Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Zimbabwe

  • Rais Mugabe: Mrithi wangu anapaswa kuchaguliwa kwa njia ya demokrasia

    Rais Mugabe: Mrithi wangu anapaswa kuchaguliwa kwa njia ya demokrasia

    Mar 04, 2016 10:58

    Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe amekanusha madai ya kumuandaa mke wake aje kurithi kiti cha urais wa nchi hiyo na badala yake amesema kuwa, mrithi wake anapaswa kuchaguliwa kupitia njia ya demokrasia.

  • Upinzani: Mpango wa mageuzi ya ardhi wa Zimbabwe umeharibu uchumi

    Upinzani: Mpango wa mageuzi ya ardhi wa Zimbabwe umeharibu uchumi

    Feb 28, 2016 23:07

    Mwanachama wa chama cha upinzani kujulikanacho kwa jina la People’s Democratic (PDP) amedai kuwa serikali ya Rais Robert Mugabe imeharibu kikamilifu uchumi wa nchi hiyo wakati ilipoanzisha mpango wa marekebisho ya ardhi mwaka 2000.

  • Mugabe: Tutawaadhibu wanaogombania kunirithi urais

    Mugabe: Tutawaadhibu wanaogombania kunirithi urais

    Feb 20, 2016 10:15

    Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe ametishia kuwachukulia hatua za kinidhamu makada wa chama tawala nchini humo ZANU-PF wanaozozana kuhusu ni nani atakayerithi kiti cha urais baada yake.

  • Zimbabwe yaomba msaada $ Bilioni 1.5 kukabiliana na njaa

    Zimbabwe yaomba msaada $ Bilioni 1.5 kukabiliana na njaa

    Feb 10, 2016 11:54

    Serikali ya Zimbabwe imetoa ombi la msaada wa dharura wa dola zaidi ya bilioni 1.5 za kimarekani ili kununua nafaka kutoka nchi za nje na kuboresha ukulima nchini humo.

  • Hali ya maafa yatangazwa Zimbabwe kufuatia ukame ulioikumba nchi hiyo

    Hali ya maafa yatangazwa Zimbabwe kufuatia ukame ulioikumba nchi hiyo

    Feb 07, 2016 04:17

    Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe ametangaza hali ya maafa kufuatia ukame mkali ulioathiri maeneo mengi ya vijijini nchini humo.

  • Chinoka: Afya ya Rais Mugabe imedhoofu; hafai kuongoza nchi

    Chinoka: Afya ya Rais Mugabe imedhoofu; hafai kuongoza nchi

    Feb 06, 2016 11:29

    Wakili maarufu nchini Zimbabwe ameelezea wasi wasi wake juu ya hali ya afya ya Rais Robert Mugabe akisema kuwa, hafai kuendelea kuongoza nchi hiyo.

  • Mugabe atangaza baa la njaa kuwa janga la kitaifa

    Mugabe atangaza baa la njaa kuwa janga la kitaifa

    Feb 05, 2016 11:56

    Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe ametangaza baa la njaa linaloisumbua nchi yake kuwa janga la kitaifa.

  • AG, DPP wa Zimbabwe kizimbani kwa kutupa kesi ya hujuma dhidi ya kampuni ya Mugabe

    AG, DPP wa Zimbabwe kizimbani kwa kutupa kesi ya hujuma dhidi ya kampuni ya Mugabe

    Feb 03, 2016 04:34

    Mwanasheria Mkuu na Mkuu wa Mashtaka ya Umma wa Zimbabwe wamepandishwa kizimbani kwa tuhuma za kutupilia mbali kesi dhidi ya watuhumiwa wanaodaiwa kula njama ya kuishambulia kwa bomu kampuni ya maziwa inayomilikiwa na familia ya Rais wa nchi hiyo Robert Mugabe.

  • Iran na Zimbabwe kushirikiana katika sekta ya afya

    Iran na Zimbabwe kushirikiana katika sekta ya afya

    Feb 02, 2016 04:03

    Mawaziri wa afya wa Iran na Zimbabwe wamesisitiza kuhusu kutekelezwa mapatano yaliyotiwa saini.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS