekani walioko nchini humo + Video
Jan 05, 2020 16:18Bunge la Iraq limepiga kura na kupitisha mpango uliopendekezwa na wabunge wa kuhitimisha makubaliano ya kijeshi yaliyofikiwa kati ya nchi hiyo na Marekani na kuwataka wanajeshi wa Marekani waondoke nchini humo.
-
Mpango wa Pentagon wa kuongeza idadi ya askari wa Marekani barani Ulaya kwa kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa
Dec 11, 2019 08:11Donald Trump, rais machachari na mwenye makeke wa Marekani amewahi kusikika mara kadhaa akiwalaumu na kuwakosoa waitifaki wa Washington wa barani Ulaya na hata kutishia kwamba, nchi yake haitakuwa tayari kuendelea kugharimika kwa ajili ya usalama wa nchi za bara hilo; hata hivyo mpango uliotangazwa na Wizara ya Ulinzi ya Marekani, Pentagon wa kuongeza idadi ya askari wa nchi hiyo barani Ulaya umeyatoa maanani madai hayo ya Trump.
-
Sera za undumilakuwili za Marekani nchini Syria
Dec 06, 2019 08:04Tangu mwaka 2014, Marekani imejiingiza kijeshi kinyume cha sheria nchini Syria kwa kisingizio cha kupambana na kundi la kigaidi la Daesh; na hivi sasa pia, licha ya madai ya rais wa nchi hiyo Donald Trump kwamba imejiondoa kijeshi katika ardhi ya Syria, imeshatafuta kisingizio kingine kipya ili kurefusha muda wa kuweko askari wake nchini humo.