Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Waziri Mkuu

  • Togo yateua tena mwanamke kuwa Waziri Mkuu kwa muda wa miaka sita

    Togo yateua tena mwanamke kuwa Waziri Mkuu kwa muda wa miaka sita

    Aug 02, 2024 06:37

    Rais Faure Gnassingbe wa Togo jana Alkhamisi alimteua tena Victoire Tomegah-Dogbe kuwa waziri mkuu wa nchi hiyo kwa muhula wa miaka sita chini ya katiba mpya.

  • Mirengo ya kulia Ufaransa, Ujerumani na Austria yashinda uchaguzi wa EU, Macron avunja Bunge

    Mirengo ya kulia Ufaransa, Ujerumani na Austria yashinda uchaguzi wa EU, Macron avunja Bunge

    Jun 10, 2024 06:56

    Vyama vya siasa kali za mrengo wa kulia vimepata mafanikio makubwa katika uchaguzi wa wabunge wa Umoja wa Ulaya, na kutoa kipigo cha kufedhehesha kwa Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron na Kansela wa Austria Karl Nehammer.

  • Waziri Mkuu wa Denmark ashambuliwa na kupigwa Copenhagen

    Waziri Mkuu wa Denmark ashambuliwa na kupigwa Copenhagen

    Jun 08, 2024 07:40

    Waziri Mkuu wa Denmark Bi Mette Frederiksen alishambuliwa jana Ijumaa alipokuwa kwenye bustani ya Copenhagen, mji mkuu wa nchi hiyo.

  • Onyo jipya kuhusu kuingia  NATO katika vita vya Ukraine

    Onyo jipya kuhusu kuingia NATO katika vita vya Ukraine

    Apr 23, 2024 04:25

    Viktor Orbán, Waziri Mkuu wa Hungary amesema katika taarifa kwamba viongozi wa Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Kujihami ya Kijeshi ya Magharibi (NATO) wanauchukulia mzozo wa Moscow na Kyiv kuwa ni wao na wala hawazingatii hatari ya kujihusisha na mzozo huo. Ameonya kuwa NATO inakaribia kutuma askari wake huko Ukraine.

  • Ushiriki wa Ireland katika kesi ya Afrika Kusini dhidi ya Israel kutokana na mauaji ya kimbari Gaza

    Ushiriki wa Ireland katika kesi ya Afrika Kusini dhidi ya Israel kutokana na mauaji ya kimbari Gaza

    Mar 30, 2024 04:31

    Ireland ilitangaza Jumatano, Machi 27, kwamba itashiriki katika kesi iliyowasilishwa na Afrika Kusini katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) dhidi ya utawala wa Isarel kutokana na mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na utawala huo huko Gaza.

  • Waziri Mkuu wa Serikali ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina ajiuzulu

    Waziri Mkuu wa Serikali ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina ajiuzulu

    Feb 26, 2024 11:23

    Waziri Mkuu wa Serikali ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina Mohammad Ashtiyah, amejiuzulu wadhifa wake huo.

  • Indhari ya Uhispania kuhusu matukio ya eneo na ya kimataifa ya vita vya Gaza

    Indhari ya Uhispania kuhusu matukio ya eneo na ya kimataifa ya vita vya Gaza

    Jan 19, 2024 03:27

    Pedro Sánchez, Waziri Mkuu wa Uhispania ameonya kuwa, usalama na uthabiti wa eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati) umekuwa hatarini na kwamba, mashambulizi haya yanahatarisha nidhamu na uratibu wa ushirikiano wa pande kadhaa.

  • Al Sudani asisitiza kuondoka haraka wanajeshi vamizi wa Marekani huko Iraq

    Al Sudani asisitiza kuondoka haraka wanajeshi vamizi wa Marekani huko Iraq

    Jan 11, 2024 07:46

    Waziri Mkuu wa Iraq ameashiria hatua za kuvuruga usalama na amani vya Marekani na kutaka kuondoka nchini humo wanajeshi vamizi wa Marekani haraka iwezekanavyo.

  • Uhispania na Ubelgiji zatangaza kuwa tayari kuitambua rasmi nchi ya Palestina

    Uhispania na Ubelgiji zatangaza kuwa tayari kuitambua rasmi nchi ya Palestina

    Nov 25, 2023 11:47

    Hatua ya Uhispania na Ubelgiji ya kutangaza kuwa tayari kuitambua rasmi nchi huru ya Palestina ni tukio muhimu kushuhudiwa barani Ulaya kuhusu kadhia ya Palestina. Hatua hii imeukasirisha sana utawala wa Kizayuni.

  • Ukosolewaji mkali wa undumakuwili wa Magharibi kuhusu kadhia ya Israel na Wapalestina

    Ukosolewaji mkali wa undumakuwili wa Magharibi kuhusu kadhia ya Israel na Wapalestina

    Nov 21, 2023 07:12

    Waziri Mkuu wa Ireland, Leo Varadkar amekosoa vikali undumilakuwili wa nchi za Magharibi na kusema kuwa Umoja wa Ulaya na madola ya Magharibi yanashughulikia masuala yanayohusiana na Israel na Palestina kwa undumilakuwili wa wazi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS