Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Waziri Mkuu

  • Indhari ya Uhispania kuhusu matukio ya eneo na ya kimataifa ya vita vya Gaza

    Indhari ya Uhispania kuhusu matukio ya eneo na ya kimataifa ya vita vya Gaza

    Jan 19, 2024 03:27

    Pedro Sánchez, Waziri Mkuu wa Uhispania ameonya kuwa, usalama na uthabiti wa eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati) umekuwa hatarini na kwamba, mashambulizi haya yanahatarisha nidhamu na uratibu wa ushirikiano wa pande kadhaa.

  • Al Sudani asisitiza kuondoka haraka wanajeshi vamizi wa Marekani huko Iraq

    Al Sudani asisitiza kuondoka haraka wanajeshi vamizi wa Marekani huko Iraq

    Jan 11, 2024 07:46

    Waziri Mkuu wa Iraq ameashiria hatua za kuvuruga usalama na amani vya Marekani na kutaka kuondoka nchini humo wanajeshi vamizi wa Marekani haraka iwezekanavyo.

  • Uhispania na Ubelgiji zatangaza kuwa tayari kuitambua rasmi nchi ya Palestina

    Uhispania na Ubelgiji zatangaza kuwa tayari kuitambua rasmi nchi ya Palestina

    Nov 25, 2023 11:47

    Hatua ya Uhispania na Ubelgiji ya kutangaza kuwa tayari kuitambua rasmi nchi huru ya Palestina ni tukio muhimu kushuhudiwa barani Ulaya kuhusu kadhia ya Palestina. Hatua hii imeukasirisha sana utawala wa Kizayuni.

  • Ukosolewaji mkali wa undumakuwili wa Magharibi kuhusu kadhia ya Israel na Wapalestina

    Ukosolewaji mkali wa undumakuwili wa Magharibi kuhusu kadhia ya Israel na Wapalestina

    Nov 21, 2023 07:12

    Waziri Mkuu wa Ireland, Leo Varadkar amekosoa vikali undumilakuwili wa nchi za Magharibi na kusema kuwa Umoja wa Ulaya na madola ya Magharibi yanashughulikia masuala yanayohusiana na Israel na Palestina kwa undumilakuwili wa wazi.

  • Al Sudani: Iraq inapinga kukiukwa mamlaka ya kujitawala ya nchi jirani

    Al Sudani: Iraq inapinga kukiukwa mamlaka ya kujitawala ya nchi jirani

    Oct 04, 2023 06:48

    Waziri Mkuu wa Iraq amesisitiza kwa mara nyingine tena kwamba nchi yake haitageuzwa kuwa sehemu ya kukika mamlaka ya kujitawala ya nchi yoyote ile hasa nchi jirani.

  • Waziri Mkuu wa Kuwait asisitiza umuhimu wa kadhia ya Palestina

    Waziri Mkuu wa Kuwait asisitiza umuhimu wa kadhia ya Palestina

    Sep 22, 2023 11:33

    Waziri Mkuu wa Kuwait Ahmad Nawaf Al-Ahmad Al-Sabah amesisitiza kuwa Palestina ni moja ya masuala muhimu katika ulimwengu wa Kiislamu na ulimwengu wa Kiarabu.

  • Shamkhani asisitiza kuanzishwa utaratibu wa matumizi ya Riyali na Rupia

    Shamkhani asisitiza kuanzishwa utaratibu wa matumizi ya Riyali na Rupia

    May 02, 2023 01:33

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran ametilia mkazo kuanzishwa utaratibu wa kutumia sarafu ya Riyali na Rupia katika mabadilishano ya kibiashara na kiuchumi kati ya Iran na India.

  • Waziri Mkuu wa Lebanon: Kuna ulazima wa kuchukua hatua haraka ili kuiokoa nchi

    Waziri Mkuu wa Lebanon: Kuna ulazima wa kuchukua hatua haraka ili kuiokoa nchi

    Mar 24, 2023 10:00

    Waziri Mkuu wa Lebanon Najib Miqati amesema, kuna ulazima wa kuchukuliwa hatua za haraka za kuiokoa nchi hiyo.

  • Wimbi jipya la migomo na malalamiko nchini Uingereza; ishara ya kutoridhishwa na serikali ya Sunak

    Wimbi jipya la migomo na malalamiko nchini Uingereza; ishara ya kutoridhishwa na serikali ya Sunak

    Mar 18, 2023 08:01

    Mamia ya maelfu ya wananchi wa Uingereza wamemiminika katika mitaa ya mji mkuu wa nchi hiyo, London katika maandamano na migomo mikubwa inayoendelea dhidi ya serikali ya Waziri Mkuu, Rishi Sunak.

  • Muhammad Shia al Sudani: Iran haiingilii masuala ya Iraq; Wamagharibi wanapasa kufahamu mazingira ya Iraq

    Muhammad Shia al Sudani: Iran haiingilii masuala ya Iraq; Wamagharibi wanapasa kufahamu mazingira ya Iraq

    Mar 16, 2023 04:37

    Waziri Mkuu wa Iraq amekaribisha mapatano ya Iran na Saudi Arabia na kusema kuwa: Iran kamwe haingilii masuala ya ndani ya Iraq na Wamagharibi wanapasa kufahamu mazingira ya Iraq.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS