-
Kwa nini Nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi Zimepoteza Imani na Marekani?
Aug 19, 2026 08:00Hali ya kutoridhishwa na Marekani inazidi kuongezeka miongoni mwa nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi.
-
Iran yakanusha madai kuwa imeishambulia UAE kwa makombora
Aug 19, 2026 04:18Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekanusha vikali madai ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kwamba Iran imevurumisha makombora mawili ya balestiki kuelekea nchi hiyo.
-
Ripoti: Vikosi vya Yemen vyashambulia kiwanda cha kusafisha mafuta cha Saudia cha Aramco katika mji wa Jizan
Aug 19, 2026 04:08Vikosi vya ulinzi vya Yemen vimetekeleza kwa mafanikio mashambulizi dhidi ya kituo cha mafuta kinachoendeshwa na kampuni ya serikali ya mafuta na gesi asilia ya Saudi Arabia ya Aramco, ikiwa ni hatua ya kulipiza kisasi dhidi ya uchokozi na mzingiro unaoendelea kutekelezwa na utawala wa Riyadh dhidi ya Yemen.
-
Jeshi la Yemen lashambulia meli ya kivita za Saudia katika Bahari ya Sham
Aug 18, 2026 03:21Jeshi la Yemen limeishambulia meli ya kivita na boti kadhaa za kijeshi za Saudia katika Bahari ya Sham, ikiwa ni sehemu ya jibu la kulipiza kisasi dhidi ya kampeni ya kijeshi na mzingiro unaoendelea wa ufalme wa Saudia dhidi ya taifa la Yemen.
-
Ansarullah: Uhalifu wa Israel nchini Lebanon na Palestina unafanywa kwa idhini ya Marekani
Aug 17, 2026 06:04Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Ansarullah nchini Yemen imelaani mashambulizi ya utawala wa Kizayuni dhidi ya maeneo ya kusini mwa Lebanon.
-
Kuanzia Uhamiaji hadi Kukimbia: Jinsi Ndoto ya Kizayuni ya "Nchi ya Ahadi" Ilivyoporomoka
Aug 17, 2026 05:25Hali ya walowezi wa Kizayunu kukimbia ardhi zinazokaliwa kwa mabavu, zinazodaiwa kuwa Israel, na kurejea katika nchi walikotoka imekuwa ishara ya wazi ya mmomonyoko wa ndani wa mradi wa Kizayuni.
-
Kiongozi wa muqawama ataka kuhitimishwa udhibiti wa moja kwa moja wa kifedha wa Marekani kwa Iraq
Aug 16, 2026 09:31Katibu Mkuu wa kundi la muqawama la Iraq la Kata’ib Sayyid al-Shuhada amekosoa vikali udhibiti wa moja kwa moja wa Marekani wa fedha na uchumi na mali za Iraq na kutaka kutafutwa masoko mbalimbali ya mauzo ya nje, kuimarisha uhusiano wa kibenki na kuhitimisha kivitendo udhibiti wa kifedha wa Washington kwa nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Mauaji ya Kimbari: Sera Rasmi ya Wazayuni
Aug 16, 2026 05:10"Mauaji ya kimbari na ubaguzi wa rangi ni mradi rasmi wa utawala wa Israel." Kwa maneno haya, Francesca Albanese, Ripota Maalum wa Umoja wa Mataifa kuhusu hali ya haki za binadamu katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu, ameangazia uhalisia wa kisiasa na kisheria katika ardhi hizo.
-
Kiongozi wa Hizbullah: Muqawama hautasalimu amri wala kurudi nyuma katika kulinda mamlaka ya Lebanon
Aug 15, 2026 10:56Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbollah amesema kuwa, Muqawama hautakubali kusalimu amri wala kurudi nyuma katika kulinda mamlaka, heshima na umoja wa ardhi ya Lebanon, akiongeza kuwa Israel na Marekani zimekuwa zikiilazimisha Beirut kutekeleza matakwa yao na kudhoofisha mamlaka ya nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Jerusalem Post: Israel imeshtushwa na kasi ya Iran ya kujiimarisha upya kijeshi
Aug 15, 2026 03:53Gazeti la kizayuni la Jerusalem Post limefichua kuwa, maafisa wa ulinzi wa Israel wameshtushwa na namna Iran ilivyojenga upya na kwa kasi uwezo wake wa kijeshi tangu baada ya mashambulizi makali ya Marekani na utawala huo wa kizayuni wakati wa kipindi cha mwanzoni mwa vita vya kichokozi vilivyoanzishwa na tawala mbili hizo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.