-
Jerusalem Post: Israel imeshtushwa na kasi ya Iran ya kujiimarisha upya kijeshi
Aug 15, 2026 03:53Gazeti la kizayuni la Jerusalem Post limefichua kuwa, maafisa wa ulinzi wa Israel wameshtushwa na namna Iran ilivyojenga upya na kwa kasi uwezo wake wa kijeshi tangu baada ya mashambulizi makali ya Marekani na utawala huo wa kizayuni wakati wa kipindi cha mwanzoni mwa vita vya kichokozi vilivyoanzishwa na tawala mbili hizo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.
-
Zaidi ya 70% ya Wapalestina wanapinga HAMAS kukabidhi silaha kabla Israel kuondoka kikamilifu Ghaza
Aug 15, 2026 03:49Uchunguzi mpya wa maoni uliofanywa na Kituo cha Utafiti wa Sera na Utafiti cha Palestina (Palestinian Center for Policy and Survey Research) unaonyesha kuwa, zaidi ya asilimia 70 ya Wapalestina wanapinga Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina, HAMAS kukabidhi silaha zake kabla utawala wa kizayuni wa Israel kuondoka kikamilifu katika Ukanda wa Ghaza.
-
Israel imebomoa kikamilifu misikiti 1,076 Ghaza, imeharibu 165 na kubakisha 34 tu
Aug 15, 2026 03:40Wizara ya Wakfu na Masuala ya Kidini ya Ghaza imetangaza kuwa, kati ya jumla ya misikiti 1,275 ya eneo hilo la Palestina inayokaliwa kwa mabavu, 1,076 imebomolewa kikamilifu, 165 imebomolewa baadhi ya sehemu, na misikiti 34 pekee ndiyo iliyosalimika na jinai za jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel.
-
Abdul-Malik al-Houth: Kukaririwa vitendo vya kuivunjia heshima Qur’ani kumefichua zaidi uadui wa Wazayuni
Aug 14, 2026 10:08Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema, kukaririwa vitendo vya kuivunjia heshima Qur’ani Tukufu kumefichua kwa uwazi zaidi uadui wa Wazayuni dhidi ya misingi yote mitakatifu, pamoja na chuki yao dhidi ya ujumbe wa Mwenyezi Mungu.
-
Iran: Miinuko ya Golan ni sehemu isiyotenganishwa na ardhi ya Syria
Aug 14, 2026 03:09Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesisitiza kwamba Miinuko ya Golan ni sehemu isiyotenganishwa na ardhi ya Syria, huku ikieleza kuunga mkono mapambano halali ya wananchi wa Palestina.
-
Misri na Imarati zasisitiza kupunguzwa mvutano na kurejeshwa njia ya kidiplomasia kati ya Iran na Marekani
Aug 14, 2026 03:07Misri na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) zimesisitiza umuhimu wa kupunguzwa mvutano na kurejeshwa njia ya mazungumzo ya kidiplomasia kati ya Jamhuri ya Kkiislamu ya Iran na Marekani.
-
Israel inashikilia waandishihabari 40 wa Kipalestina katika kampeni ya kubana sauti ya haki
Aug 13, 2026 10:29Israel inawashikilia takriban waandishi wa habari 40 wa Kipalestina, wakiwemo wanawake watano, huku ikiongeza kasi ya ukandamizaji mkubwa ili kunyamazisha vyombo vya habari vya Kipalestina na kuzuia kuripotiwa kwa ukiukaji na jinai zake. Hayo ni kwa mujibu wa Jumuiya ya Wafungwa wa Kipalestina (PPS).
-
UN: Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu na Israel umeshafikia “hatua ya kusambaratika”
Aug 12, 2026 12:02Mratibu wa juhudi za Umoja wa Mataifa za mchakato wa amani Mashariki ya Kati, Ramiz Alakbarov, amesema Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu na Israel umefikia “hatua ya kusambaratika”, huku ongezeko la vitendo vya ukatili na mabavu vya walowezi wa Israel, upanuzi wa vitongoji haramu na ufurushwaji wa jamii za Wapalestina vikiibadilisha kwa kasi sura ya eneo hilo.
-
Duru za kuaminika: Saudia imepinga Misri kuingizwa kwenye Makubaliano ya Makka
Aug 12, 2026 11:55Saudi Arabia ilipinga Misri kujiunga na Mkataba wa Pamoja wa Ulinzi wa Makka uliosainiwa na Saudia, Uturuki na Pakistan wiki iliyopita, licha ya Ankara kutoa msukumo wa Cairo kujumuishwa kwenye mkataba huo. Hayo yameripotiwa na vyanzo vitatu vya Saudi Arabia vyenye taarifa za majadiliano yaliyofanywa juu ya suala hilo.
-
Afisa wa Yemen: Hatujawahi katu kufunga milango ya mazungumzo na Saudia
Aug 12, 2026 03:24Mkuu wa ujumbe wa Yemen katika mazungumzo ya amani amesema, Sana'a haijawahi kufunga milango ya mazungumzo na Saudi Arabia, bali Saudia ndiyo inayokataa suala hilo.