-
Ujumbe wa ngazi za juu wa Oman wawasili Sana'a, Yemen
Jan 10, 2023 23:46Duru za habari za Sana'a mji mkuu wa Yemen zimeripoti kuwa ujumbe wa ngazi ya juu wa Oman umewasili mjini humo kufuatilia suala la kurefushwa usitishaji vita nchini Yemen.
-
Imarati yajikomba zaidi kwa Israel, shule za nchi hiyo kufunza 'Holocaust'
Jan 10, 2023 03:47Umoja wa Falme za Kiarabu unaendelea kujidhalilisha na kujipendekeza kwa utawala haramu wa Israel, na sasa shule za nchi hiyo zinazatamiwa kuanza kufundisha 'ngano ya Holocaust' yaani mauaji ya halaiki ya Wayahudi yanayodaiwa kufanywa na utawala wa Kinazi wa Ujerumani chini ya uongozi wa Adolf Hitler.
-
Biashara ya bidhaa za Iran yazidi kunawiri nchini Saudi Arabia
Jan 09, 2023 22:59Usafirishaji nje wa bidhaa za Iran kuelekea nchini Saudi Arabia umestawi hivi sasa baada ya kuanza mazungumzo baina ya nchi hizi mbili za Waislamu. Hayo yametokea baada ya biashara baina ya pande mbili kuzorota kwa miaka kadhaa.
-
Matukio muhimu sana na ya kuamua hatima kuhusiana na vita vya Yemen
Jan 09, 2023 22:57Matukio mawili mapya yamejiri kuhusiana na vita vya Yemen, ambayo kila moja ni muhimu na lina taathira kubwa ya kuamua hatima ya vita hivyo.
-
Mazungumzo ya Mawaziri wa Ulinzi wa Imarati na Syria mjini Damascus yaikasirisha Washington
Jan 09, 2023 08:06Washington imetoa radiamali kufuatia ziara ya karibuni ya Waziri wa Ulinzi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) mjini Damascus na kutishia kuwa, hatua yoyote ya Imarati kuhuisha uhusiano na serikali ya Rais Bashar al Assad wa Syria itazigharimu pande mbili hizo.
-
OIC yaitisha kikao cha dharura kujadili hujuma za Israel dhidi ya msikiti wa al-Aqswa
Jan 09, 2023 04:17Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imetangaza kuwa, wiki hii itaitisha kikao cha dharura cha nchi wanachama kwa ajili ya kujadili hujuma za utawala ghasibu wa Israel dhidi ya msikiti wa al-Aqswa.
-
Kuendelea kukandamizwa wanawake nchini Saudi Arabia
Jan 09, 2023 00:38Wanaharakati 35 wa kike wa Saudi Arabia wamehukumiwa kifungo cha miaka 11 jela ikiwa ni muendelezo wa ukandamizaji unaofanywa na ukoo wa Aal Saud dhidi ya wanawake.
-
"Walimwengu wamekuwa watazamaji tu wa jinai za Saudia dhidi ya Wayamen"
Jan 08, 2023 08:37Kituo cha Haki za Binadamu cha Yemen cha Ainu Yemen (Jicho la Yemen) kimetoa radiamali yake kuhusiana na jinai mpya za muungano vamizi unaoongozwa na utawala wa Saudi Arabia na kutangaza kuwa, jamii ya kimataifa imeamua kuwa mtazamaji tu wa jinai zinazofanywa na Aal Saud na washirika wake huko nchini Yemen.
-
Maelfu waandamana katika ardhi za Palestina dhidi ya Waziri fisadi Netanyahu na serikali yake
Jan 08, 2023 03:50Maelfu ya wakazi wa ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina (Israel) wameandamana kupinga baraza jipya la mawaziri la Waziri Mkuu wa Israel lenye misimamo mikali. Baraza hilo jipya la Benjamin Netanyahu linatabiriwa kuanzisha sera hatari huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
-
Kutolewa hukumu ya kumtia nguvuni Trump; Azma ya Iran na Iraq kwa ajili ya kuadhibiwa wahusika wa mauaji ya makamanda wa muqawama
Jan 07, 2023 22:51Sayyid Razi Imadi Faiq Zaidan, Mkuu wa Baraza Kuu la Mahakama la Iraq ameeleza kuwa chombo cha mahakama cha nchi hiyo kimetoa hukumu ya kutiwa mbaroni Donald Trump rais wa zamani wa Marekani ambaye amekiri hadharani kutekeleza jinai hiyo ya mauaji dhidi ya makamanda wa ushindi.