• Jumamosi, Septemba 23, 2017

    Jumamosi, Septemba 23, 2017

    Sep 23, 2017 02:33

    Leo ni Jumamosi tarehe Pili Mfunguo Nne Muharram 1439 Hijria mwafaka na tarehe 23 Septemba 2017 Miladia.

  • Qur'ani Tukufu na Imam Hussein AS

    Qur'ani Tukufu na Imam Hussein AS

    Sep 21, 2017 08:10

    Assalam Aleikum wapenzi wasikilizaji na karibuni kujiunga nami katika makala hii maalumu niliyokuandalieni kwa munasaba wa siku hizi 10 za kwanza za Mwezi wa Muharram ambapo Waislamu na wapenda haki kote duniani wanaomboleza kuuawa shahidi mjukuu wa Mtume Muhammad SAW, Imam Hussein AS. Katika makala yetu ya leo tutaangazia mada ya Qur'ani Tukufu na Imam Hussein AS.

  • Muharram, Mwezi wa Kujisabilia na Kuuliwa Shahidi

    Muharram, Mwezi wa Kujisabilia na Kuuliwa Shahidi

    Sep 20, 2017 07:48

    Tunaingia katika siku ya kwanza ya mwezi wa Muharram mwaka 1439 Hijria Qamariya.

  • Jumatano 30 Agosti, 2017

    Jumatano 30 Agosti, 2017

    Aug 30, 2017 03:10

    Leo ni Jumatano tarehe 8 Mfunguo Pili Dhilhija mwaka 1438 Hijria, mwafaka na tarehe 30 Agosti 2017.

  • Jumapili 30

    Jumapili 30

    Apr 30, 2017 02:27

    Leo ni Jumapili tarehe tatu Shaban 1438 Hijria, sawa na tarehe 30 Aprili, 2017

  • Imam Hussein AS, kigezo bora kwa wapigania ukombozi

    Imam Hussein AS, kigezo bora kwa wapigania ukombozi

    Apr 29, 2017 12:53

    Tarehe tatu Shaaban ni kumbukumbu ya kuzaliwa shakhsia mkubwa ambaye aliyapa maana kamili maneno ya umaridadi na mapenzi. Ana moyo maridadi, karama, maarifa ya kina na hatimaye yeye ni kielelezo cha maisha ya mwanaadamu aliyekamilika. Leo ni siku ambayo mji wa Madina ulishuhudia kuzaliwa, Hussein, mtoto mwingine katika nyumba ya Bibi Fatimatuz Zahra SA binti mpenzi wa Bwana Mtume Muhammad SAW.

  • Jumatano tarehe 26 Aprili, 2017

    Jumatano tarehe 26 Aprili, 2017

    Apr 26, 2017 12:47

    Leo ni Jumatano tarehe 28 Rajab 1438 Hijria sawa na 26 Aprili 2017.

  • Jumapili, 20 Novemba, 2016

    Jumapili, 20 Novemba, 2016

    Nov 20, 2016 05:59

    Leo ni Jumapili tarehe 20 Swafar 1438 Hijria, sawa na tarehe 20 Novemba mwaka 2016 Miladia.

  • Arubaini, Safari ya Nyoyo za Maashiki (1)

    Arubaini, Safari ya Nyoyo za Maashiki (1)

    Nov 15, 2016 12:16

    Kwa kawaida safari ya kutembea kwa miguu kutoka mji wa Najaf al Ashraf kuelea Karbala inayofanywa kila mwaka na maashiki na wapenzi wa mjukuu wa Mtume (saw), Imam Hussein (as) huambatana na vuguvugu na msisimko wa aina yake. Mwanzoni mwa safari hiyo mazuwari huanza safari hiyo ya mahaba na upendo katika mji wa Najaf wakiwa na shanta dogo, viatu vyepesi na masurufu kiduchu ya kutumia njiani.

  • Arubaini, Mjumbe wa Umoja wa Kiislamu Duniani (4)

    Arubaini, Mjumbe wa Umoja wa Kiislamu Duniani (4)

    Nov 15, 2016 07:13

    Assalaamu Alaykum wasikilizaji wapenzi. Karibuni katika makala hii maalumu tuliyokuandalieni kwa mnasaba wa kumbukumbu ya Arubaini ya Imam Husain AS. Ni mfululizo wa makala maalumu ambazo zinakujieni katika kipindi cha siku hizi kadhaa za kuelekea kwenye kilele cha kumbukumbu hizo zinazofanyika Karbala nchini Iraq ambapo kwa mwaka huu itakuwa ni Jumatatu ya tarehe 21 Novemba kulingana na mwandamo wa mwezi nchini Iraq. Karibuni.