-
Imran Khan: Waziri Mkuu wa Pakistan amehusika na njama ya kutaka kuniua
Nov 05, 2022 07:48Waziri Mkuu wa zamani wa Pakistan Imran Khan amemtuhumu mfuatizi wake kuwa amehusika katika njama ya kutaka kumuua.
-
Vyombo vya habari vya Israel: Miaka 25 ijayo, utawala wa Kizayuni utakuwa umeshatoweka
Nov 05, 2022 07:31Matokeo ya uchunguzi wa maoni uliofanywa Israel yanaonyesha kuwa theluthi moja ya walowezi wa Kizayuni hawataki kuajiriwa jeshini na wanaamini kuwa nchi iitwayo Israel haitakuwepo tena baada ya miaka 25.
-
Wapinzani Bahrain wasema Utawala wa Al Khalifah unatumia ziara ya Papa kuficha jinai
Nov 05, 2022 04:35Jumuiya ya Kitaifa ya Kiislamu ya Al-Wefaq ambayo ni kundi kuu la upinzani nchini Bahrain inasema utawala wa ukoo wa Aal Khalifah unatumia vibaya ziara ya Papa Francis nchini humo ili kuficha jinai zake na ukiukaji wa haki za binadamu.
-
Chuo Kikuu cha al-Azhar chatoa mwito wa kuweko mazungumzo ya Maulamaa wa Kishia na Kisuni
Nov 04, 2022 23:29Chuo cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri kimetoa mwito wa kufanyika mazungumzo baina ya Maulamaa wa Kishia na Kisuni kwa ajili ya kukabiliana na fitina na mapigano ya kikaumu.
-
Ushindi wa mafashisti katika uchaguzi wa Israel unasadifiana na maadhimisho ya miaka 100 ya Azimio la Balfour
Nov 04, 2022 23:10Uchaguzi wa hivi majuzi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu zilizopachikwa jina bandia la Israel, ambao ulifanyika tarehe 1 Novemba 2022, una sifa zinazoutofautisha na chaguzi zilizopita.
-
Utawala katili wa Kizayuni washambulia kwa makombora katikati ya Ukanda wa Gaza
Nov 04, 2022 04:20Ndege za kivita za utawala haramu wa Kizayuni wa Israel zimeshambulia kwa makombora zaidi ya kumi kituo cha wanamapambano wa Muqawama wa Palestina katikati ya Ukanda wa Gaza.
-
Makampuni ya Oman na Kuwait yajiondoa kwenye maonyesho ya Bahrain kuisusia Israel
Nov 04, 2022 03:14Shirika la ndege la bei nafuu la Oman na Benki ya Kiislamu ya Kuwait zimeamua kujiondoa katika maonyesho yajayo ya Kimataifa ya Anga ya Bahrain (BIAS) baada ya kubaini wajumbe kutoka makampuni ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel watashiriki katika maonyesho hayo, ikiwa ni hatua ya kuonyesha mshikamano na uungaji mkono kwa Palestina.
-
Saudi Arabia yatakiwa ikomeshe vitendo vya kuwanyonga kiholela wapinzani
Nov 03, 2022 22:54Jumuiya na mashirika mbalimbali ya kutetea haki za binadamu yameelezea wasiwasi mkubwa yaliyonao kutokana na kuongezeka mno hatua za utawala wa Saudi Arabia za kuwanyonga kiholela wapinzani.
-
Sheikh Isa Qassim: Uchaguzi ujao unalenga kuimarisha udikteta Bahrain
Nov 03, 2022 22:54Kiongozi mashuhuri wa kidini nchini Bahrain amesema uchaguzi ujao wa Bunge nchini humo hauna lengo jingine isipokuwa kuimarisha mienendo ya kiimla na kidikteta ya watawala wa Aal-Khalifa.
-
HAMAS: Wapalestina wataendeleza mapambano ya ukombozi
Nov 03, 2022 08:10Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imesema wananchi wa Palestina wataendeleza kwa nguvu zote jitihada na mapambano ya kulikomboa kikamilifu taifa lao kutoka kwenye makucha ya utawala wa Kizayuni wa Israel.