-
Video ya kwanza kabisa ya msikiti wa al Nuri wa Iraq baada ya kufurushwa magaidi wa Daesh
Jun 29, 2017 12:42Televisheni ya al Sumaria ya Iraq imerusha hewani ripoti ya mwandishi wake aliyekuwa amefuatana na vikosi vya ulinzi vya Iraq katika ukombozi wa ngome ya mwisho ya magaidi wa Daesh (ISIS) mjini Mosul, Iraq.
-
Video: Daesh wasambaratishwa kikamilifu Iraq, ndoto ya ISIS yayeyuka
Jun 29, 2017 10:52Waziri Mkuu wa Iraq, Haidar al Abadi ametangaza kusambaratishwa dola la uongo la Daesh nchini humo, baada ya vikosi vya ulinzi vya nchi hiyo kwa kushirikiana na vikosi vya kujitolea vya wananchi kukomboa maeneo yote ya Mosul, makao makuu ya mkoa wa Nainawa. Tangazo hilo la Waziri Mkuu wa Iraq limekuja baada ya vikosi vya nchi kuukomboa msikiti mkuu na mkongwe wa al Nuri, katikati ya mji wa Mosul.
-
Video na picha mbalimbali za matukio ya mazishi ya Nabra Hassanen aliyeuawa na kijana mwenye chuki za kidini
Jun 22, 2017 10:20Hali ya masikitiko na majonzi yameonekana kutawala mioyo ya maelfu ya Waislamu na wasio Waislamu nchini Marekani tangu kulipotokea mauaji ya binti wa Kiislamu aliyeuawa na kijana mwenye chuki dhidi ya dini ya Uislamu katika jimbo la Virginia nchini humo.
-
Video: Sehemu ya nguvu za makombora za Iran, mara ya kwanza kusambazwa
Jun 21, 2017 05:18Mitandao mbalimbali ya Iran imesambaza kipande cha video kinachoonesha sehemu ya uwezo mkubwa wa makombora wa Iran na jinsi makombora hayo yalivyo na uwezo wa kupiga shabaha kwa umakini na umahiri wa hali ya juu.
-
VIDEO: Mashambulio ya makombora ya Iran dhidi ya magaidi wa Daesh yameakisiwa kwa wingi duniani
Jun 19, 2017 09:11Mashambulizi ya makombora yaliyofanywa jana usiku (Jumapili) na Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran SEPAH yameakisiwa kwa wingi.
-
Moja ya video zilizochukukliwa na drone za Iran wakati makombora yalipopiga maeneo ya magaidi wa Daesh nchini Syria
Jun 19, 2017 09:05Katika harakati ya kishujaa yenye utaalamu wa hali ya juu, ndege zisizo na rubani za Iran zilikuwa zinapiga picha na kuzituma nchini Iran wakati makombora ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH yalipotua katika maficho ya magaidi wa Daesh.
-
Iran yavurumisha makombora ya balistiki hadi ngome za ISIS nchini Syria+VIDEO
Jun 18, 2017 23:31Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu IRGC limetangaza kuvurumisha makombora kadhaa ya balistiki hadi katika ngome ya magaidi wa ISIS katika eneo la Deir Ezzor nchini Syria kama njia ya kuwaadhibu magaidi waliohusika na hujuma za hivi karibuni mjini Tehran.
-
Iran yafuzu fainali kucheza Kombe la Dunia 2018 Russia
Jun 14, 2017 00:06Timu ya soka ya taifa ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekuwa timu ya pili kujikatia tiketi ya michuano ya kombe la dunia hapo mwakani huko nchini Russia baada ya kuigaragaza timu ya Uzbekstan mbao 2 kwa nunge.
-
VIDEO: Magaidi wakiingia katika ofisi za huduma kwa raia za Bunge la Iran mjini Tehran
Jun 08, 2017 14:11Video ya awali kabisa inayoonesha magaidi wakiingia katika jengo la kutoa huduma kwa wananchi wa kawaida la Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, yaani Bunge la Iran.
-
VIDEO: Jeshi la SEPAH la Iran likiokoa wafanyakazi waliovamiwa na magaidi katika ofisi za Bunge, Tehran
Jun 08, 2017 14:06Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran wakiwaokoa wafanyakazi wa ofisi za Bunge mjini Tehran baada ya magaidi kujiingiza kwenye jengo hilo kwa mavazi ya kike.