-
Mapinduzi ya Kiislamu; miaka 39 ya kusimama kidete dhidi ya mfumo wa kibeberu
Feb 01, 2018 08:40Ni matumaini yangu kuwa, hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni katika sehemu nyingine ya kipindi hiki maalumu kinachokujieni kwa mnasaba wa maadhimisho ya Alfajiri Kumi, ambacho ni kipindi cha tangu kurejea Imam Khomeini kutoka uhamishoni hadi kupatikana ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu
-
Mapinduzi ya Kiislamu katika mstari wa mbele wa kupinga uistikbari na kuunga mkono mapambano ya Kiislamu
Feb 01, 2018 08:12Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kujiunga nami katika makala hii maalumu niliyowaandalieni kwa munasaba wa siku hizi za maadhimisho ya kuingia katika mwaka wa 40 wa ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ya 1979. Katika makala hii ya leo tutaangazia kadhia ya 'Mapinduzi ya Kiislamu katika mstari wa mbele wa kupinga uiskitabiri wa kimataifa na kuunga mkono muqawama au mapambano ya Kiislamu.
-
Mapinduzi ya Kiislamu, Imam Khomeini na Msingi wa Utawala wa Faqihi
Jan 31, 2018 08:47Alfajiri ya tarehe 12 Bahman 1357 Hijria Shamsia (11 Februari 1979) ilikuwa siku ya matarajio makubwa na kusibiri kwa hamu kulikoandamana na wasiwasi na hofu kubwa.
-
Maadhimisho ya Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu (Sehemu ya Nane)
Feb 06, 2017 12:29Assalaamu Alaykum wasikilizaji wapenzi. Tukiwa tunaendelea na mfululizo wa makala hizi maalumu ambazo tumekuandalieni kwa mnasaba wa maadhimisho ya Alfajiri Kumi, ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ambayo hivi sasa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaadhimisha miaka 38 ya tangu kupata ushindi mapinduzi hayo matukufu ambayo yameleta mabadiliko makubwa sana ulimwengu, tunakukaribisheni katika sehemu nyingine ya mfululizo huu tukiwa na matumaini mtakuwa nasi hadi mwisho wa kipindi.
-
Maadhimisho ya Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu (Sehemu ya Tatu)
Jan 30, 2017 06:46Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum wasikilizaji wapenzi wa Idhaa ya Kiswahili, Radio Tehran. Hivi sasa tumo katika maadhimisho ya Alfajiri 10 za ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran. Leo tumeamua kukuleteeni kipindi maalumu kwa mnasaba huo ambapo tutajaribu kutupia jicho kwa muhtasari historia ndefu na chungu ya uingiliaji wa madola ya kibeberu hususan Marekani katika masuala ya ndani ya Iran.
-
Maadhimisho ya Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu (Sehemu ya Pili)
Jan 30, 2017 05:47Assalaamu Alaykum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka hapa mjini Tehran, na karibuni kusikiliza sehemu ya pili ya vipindi hivi maalumu ambavyo tumekuandalieni kwa mnasaba wa maadhimisho ya Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran.
-
Maadhimisho ya Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu (Sehemu ya Kwanza)
Jan 29, 2017 07:07Assalaamu Alaykum wasikilizaji wapenzi. Karibuni katika mfululizo huu wa vipindi kadhaa tulivyokuandalieni kwa mnasaba wa maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya nchini Iran. Ni matumaini yetu mtakuwa nasi hadi mwisho wa mfululizo huu ambao tutakuwa nao kila siku hadi yatakapofikia kileleni maadhimisho hayo yaani siku ya Ijumaa ya tarehe 10 Februari.
-
Bahman 22 dhihirisho la nguvu za taifa la Iran
Feb 11, 2016 15:17Tarehe 11 Februari ni siku ya kuadhimisha ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu maarufu kwa sherehe za Bahman 22 nchini Iran. Leo (Alkhamisi) Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yameadhimisha miaka 37 ya tangu kupata kwake ushindi tarehe 11 Februari 1979.
-
Nafasi ya Mapinduzi ya Kiislamu katika kuleta umoja katika umma wa Kiislamu + SAUTI
Feb 09, 2016 08:57Bismillahir Rahmanir Rahim. Karibuni wapenzi wasikilizaji katika kipindi hiki kingine maalumu tulichokuandalieni kwa mnasaba wa maadhimisho Alfajiri Kumi ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya nchini Iran. Leo tutajaribu kuangazia nafasi ya mapinduzi hayo katika kuleta umoja na mshikamano katika umma wa Kiislamu tukiwa na matumaini mtakuwa nasi hadi mwisho wa makala hii.
-
Mapinduzi ya Kiislamu na moyo wa kujiamini
Feb 08, 2016 18:20Hamjambo wasikilizaji wapenzi na karibuni kuwa nasi tena katika sehemu nyingine ya makala hizi maalumu zinazokujieni kwa mnasaba wa siku hizi za kuadhimisha ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran. Ni matumaini yetu kwamba mtaendelea kuwa kando ye redio zenu kusikiliza tuliyokuandalieni.