-
Kwa nini India inashirikiana na utawala wa kizayuni wa Israel?
Aug 09, 2025 02:29Katika miaka ya hivi karibuni India na utawala wa Kizayuni zimeanzisha uhusiano mkubwa katika sekta nyingi za kiuchumi, kijeshi na kisiasa.
-
Waziri Mkuu wa Cuba alaani vita vya Gaza na kunyimwa chakula wa watu wa eneo hilo
Aug 06, 2025 06:53Waziri Mkuu wa Cuba ametuma jumbe kadhaa katika mitandao ya kijamii na kulaani sera za utawala wa Kizayuni dhidi ya wakazi wa Kipalestina wa Ukanda wa Gaza za kuzuia kutolewa bidhaa za chakula na kuwasababisha njaa wakazi wa eneo hilo.
-
Mripuko wa bomu lililotegwa ardhini waua watu 26 kaskazini mashariki mwa Nigeria
Apr 29, 2025 07:12Watu wapatao 26 wameuawa na wengine watatu wamejeruhiwa wakati magari mawili yalipokanyaga bomu la kutegwa ardhini katika jimbo la Borno kaskazini mashariki mwa Nigeria, ambacho ni kitovu cha waasi.
-
Waziri Mkuu mpya wa Greenland amwambia Trump: Greenland haiuzwi
Apr 29, 2025 02:43Waziri Mkuu mpya wa Greenland amesisitiza kuwa Greenland haiuzwi. Jens Frederik Nielsen ameeleza haya akimhutubu Rais wa Marekani ambaye ametaka eneo hilo kuunganishwa na Marekani.
-
Marekani, Mshirika Asiyeaminika
Mar 31, 2025 02:39Waziri Mkuu wa Canada, Mark Carney, ambaye amemrithi Justin Trudeau, amesisitiza kwamba atajibu hatua za Marekani dhidi ya nchi hiyo katika nyanja za kiuchumi na kibiashara, na amekiri kwamba: "Marekani si mshirika wa kuaminika tena."
-
Chama cha Ben-Gvir chajitoa kwenye serikali ya Israel kupinga makubaliano ya usitishaji vita Ghaza
Jan 19, 2025 10:40Chama cha siasa kali za mrengo wa kulia cha Nguvu za Kiyahudi (Otzma Yehudit) cha waziri wa usalama wa ndani Itamar Ben-Gvir kimejiondoa kwenye serikali ya muungano ya utawala wa Kizayuni kulalamikia makubaliano ya kusitishwa vita katika Ukanda wa Ghaza.
-
Togo yateua tena mwanamke kuwa Waziri Mkuu kwa muda wa miaka sita
Aug 02, 2024 06:37Rais Faure Gnassingbe wa Togo jana Alkhamisi alimteua tena Victoire Tomegah-Dogbe kuwa waziri mkuu wa nchi hiyo kwa muhula wa miaka sita chini ya katiba mpya.
-
Mirengo ya kulia Ufaransa, Ujerumani na Austria yashinda uchaguzi wa EU, Macron avunja Bunge
Jun 10, 2024 06:56Vyama vya siasa kali za mrengo wa kulia vimepata mafanikio makubwa katika uchaguzi wa wabunge wa Umoja wa Ulaya, na kutoa kipigo cha kufedhehesha kwa Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron na Kansela wa Austria Karl Nehammer.
-
Waziri Mkuu wa Denmark ashambuliwa na kupigwa Copenhagen
Jun 08, 2024 07:40Waziri Mkuu wa Denmark Bi Mette Frederiksen alishambuliwa jana Ijumaa alipokuwa kwenye bustani ya Copenhagen, mji mkuu wa nchi hiyo.
-
Onyo jipya kuhusu kuingia NATO katika vita vya Ukraine
Apr 23, 2024 04:25Viktor Orbán, Waziri Mkuu wa Hungary amesema katika taarifa kwamba viongozi wa Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Kujihami ya Kijeshi ya Magharibi (NATO) wanauchukulia mzozo wa Moscow na Kyiv kuwa ni wao na wala hawazingatii hatari ya kujihusisha na mzozo huo. Ameonya kuwa NATO inakaribia kutuma askari wake huko Ukraine.