-
HAMAS: Jinai za kila uchao za Israel hazitapita hivi hivi
Jan 14, 2023 00:19Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) sambamba na kusema kuwa imesikitishwa na kitendo cha kuuawa shahidi vijana wawili wa Kipalestina na utawala haramu wa Israel, imeonya kuwa, jinai za kila uchao za utawala huo wa Kizayuni hazitapita hivi hivi.
-
Katibu Mkuu wa UN: Tunalaani mauaji na hatua zote zisizo halali za Israel dhidi ya Wapalestina
Jan 13, 2023 07:26Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametahadharisha kuhusu matokeo hasi na yenye madhara kwa upanuzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi za Wapalestina zinazokaliwa kwa mabavu na Israel.
-
Kijana mwingine wa Kipalestina auliwa shahidi na Wazayuni; jumla ya mashahidi 4 katika kipindi cha saa 24
Jan 13, 2023 04:05Wanajeshi wa utawala haramu wa Kizayuni wameuuwa shahidi kijana mwingine Mpalestina kwa kumpiga risasi katika kitongoji cha Qabatiya kusuini kwa mji wa Jenin jana Alhamisi.
-
Mashirika ya haki za binadamu yatangaza mshikamano na wahanga wa ukandamizaji Saudi Arabia
Jan 12, 2023 23:09Mashirika 10 ya kutetea haki za binadamu yametangaza himaya na uungaji mkono wao kwa wahanga wa ukandamizaji nchini Saudi Arabia hususan wanaharakati, wafungwa wa kiitikadi na shakhsia wenye taathira katika jamii.
-
Muungano vamizi wa Saudia waendelea kukiuka usitishaji vita nchini Yemen
Jan 12, 2023 23:08Muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia umeendelea kukiuka makubaliano ya usitishaji viita ambapo katika kipindi cha masaa 48 yaliyopita umekiuka usitishaji vita huo zaidi ya mara 140.
-
Ripoti: Israel Imewaua Wanahabari 55 wa Kipalestina tangu 2000
Jan 12, 2023 04:29Waandishi habari wapatao hamsini na watano wa Kipalestina wameuawa na utawala katili wa Israel tangu mwaka 2000 ikiwa ni katika njama za utawala huo wa kikoloni za kuzuia habari za jinai zake dhidi ya Wapalestina kuwafikia walimwengu.
-
Msemaji wa Hamas: Utawala wa Kizayuni unafuatiliwa usiku na mchana
Jan 12, 2023 00:51Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ameeleza kuwa mapambano ya kulinda na kuutetea msikiti wa al Aqsa na mateka wa Kipalestina yatakuwa ya aina yake na kusisitiza kuwa utawala wa Kizayuni unawajibika kubeba dhima ya matokeo ya hatua za kichochezi za Ben Gvir.
-
Kushadidi kukosolewa baraza la mawaziri lenye utata la Netanyahu
Jan 12, 2023 00:32Katika kipindi cha chini ya wiki mbili tokea lianze kazi baraza la mawaziri la serikali mpya ya utawala wa Kizayuni wa Israel inayoongozwa na Benjamin Netanyahu, ukosoaji dhidi ya baraza hilo umeshadidi kwa kiasi kikubwa na hata baadhi wameonya kuhusu uwezekano wa kuzuka vita vya wenyewe kwa wenyewe katika utawala huo.
-
Hizbullah yailaani Charlie Hebdo kwa kumvunjia heshima Kiongozi Muadhamu
Jan 11, 2023 07:52Harakati ya muqawama ya Hizbullah ya Lebanon imelaani vikali kitendo cha jarida la Ufaransa la Charlie Hebdo cha kumvunjia heshima Ayatullah Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu.
-
Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC yataka Mzayuni Ben-Gvir awekewe vikwazo
Jan 11, 2023 03:12Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC imeitisha kikao cha dharura cha kuchunguza kuvunjiwa heshima Msikiti wa Al-Aqsa na Wazayuni wenye itikadi kali. Kikao hicho kimefanyika mjini Jeddah Saudi Arabia na kusisitiza kuwekewa vikwazo waziri wa usalama wa ndani wa utawala wa Kizayuni.