• Upeo wa kimataifa wa Arubaini ya Imam Hussein (as) + Video

    Upeo wa kimataifa wa Arubaini ya Imam Hussein (as) + Video

    Oct 14, 2019 14:20

    Arubaini ya Imam Hussein (as) imekuwa ni ya kimataifa na itaendelea kupanuka zaidi katika upeo huo. Hii ni damu ya Hussein bin Ali (as) ambayo licha ya kupita miaka 1400, ingali inachemka na kuendelea kuwa mpya na hai zaidi siku baada ya nyingine. Huu ndio ujumbe ule ule wa Siku ya Ashura uliopazwa kupitia koo za Aba Abdillah al-Hussein (as) na Bibi Zainab (sa) katika kipindi kigumu zaidi cha upweke wao. Pamoja na hayo, hii leo ujumbe huo umeenea na kufika katika kila pembe ya dunia.

  • Jumanne, tarehe 10 Septemba, 2019

    Jumanne, tarehe 10 Septemba, 2019

    Sep 10, 2019 02:35

    Leo ni Jumanne tarehe 10 Mfunguo Nne Muharram 1441 Hijria mwafaka na tarehe 10 Septemba mwaka 2019.

  • Mguso wa nyoyo katika maombolezo ya Husain AS

    Mguso wa nyoyo katika maombolezo ya Husain AS

    Sep 02, 2019 09:51

    Bismillahir Rahmanir Rahim. Assalaamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakaatuh. Karibuni wasikilizaji wapenzi katika makala hii maalumu tuliyokuandalieni kwa mnasaba wa mwezi mtukufu wa Muharram. Makala yetu imebeba kichwa cha maneno kisemacho, Mguso wa Nyoyo katika Maombolezo ya Imam Husain AS. Ni matumaini yetu mtakuwa nasi hadi mwisho wa makala hii.

  • Jumatatu tarehe Pili Septemba 2019

    Jumatatu tarehe Pili Septemba 2019

    Sep 02, 2019 04:05

    Leo ni Jumatatu tarehe Pili, Mfunguo Nne Muharram 1441 Hijria sawa na Septemba Pili mwaka 2019.

  • Imam Husain (AS) Nyota ya Fadhila (Kwa mnasaba wa maadhimisho ya siku ya kuzaliwa Imam Husain AS) 

    Imam Husain (AS) Nyota ya Fadhila (Kwa mnasaba wa maadhimisho ya siku ya kuzaliwa Imam Husain AS) 

    Apr 09, 2019 09:55

    Tarehe 3 Shaaban ni siku ambayo mji wa Madina ulishuhudia kuzaliwa mtoto mwingine katika nyumba ya Bibi Fatimatuz Zahra SA binti mpenzi wa Bwana Mtume Muhammad SAW. Huyo alikuwa ni mtoto wa pili kuzaliwa katika familia hiyo ambayo Mtume Muhammad SAW alikuwa siku zote akiwaita watu wa familia hiyo kuwa ni Ahlul Bayt wake na daima akiwaombea dua za kheri na amani. Katika Qur'ani Tukufu pia kuna aya inayotaja ubora, utukufu na usafi wa watu wa nyumba hiyo. 

  • Jumanne, 9 Aprili, 2019

    Jumanne, 9 Aprili, 2019

    Apr 09, 2019 04:26

    Leo ni Jumanne tarehe Tatu Sha'aban 1440 Hijria ambayo inasadifiana na tarehe 9 Aprili 2019 Miladia.

  • Maswali Kuhusu Tukio la Ashura (11)

    Maswali Kuhusu Tukio la Ashura (11)

    Oct 27, 2018 10:28

    Imam Hussein bin Ali (as) na wafuasi wake 72 waliuawa shahidi katika tukio la Ashuraa mwaka 61 Hijria na watu wa familia ya Mtume wakachukuliwa mateka na jeshi katili la Yazid bin Muawiya alasiri ya siku hiyo.

  • Maswali Kuhusu Tukio la Ashura (10)

    Maswali Kuhusu Tukio la Ashura (10)

    Oct 23, 2018 12:06

    makala hii ya Maswali Kuhusu Tukio la Ashura leo itajibu swali kwamba, ni kwa nini hadithi zilizopokewa kutoka kwa Mtume Muhammad (saw) na Maimamu watoharifu katika kizazi chake zimesisitiza sana suala la kuzuru kaburi la Imam Hussein bin Ali (as)?

  • Maswali Kuhusu Tukio la Ashura (9) + Sauti

    Maswali Kuhusu Tukio la Ashura (9) + Sauti

    Oct 15, 2018 11:37

    Maombolezo ya Muharram katika kila jamii huambatana na tamaduni, mila na taratibu za jamii hiyo. Lakini jambo la msingi na muhimu hapa ni kwamba utamaduni na mila hizo za maombolezo hazipasi kwenda kinyume na mafundisho ya Kiislamu na wala hazipasi kuruhusiwa kuvunjia heshima dini wala kupotosha ujumbe wa Ashura.

  • Maswali Kuhusu Tukio la Ashura (8) + Sauti

    Maswali Kuhusu Tukio la Ashura (8) + Sauti

    Oct 15, 2018 11:30

    Katika siku za mwanzoni mwa mwezi Muharram Waislamu hususan wafuasi na wapenzi wa Watu wa Nyumba tukufu ya Mtume wetu Muhammad (saw) katika maeneo mbalimbali ya dunia huwa katika siku za majonzi na huzuni ya kukumbuka mauaji ya mjukuu wa mtukufu huyo, Imam Hussein bin Ali (as) ndugu, watoto na masahaba zake huko Karbala.