• Maswahaba wa Imam Hussein AS-01

    Maswahaba wa Imam Hussein AS-01

    Sep 11, 2018 07:49

    Ni matumaini yangu kuwa hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio kipindi hiki maalumu kinachozungumzia matukufu na ubora wa masahaba wa Imam Hussein bin Ali (as) na imani yao thabiti, kinachokujieni kupitia Idhaa ya Kiswahili Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Nafasi ya Qur'ani Tukufu katika mapambano ya Imam Husain AS (1)

    Nafasi ya Qur'ani Tukufu katika mapambano ya Imam Husain AS (1)

    Sep 11, 2018 07:46

    Mapambano ya Karbala na Hamasa ya Imam Husain AS alikuwa ni mapinduzi ya kipekee ambayo yaliweza kwa haraka mno kushinda mapinduzi mengine yote, kuwafedhehesha madhalimu, kufichua uovu wao na kusafisha vumbi la propaganda chafu lililokuwa limefunika uhakika wa dini tukufu ya Kiislamu.

  • Maswali Kuhusu Tukio la Ashura (1)

    Maswali Kuhusu Tukio la Ashura (1)

    Sep 11, 2018 07:42

    Katika kipindi hiki cha Maswali Kuhusu Tukio la Ashura, tunakusudia kujibu baadhi ya maswali ambayo huenda yakawa yanaulizwa na baadhi ya watu kuhusiana na tukio hili.

  • Ijumaa tarehe 20 Aprili 2018

    Ijumaa tarehe 20 Aprili 2018

    Apr 20, 2018 01:38

    Leo ni ijumaa tarehe 3 Shaaban 1439 Hijria sawa na tarehe 20 Aprili mwaka 2018.

  • Harakati ya Mapambano ya Imam Hussein, Makutano ya Akili na Kuashiki

    Harakati ya Mapambano ya Imam Hussein, Makutano ya Akili na Kuashiki

    Nov 07, 2017 11:55

    Harakati ya mapambano ya Imam Hussein bin Ali bin Abi Twalib (as) hapo mwaka 61 Hijria dhidi ya dhulma na ufisadi wa Bani Umayya ilijaa hamasa, kujitolea na kusabilia kila kitu kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, haki na uadilifu, na kwa sababu hiyo imegusa sana nyoyo za Waislamu na hata wapenda haki na kweli wasio Waislamu na kuzusha vuguvugu na hamasa ya aina yake ndani ya nafsi za wapenzi wa mtukufu huyo.

  • Arubaini; kukamilika Ashura

    Arubaini; kukamilika Ashura

    Nov 06, 2017 10:26

    Arubaini ni siku ya kufikia ukamilifu. Ukamilifu wa Ashura ni Arubaini; ukamilifu wa matendo, harakati na juhudi zote. Karbala katika Siku ya Arubaini huwa ni kioo cha waliofikia kilele cha umaanawi kiasi kwamba ulegevu, uzembe, udhaifu na kurejea nyuma huwa havina nafasi tena katika hali hiyo.

  • Imam Hussein, Nguzo ya Umoja na Mshikamano wa Kiislamu

    Imam Hussein, Nguzo ya Umoja na Mshikamano wa Kiislamu

    Oct 31, 2017 10:40

    Zimebakia siku chache tu hadi siku ya Arubaini ya Imam Hussein (as) na barabara zote za kuelekea katika mji wa Karbala nchini Iraq zimefurika watu kama mto wa maji unaoelekea katika mji mtakatifu wa Karbala.

  • Kulia Katika Maombolezo ya Imam Hussein (AS): Unyenyekevu wa Moyo na Mapenzi ya Nafsi

    Kulia Katika Maombolezo ya Imam Hussein (AS): Unyenyekevu wa Moyo na Mapenzi ya Nafsi

    Oct 02, 2017 02:30

    Assalamu alaykum wapenzi wasikilizaji, warahmatullahi wabarakatuh. Kwa kuwadia mwezi wa Muharram, kwa mara nyengine nyoyo za waliokomboka kifikra duniani zinajielekeza kwa Imam Hussein (as) huku macho yao yakibubujikwa na machozi kwa kulikumbuka tukio la Karbala. Ni miaka 1372 imepita tangu lilipojiri tukio hilo, lakini unapowadia mwezi wa Muharram kila mwaka, Waislamu huendelea kujumuika pamoja na kushiriki kwenye majlisi za kumuomboleza Hussein Ibn Ali (as) na wafuasi wake.

  • Ijumaa tarehe 29 Septemba, 2017

    Ijumaa tarehe 29 Septemba, 2017

    Sep 29, 2017 02:40

    Leo ni Ijumaa tarehe 8 Muharram 1439 Hijria, sawa na tarehe 29 Septemba, 2017.

  • Al-Kaaba na Imam Hussein (as)

    Al-Kaaba na Imam Hussein (as)

    Sep 24, 2017 12:29

    Kaaba ni jina kongwe, tukufu na linalovutia zaidi la nyumba ya ibada ya Mwenyezi Mungu ambayo inapatikana katika mji mtakatifu wa Makka na katika ardhi ya Hijaz.