Maisha ni matamu hata kwa wanyama
https://parstoday.ir/sw/news/world-i10150-maisha_ni_matamu_hata_kwa_wanyama
Kila kiumbe kinapenda maisha yake. Mbuni huyu wa huko kusini mwa California nchini Marekani aliamua kutimua mbio kuokoa maisha yake baada ya kuona msitu anaoishi unateketea kwa moto.
(last modified 2023-11-27T12:14:11+00:00 )
Jun 28, 2016 08:56 UTC
  • Maisha ni matamu hata kwa wanyama

Kila kiumbe kinapenda maisha yake. Mbuni huyu wa huko kusini mwa California nchini Marekani aliamua kutimua mbio kuokoa maisha yake baada ya kuona msitu anaoishi unateketea kwa moto.