-
Polisi ya Afrika kusini yatoa waranti wa kukamatwa mke wa Mugabe
Dec 19, 2018 11:51Polisi ya Afrika Kusini imetoa kibali cha kutiwa nguvuni mke wa rais wa zamani wa Zimbabwe, Grace Mugabe kwa tuhuma za kumshambulia na kumpiga mwanamitindo Gabriella Engels mjini Johannesburg mwaka uliopita.
-
Hatimaye wapinzani wafanya maandamano nchini Zimbabwe
Nov 30, 2018 01:04Maelfu ya wafuasi wa kambi ya upinzani wamefanya maandamano ya kupinga serikali mjini Harare Zimbabwe mbele ya vikosi vya ulinzi vya nchi hiyo.
-
Serikali Zimbabwe yawaonya wapinzani wasithibutu kuandamana
Nov 27, 2018 11:19Serikali ya Zimbabwe imetoa onyo kwa chama cha upinzani cha MDC kuwa kitawajibika iwapo mpango wake wa maandamano yaliyopangwa kufanyika Alhamisi wiki hii utasababisha vifo, majeruhi au uharibifu wa mali.
-
Wapinzani kuandamana dhidi ya serikali nchini Zimbabwe
Nov 27, 2018 04:31Chama kikuu cha upinzani nchini Zimbabwe kimetangaza Alkhamisi ya kesho kutwa kuwa siku ya kufanya maandamano ya kitaifa dhidi ya serikali.
-
Basi lililokuwa likielekea A/Kusini laripuka na kuua abiria 43 Zimbabwe
Nov 16, 2018 11:10Watu wasiopungua 43 wamethibitishwa kupoteza maisha baada ya basi la abiria kuripuka na kushika moto usiku wa kuamkia leo nchini Zimbabwe.
-
Rais Mnangagwa: Zimbabwe ina hifadhi kubwa ya mafuta na gesi
Nov 02, 2018 03:58Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe amefichua kuwa, nchi hiyo ina hifadhi kubwa ya mafuta na gesi katika mji wa Muzarabani ulioko kaskazini mwa nchi.
-
Mzimbabwe adai kutibu UKIMWI, WHO yasisitiza hakuna tiba
Nov 01, 2018 03:22Shirika la Afya Duniani WHO limesema hadi sasa hakuna tiba ya ugonjwa hatari wa Ukimwi na wagonjwa nchini Zimbabwe wanaotumia dawa za kupunguza makali ya virusi vinavyosababisha ugonjwa huo, VVU waendelee kuzitumia.
-
Upizani Zimbabwe: Rais Mnangagwa hana uhalali wa kuongoza
Oct 23, 2018 23:22Kiongozi wa chama cha upinzani cha MDC nchini Zimbabwe, Nelson Chamisa ametoa mwito wa kuundwa Mamlaka ya Kitaifa ya Mpito akisisitiza kuwa hiyo ndiyo njia pekee ya kuupatia ufumbuzi mgogoro kuhusu uhalali wa serikali ya Rais Emmerson Mnangagwa.
-
Mnangagwa: Kodi mpya inahitajika kwa ajili ya kufufua uchumi
Oct 08, 2018 23:04Rais Emmerson Mnangagwa wa Zimbabwe amesema kuwa kodi mpya kwa malipo ya kielektroniki iliyotangazwa nchini humo inaumiza lakini ni sehemu muhimu ya jitihada za serikali za kufufua uchumi.
-
China: Hatuna azma ya 'kuikoloni' Zimbabwe licha ya kushindwa kutulipa madeni yetu
Oct 02, 2018 04:49China imesema Beijing haina nia wala mpango wa kunyakua na kudhibiti mali za Zimbabwe licha ya serikali ya Harare kushindwa kuilipa nchi hiyo malimbikizo ya madeni yake.