-
Kwa nini Waziri Mkuu wa India amewataka wananchi kutumia bidhaa za ndani?
Sep 24, 2025 11:08Waziri Mkuu wa India amewataka wananchi wa nchi hiyo kuacha kutumia bidhaa kutoka nje na badala yake watumie bidhaa za ndani kufuatia kushtadi mivutano katika uhusiano wa nchi hiyo na Marekani.
-
Msimamo wa karibuni wa Malaysia kuhusiana na utawala wa kizayuni na jinai unazofanya Ghaza
Sep 01, 2025 07:24Malaysia imeitaka Jamii ya Kimataifa isimamishe uwanachama wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika Umoja wa Mataifa na kuuwekea vikwazo vikali utawala huo ghasibu.
-
Mkuu wa Jeshi: Iran itatoa 'jibu kali la kusagasaga zaidi' kwa uchokozi wowote mpya wa adui
Aug 22, 2025 11:50Mkuu wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu Iran Meja Jenerali Amir Hatami amesisitiza kuwa Vikosi vya Ulinzi vimejiweka tayari kutoa jibu kwa wavamizi ambalo ni la "kusagasaga zaidi" kuliko lile lililoonekana wakati wa uchokozi uliofanywa na utawala haramu wa kizayuni wa Israel na Marekani dhidi ya taifa hili.
-
Kwa nini India inashirikiana na utawala wa kizayuni wa Israel?
Aug 09, 2025 02:29Katika miaka ya hivi karibuni India na utawala wa Kizayuni zimeanzisha uhusiano mkubwa katika sekta nyingi za kiuchumi, kijeshi na kisiasa.
-
Waziri Mkuu wa Cuba alaani vita vya Gaza na kunyimwa chakula wa watu wa eneo hilo
Aug 06, 2025 06:53Waziri Mkuu wa Cuba ametuma jumbe kadhaa katika mitandao ya kijamii na kulaani sera za utawala wa Kizayuni dhidi ya wakazi wa Kipalestina wa Ukanda wa Gaza za kuzuia kutolewa bidhaa za chakula na kuwasababisha njaa wakazi wa eneo hilo.
-
Mripuko wa bomu lililotegwa ardhini waua watu 26 kaskazini mashariki mwa Nigeria
Apr 29, 2025 07:12Watu wapatao 26 wameuawa na wengine watatu wamejeruhiwa wakati magari mawili yalipokanyaga bomu la kutegwa ardhini katika jimbo la Borno kaskazini mashariki mwa Nigeria, ambacho ni kitovu cha waasi.
-
Waziri Mkuu mpya wa Greenland amwambia Trump: Greenland haiuzwi
Apr 29, 2025 02:43Waziri Mkuu mpya wa Greenland amesisitiza kuwa Greenland haiuzwi. Jens Frederik Nielsen ameeleza haya akimhutubu Rais wa Marekani ambaye ametaka eneo hilo kuunganishwa na Marekani.
-
Marekani, Mshirika Asiyeaminika
Mar 31, 2025 02:39Waziri Mkuu wa Canada, Mark Carney, ambaye amemrithi Justin Trudeau, amesisitiza kwamba atajibu hatua za Marekani dhidi ya nchi hiyo katika nyanja za kiuchumi na kibiashara, na amekiri kwamba: "Marekani si mshirika wa kuaminika tena."
-
Chama cha Ben-Gvir chajitoa kwenye serikali ya Israel kupinga makubaliano ya usitishaji vita Ghaza
Jan 19, 2025 10:40Chama cha siasa kali za mrengo wa kulia cha Nguvu za Kiyahudi (Otzma Yehudit) cha waziri wa usalama wa ndani Itamar Ben-Gvir kimejiondoa kwenye serikali ya muungano ya utawala wa Kizayuni kulalamikia makubaliano ya kusitishwa vita katika Ukanda wa Ghaza.
-
Togo yateua tena mwanamke kuwa Waziri Mkuu kwa muda wa miaka sita
Aug 02, 2024 06:37Rais Faure Gnassingbe wa Togo jana Alkhamisi alimteua tena Victoire Tomegah-Dogbe kuwa waziri mkuu wa nchi hiyo kwa muhula wa miaka sita chini ya katiba mpya.