-
Kuwa karibu na Mwenyezi Mungu
Apr 18, 2022 09:58Hamjambo wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran. Tuna furaka kukukaribisheni kusikiliza kipindi hiki maalumu ambacho tumekuandalieni kwa mnasaba wa kukaribia nyusiku tukufu na takatifu za Lailatul Qadr.
-
Ramadhani, mwezi wa fursa
Apr 11, 2022 10:56Assalaam Alaykum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. Tunakukaribisheni kusikilizaji kipindi hiki maalumu ambacho tumekutayarishieni kwa mnasaba wa funga ya mwezi mtukufu wa Ramadhani.
-
Mapinduzi ya Kiislamu na Uhuishaji Kigezo cha Kufuatwa na Mwanamke Muislamu
Feb 16, 2022 03:59Katika kipindi cha miaka 43 tokea ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu hadi sasa, zimefanyika juhudi athirifu za kuhuisha heshima ya wanawake.
-
Utamaduni wa Qur'ani katika Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran
Feb 13, 2022 05:28Qur'ani Tukufu ndio chanzo muhimu zaidi cha elimu na maarifa ya Uislamu, ambacho, pamoja na vyanzo vingine vya elimu ya dini, mbali na kutumiwa katika maisha ya mtu binafsi na ya kiibada, vilevile huainisha mfumo wa jamii katika masuala ya kisiasa na kijamii.
-
Nafasi ya Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran Katika Kujitokeza Harakati za Kiislamu Katika Eneo
Feb 03, 2022 08:33Kwa ushahidi wa historia, karne ya 20 ilikuwa karne iliyoshuhudia, pamoja na mambo mengine, baadhi ya nchi na madola duniani yakishupalia na kupigania kuwa na nguvu, mamlaka na sauti kubwa zaidi ya nchi zingine.
-
Imam Baqir AS Chimbuko la Elimu na Maarifa (Kwa mnasaba wa Siku ya Kuzaliwa) + SAUTI
Feb 01, 2022 10:29Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakaatuh. Mwaka 57 baada ya Hijra ya Mtume SAW ya kutoka Makkah kuelekea Madina, katika siku ya kwanza ya mwezi uliojaa fadhila wa Rajab, ulimwengu uling'ara kwa kuzaliwa nuru ya mmoja wa watu watukufu katika kizazi kitoharifu cha Bwana Mtume Muhammad SAW.
-
Mapinduzi ya Kiislamu; ustaarabu mpya wa Kiislamu (2)
Jan 31, 2022 10:42Taarifa ya 'Hatua (marhala) ya Pili ya Mapinduzi' ulikuwa ujumbe mpya ulioelekezwa kwa taifa la Iran na hasa kwa tabaka la vijana wa nchi hii, ambao ndio nguzo kuu ya "hatua ya pili ya kujijenga, kuzingatia jamii na ustaarabu." Moja ya mahitaji ya ustaarabu mpya wa Kiislamu ni kuwa na uelewa wa juu zaidi na kudumisha umoja na mshikamano.
-
Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran na kuondolewa ujahili mamboleo
Jan 30, 2022 09:04Neno 'ujahili' au ujinga ambalo limetumika katika Qur'ani na Hadithi na hata katika vitabu na nyaraka nyingi za kihistoria lina maana nyingi.
-
Bibi Fatimatuz Zahra SA, Fakhari ya uumbaji
Jan 18, 2022 14:48Amani iwe juu ya Bibi mpwekeshaji. Amani iwe juu ya kumbukumbu ya Mtume Muhammad SAW, Bibi Fatimatuz Zahra (SA). Na kongole na pongezi ziwafikie wanawake na wanaume wote, wapenzi wa Faatimah.
-
Kumbukumbu ya Siku za Fatimiyah
Dec 18, 2021 16:41Assalaam alaykum wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio kipindi hiki maalumu kinachokujieni kwa mnasaba wa siku hizi za maombolezo ya binti ya Mtume (SAW), Bibi Fatima Zahra (AS) zinazojulikana kama ‘Siku za Fatimiya’.