Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Zimbabwe

  • Polisi ya Afrika kusini yatoa waranti wa kukamatwa mke wa Mugabe

    Polisi ya Afrika kusini yatoa waranti wa kukamatwa mke wa Mugabe

    Dec 19, 2018 11:51

    Polisi ya Afrika Kusini imetoa kibali cha kutiwa nguvuni mke wa rais wa zamani wa Zimbabwe, Grace Mugabe kwa tuhuma za kumshambulia na kumpiga mwanamitindo Gabriella Engels mjini Johannesburg mwaka uliopita.

  • Hatimaye wapinzani wafanya maandamano nchini Zimbabwe

    Hatimaye wapinzani wafanya maandamano nchini Zimbabwe

    Nov 30, 2018 01:04

    Maelfu ya wafuasi wa kambi ya upinzani wamefanya maandamano ya kupinga serikali mjini Harare Zimbabwe mbele ya vikosi vya ulinzi vya nchi hiyo.

  • Serikali Zimbabwe yawaonya wapinzani wasithibutu kuandamana

    Serikali Zimbabwe yawaonya wapinzani wasithibutu kuandamana

    Nov 27, 2018 11:19

    Serikali ya Zimbabwe imetoa onyo kwa chama cha upinzani cha MDC kuwa kitawajibika iwapo mpango wake wa maandamano yaliyopangwa kufanyika Alhamisi wiki hii utasababisha vifo, majeruhi au uharibifu wa mali.

  • Wapinzani kuandamana dhidi ya serikali nchini Zimbabwe

    Wapinzani kuandamana dhidi ya serikali nchini Zimbabwe

    Nov 27, 2018 04:31

    Chama kikuu cha upinzani nchini Zimbabwe kimetangaza Alkhamisi ya kesho kutwa kuwa siku ya kufanya maandamano ya kitaifa dhidi ya serikali.

  • Basi lililokuwa likielekea A/Kusini laripuka na kuua abiria 43 Zimbabwe

    Basi lililokuwa likielekea A/Kusini laripuka na kuua abiria 43 Zimbabwe

    Nov 16, 2018 11:10

    Watu wasiopungua 43 wamethibitishwa kupoteza maisha baada ya basi la abiria kuripuka na kushika moto usiku wa kuamkia leo nchini Zimbabwe.

  • Rais Mnangagwa: Zimbabwe ina hifadhi kubwa ya mafuta na gesi

    Rais Mnangagwa: Zimbabwe ina hifadhi kubwa ya mafuta na gesi

    Nov 02, 2018 03:58

    Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe amefichua kuwa, nchi hiyo ina hifadhi kubwa ya mafuta na gesi katika mji wa Muzarabani ulioko kaskazini mwa nchi.

  • Mzimbabwe adai kutibu UKIMWI, WHO yasisitiza hakuna tiba

    Mzimbabwe adai kutibu UKIMWI, WHO yasisitiza hakuna tiba

    Nov 01, 2018 03:22

    Shirika la Afya Duniani WHO limesema hadi sasa hakuna tiba ya ugonjwa hatari wa Ukimwi na wagonjwa nchini Zimbabwe wanaotumia dawa za kupunguza makali ya virusi vinavyosababisha ugonjwa huo, VVU waendelee kuzitumia.

  • Upizani Zimbabwe: Rais Mnangagwa hana uhalali wa kuongoza

    Upizani Zimbabwe: Rais Mnangagwa hana uhalali wa kuongoza

    Oct 23, 2018 23:22

    Kiongozi wa chama cha upinzani cha MDC nchini Zimbabwe, Nelson Chamisa ametoa mwito wa kuundwa Mamlaka ya Kitaifa ya Mpito akisisitiza kuwa hiyo ndiyo njia pekee ya kuupatia ufumbuzi mgogoro kuhusu uhalali wa serikali ya Rais Emmerson Mnangagwa.

  • Mnangagwa: Kodi mpya inahitajika kwa ajili ya kufufua uchumi

    Mnangagwa: Kodi mpya inahitajika kwa ajili ya kufufua uchumi

    Oct 08, 2018 23:04

    Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe amesema kuwa kodi mpya kwa malipo ya kielektroniki iliyotangazwa nchini humo inaumiza lakini ni sehemu muhimu ya jitihada za serikali za kufufua uchumi.

  • China: Hatuna azma ya 'kuikoloni' Zimbabwe licha ya kushindwa kutulipa madeni yetu

    China: Hatuna azma ya 'kuikoloni' Zimbabwe licha ya kushindwa kutulipa madeni yetu

    Oct 02, 2018 04:49

    China imesema Beijing haina nia wala mpango wa kunyakua na kudhibiti mali za Zimbabwe licha ya serikali ya Harare kushindwa kuilipa nchi hiyo malimbikizo ya madeni yake.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS