-
Umoja wa Mataifa: Israel inaendeleza 'hatua za taratibu' kunyakua Ukingo wa Magharibi
Feb 19, 2026 12:10Afisa mmoja wa ngazi ya juu wa Umoja wa Mataifa ameonya kwamba, mipango ya utawala ghasibu wa Israel ya kuimarisha udhibiti wa sehemu za Ukingo wa Magharibi inakwenda sambamba na kutwaa eneo hilo kimabavu.
-
CPJ: Waandishi wa Habari wa Kipalestina wanateswa katika magereza ya Israel
Feb 19, 2026 12:09Kamati ya Kimataifa ya Kuwalinda Waandishi wa Habari (CPJ) imetangaza kuwa, waandishi habari wa Kipalestina waliofungwa katika magereza ya utawala ghasibu wa Israel kuanzia Oktoba 2023 hadi Januari 2026 wamepitia "unyanyasaji wa kimfumo."
-
Wapalestina Gaza waswali Tarawehe chini ya minara iliyoporomoka
Feb 19, 2026 07:44Jua lilipotua juu ya Gaza siku ya Jumanne, safu za waumini zilisimama kuswali, si ndani ya misikiti, bali juu ya magofu yake.
-
Mufti wa Libya: Kuikomboa Palestina ni wajibu wa kidini
Feb 19, 2026 03:09Sheikh Sadiq al-Ghariani, Mufti wa Libya amesema kwamba kuikomboa Palestina na kuwasaidia wakazi wake ni wajibu wa kidini kwa Waislamu wote.
-
Wazayuni wenye misimamo mikali wavamia msikiti wa al-Aqswa
Feb 19, 2026 02:41Walowezi wa Kizayuni wenye misimamo ya kufurutu ada wamevamia tena Msikiti mtakatifu wa Al-Aqswa na kufanya vitendo vya kichochezi dhidi ya kibla hicho cha kwanza cha Waislamu.
-
Israel, tishio kwa amani na usalama wa eneo la Asia Magharibi
Feb 18, 2026 11:19Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kuwa: Utawala wa Kizayuni wa Israel umefanya jinai kubwa zaidi kwa kupewa kinga kamili katika kipindi cha miongo minane iliyopita.
-
Kwa kuwadia Ramadhani, mlowezi wa kizayuni auchoma moto Msahafu Baitul-Muqaddas
Feb 18, 2026 10:30Mlowezi mmoja Muisraeli wa kizayuni mwenye misimamo ya chuki ameichoma moto nakala ya Kitabu kitakatifu cha Waislamu, Qur'ani, akiwa katika eneo ambalo halijafahamika katika mji wa Baitul-Muqaddas, siku chache kabla ya kuanza mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
-
Nchi 80 zalaani mpango wa Israel wa kughusubu Ukingo wa Magharibi
Feb 18, 2026 06:25Zaidi ya nchi 80 wanachama wa Umoja wa Mataifa zimelaani mpango wa Israel wa kupora na kuyakalia kwa mabavu maeneo kadhaa ya ardhi za Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan unaokaliwa kwa mabavu, na kuyatambua maeneo hayo ya Palestina kama "milki ya serikali" ya Israel.
-
Israel yashadidisha mateso kwa Wapalestina inaowashikilia kwenye magereza yake
Feb 18, 2026 03:03Jumuiya ya Wafungwa wa Palestina imetangaza kuwa, kwa mujibu wa ziara za ukaguzi zilizofanywa na wanasheria wake na ushuhuda uliorekodiwa, utawala wa kizayuni wa Israel umeshadidisha udhalilishaji na ushinikizaji wa kimfumo dhidi ya wafungwa Wapalestina unaowashikilia katika magereza yake ya kuogofya.
-
Sheikh Qassem: Hizbullah haina lengo la kuanzisha vita, lakini kamwe haitasalimu amri
Feb 17, 2026 07:07Sheikh Naim Qassim Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa harakati hiyo ya muqawama haitaki vita lakini imejiandaa kikamilifu kuilinda Lebanon na kutoa jibu kali kwa uchokozi wowote wa maadui wa nchi hiyo.