-
"Shoka la Ibrahim" lafichua nyaraka za siri za Wizara ya Mambo ya Ndani ya Saudia
Nov 12, 2022 04:41Kikundi cha mtandao kimechapisha maelfu ya hati na nyaraka za siri za Wizara ya Mambo ya Ndani ya Saudia.
-
Kuwait: Israel inapaswa kuweka vituo vyake vya nyuklia chini ya usimamizi wa IAEA
Nov 12, 2022 04:04Kwa mara nyingine tena Kuwait imeutaka utawala haramu wa Israel ujiunge na Mkataba wa Kuzuia Usambazaji wa Silaha za Nyuklia (NPT) na kuweka vituo vyake vyote vya nyuklia chini ya mfumo wa usimamizi wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA).
-
Nasrullah: Iran imezishinda tena njama za Marekani na Israel
Nov 11, 2022 23:49Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amezungumzia machafuko ya hivi karibini nchini Iran na kufeli kwa njama za maadui na kusisitiza kuwa, Kwa mara nyingine tena Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imefanikiwa kuzima njama na fitina za Marekani na utawala haramu wa Israel.
-
Upinzani Bahrain waafikiana kususia uchaguzi wa leo wa Bunge
Nov 11, 2022 23:00Vyama na makundi ya upinzani nchini Bahrain yameafikiana kwa kauli moja juu ya kuususia uchaguzi wa Bunge unaotazamiwa kufanyika hii leo nchini humo.
-
Mapambo ya uchaguzi wa Bahrain; demokrasia bandia ya ukoo wa Aal-Khalifa
Nov 11, 2022 22:59Katika hali ambayo uchaguzi wa bunge la Bahrain umaanza masaa machache yaliyopita, viongozi wa kisiasa na kidini wa nchi hiyo wametoa wito wa kususiwa uchaguzi huo.
-
Abbas: Haina maana kuwa na nchi ya Palestina bila ya Quds, Gaza na Ukingo wa Magharibi
Nov 11, 2022 07:17Rais Mahmoud Abbas wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesisitiza kuwa, haitakuwa na maana yoyote kuwa na nchi ya Palestina bila ya Baitul Muqaddas (Jerusalem), Ukanda wa Gaza na Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Hizbullah kuiadhibu Israeli iwapo itafanya upumbavu kuhusu mapatano ya baharini
Nov 11, 2022 04:43Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon Sheikh Naim Qassem ameonya kuwa harakati hiyo ya muqawama (mapambano ya Kiislamu) itauadhibu utawala haramu wa Israel na kuurudisha kwenye fahamu zake endapo utafanya upumbavu wowote katika suala la makubaliano ya kuweka mipaka ya baharini na Lebanon.
-
Wapalestina wakosoa njama za Kuyahudisha mtaala wa shule katika jiji la Quds
Nov 11, 2022 03:03Wapalestina wanaendelea kulaani vikali njama za utawala haramu wa Israel za Kuyahudisha na kupotosha ukweli katika vitabu vya shule katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala huo.
-
Qatar imewanasa majasusi kadhaa wa Israel raia wa India
Nov 10, 2022 23:39Shirika la Intelijensia la Qatar limewakamata maafisa wanane wa zamani wa Jeshi la Wanamaji wa India nchini Qatar wanaoshukiwa kufanya ujasusi kwa manufaa ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.
-
Utawala wa Kizayuni wakataa kukabidhi maiti za Wapalestina 10 waliouawa shahidi
Nov 10, 2022 23:37Kamati inayoshughulikia masuala ya Wapalestina wanaoshikiliwa kwenye magereza ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel imetangaza kuwa utawala huo ghasibu unaendelea kuzuia viwiliwili vya Wapalestina kumi waliouawa shahidi.