-
Marekani, adui wa amani na usalama wa dunia
Oct 25, 2018 23:04Uamuzi uliochukuliwa na Rais Donald Trump wa Marekani wa kujiondoa katika mkataba wa silaha za nyuklia za masafa ya kati (INF) ambao umechukuliwa katika fremu ya sera za Trump za kujiondoa katika mikataba ya kimataifa, umekabiliwa na upinzani mkubwa wa viongozi wa nchi na jumuiya mbalimbali za kimataifa.
-
Wamarekani: Korea Kaskazini haijasimamisha miradi yake ya nyuklia!
Oct 06, 2018 22:56Watafiti kadhaa ya Marekani wamedai kwamba, uchunguzi wao umebaini kuwa Korea Kaskazini inaendelea na shughuli zake za nyuklia huku ikiilaumu Washington kuwa inapuuza kutekeleza makubaliano yaliyofikiwa katika mkutano wa viongozi wa nchi hizo mbili mwezi Juni mwaka huu.
-
Onyo la Waziri wa Ulinzi wa Marekani kwa Russia juu ya kukiuka mkataba wa makombora
Oct 06, 2018 04:52Moja kati ya masuala muhimu katika mivutano iliyopo kati ya Marekani na Russia ni mjadala unaohusiana na mkataba wa silaha. Moscow na Washington zina tofauti kubwa katika uwanja wa mkataba wa makombora ya wastani kwa kifupi INF.
-
Baraza Kuu la UN; uwanja wa kukejeliwa Trump, jukwaa la mazingaombwe ya Netanyahu
Sep 28, 2018 10:44Kikao cha kila mwaka cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kimefanyika, huku walimwengu wakijionea igizo jengine la usanii wa Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel; utawala ambao una mamia ya vichwa vya nyuklia, silaha ambazo ni tishio na hatari kwa usalama wa dunia. Hata hivyo kutokana na kuungwa mkono na Marekani, utawala huo khabithi hauwajibiki kwa taasisi yoyote ile duniani.
-
Kuvunjwa safari ya Mike Pompeo Korea Kaskazini; nukta ya kubatilika madai ya Trump
Aug 26, 2018 22:48Katika kipindi cha utawala wake nchini Marekani, Rais Donald Trump amejaribu kufanya mabadiliko anayoyaona kuwa makubwa katika uga wa ndani na nje ya nchi hiyo ili kwa njia hiyo aweze kujidhihirisha kuwa rais anayependwa na aliyefanikiwa zaidi katika utekelezaji wa majukumu yake nchini humo.
-
IAEA: Korea ya Kaskazini haijasimamisha miradi yake ya nyuklia
Aug 21, 2018 10:47Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) umetangaza kuwa hakuna kiashiria chochote kinachoonyesha kuwa shughuli za nyuklia za Korea ya Kaskazini zimesimamishwa.
-
Larijani: Adui hawezi kuzungumza na Iran kwa kutumia lugha ya mabavu
Jul 23, 2018 00:07Spika wa Bunge la Iran amesema kuwa maendeleo ya utengenezaji wa makombora ya Jamhuri ya Kiislamu ni makubwa kiasi kwamba sasa adui hawezi kuzungumza na Iran kwa kutumia lugha ya vitisho na vita.
-
Marekani, mkiukaji mkubwa wa mkataba wa kuzuia silaha za nyuklia na makombora ya masafa ya wastani
May 23, 2018 08:03Mkuu wa kituo cha Kitaifa cha Kupunguza Hatari ya Nyuklia cha nchini Russia, Sergei Ryzhkov amesema kuwa, Marekani imeendelea kuifanyia majaribio mifumo ya ulinzi ya makombora na kadhalika kuzalisha makombora ambayo yalipigwa marufuku na mkataba wa kuzuia silaha za nyuklia na kufuatilia kutengeneza silaha za masafa ya wastani.
-
Inspekta Mkuu wa IAEA ajiuzulu baada ya Marekani kujiondoa JCPOA
May 12, 2018 02:50Inspekta Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA ametangaza kujiuzulu ghafla, siku chache baada ya Rais Donald Trump kuiondoa Marekani kwenye makubaliano ya nyuklia ya Iran.
-
Ujumbe Muhimu wa Zarif kuhusu mapatano ya nyuklia ya Iran + VIDEO
May 04, 2018 12:03Katika Ujumbe wake wa video hapo jana Alkhamisi, Muhammad Jawad Zarif, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran alisema kuwa kuna chaguo moja tu la kufanikisha makubaliano ya nyuklia kati ya Iran na nchi sita kubwa za dunia, nalo ni Marekani kutekeleza ahadi zake zote kuhusiana na makubaliano hayo.