-
Ujerumani yachochea vita dhidi ya Yemen kwa kuiuzia Saudia silaha
Oct 03, 2022 05:49Takriban wiki moja baada ya ziara ya Kansela wa Ujerumani Olaf Schultz nchini Saudi Arabia, Berlin kwa mara nyingine tena imeanza kuiuzia Saudia Arabia silaha na zana za kivita.
-
Utawala wa Kizayuni watiwa hofu na oparesheni za muqawama Ukingo wa Magharibi
Oct 02, 2022 22:56Kupamba moto na kupanuka Intifadha ya wananchi na mapigano ya silaha ya wanamapambano wa Kipalestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan kumeulazimisha utawala wa Kizayuni wa Israel kuhamishia zana zake nzito za kijeshi kaskazini mwa eneo hilo.
-
Matokeo ya kustaajabisha ya uchaguzi wa Bunge la Kuwait, wafungwa watoka jela waingia Bungeni
Oct 02, 2022 04:43Matokeo ya uchaguzi wa Bunge la Kuwait yamewashangaza wengi. Wapinzani wamepata viti vingi, nafasi ya Waislamu wa madhehebu ya Kishia nayo imeimarika kwa kiwango ambacho hakijawahi kutokea na wafungwa wawili wametoka jela na kuingia bungeni.
-
Nasrullah: Iran ni thabiti, haitatikiswa na matukio ya sasa
Oct 01, 2022 23:40Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hivi sasa ina nguvu na uthabiti kuliko wakati wowote ule, na kwamba taifa hili litavuka salama mtihani wa sasa kutokana na hekima ya viongozi wake.
-
Sanad yalaani kuongezeka hukumu za kikatili nchini Saudi Arabia
Oct 01, 2022 22:44Shirika la kutetea haki za binadamu la "Sanad" limetangaza kuwa kumeshuhudiwa ongezeko la kukamatwa wakosoaji na hukumu za kikatili na kidhalimu nchini Saudi Arabia katika kipindi cha hivi karibuni.
-
Indhari ya Umoja wa Mataifa kwa wanamgambo wa Taliban
Oct 01, 2022 00:34Mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Afghanistan (UNAMA) amekosoa vikali hatua ya wanamgambo wa Taliban wanaotawala nchini humo ya kutochukua hatua kuboresha haki za watu katika nchi hiyo hususan ya mabanati na wanawake na kuonya kuwa, yamkini subira ya jamii ya kimataiifa kuhusiana na utendaji wa wanamgambo hao ikafikia kikomo.
-
Mkwamo mpya wa kisiasa Lebanon baada ya Bunge kushindwa kumchagua Rais
Sep 30, 2022 09:07Kikao cha kwanza cha Bunge la Lebanon kilichoitishwa kwa ajili ya kumchagua Rais mpya wa nchi hiyo kilimalizika Alkhamisi ya jana bila ya kuwa na natija.
-
Hamas: Jinai za Israel dhidi ya watoto wa Kipalestina ni ukatili
Sep 30, 2022 08:22Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imekashifu jinai za Israel dhidi ya watoto wa Kipalestina na kusema zinatokana na tabia ya ukatili wa “kisadism".
-
Al-Halbousi: Uthabiti wa Iraq si kipaumbele cha Marekani kwa sasa
Sep 30, 2022 03:56Spika wa bunge la Iraq amesema, uungaji mkono wa Marekani kwa Iraq zaidi ni wa vyombo vya habari kuliko wa kiuhalisia na kwamba uthabiti wa Iraq si kipaumbele cha Washington kwa sasa.
-
Walowezi wa Kiyahudi wandelea na hujuma na uvamizi wao dhidi ya msikiti wa al-Aqswa
Sep 29, 2022 21:54Kundi kubwa la walowezi wa Kiyahudi likisaidiwa na vikosi vya usalama vya utawala ghasibu wa Israel limeuvamia msikiti mtakatifu wa al-Aqswa huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.