• Jumanne, tarehe 31 Januari, 2017

    Jumanne, tarehe 31 Januari, 2017

    Jan 31, 2017 01:10

    Leo ni Jumanne tarehe Pili Jamadil Awwal 1438 Hijria inayosadifiana na 31 Januari, 2017.

  • Maadhimisho ya Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu (Sehemu ya Kwanza)

    Maadhimisho ya Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu (Sehemu ya Kwanza)

    Jan 29, 2017 03:37

    Assalaamu Alaykum wasikilizaji wapenzi. Karibuni katika mfululizo huu wa vipindi kadhaa tulivyokuandalieni kwa mnasaba wa maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya nchini Iran. Ni matumaini yetu mtakuwa nasi hadi mwisho wa mfululizo huu ambao tutakuwa nao kila siku hadi yatakapofikia kileleni maadhimisho hayo yaani siku ya Ijumaa ya tarehe 10 Februari.

  • Ijumaa, 27 Januari, 2017

    Ijumaa, 27 Januari, 2017

    Jan 26, 2017 23:18

    Leo ni Ijumaa tarehe 28 Rabiuthani 1438 Hijria sawa na tarehe 27 mwezi Januari mwaka 2017.

  • Ijumaa, 6 Januari, 2017

    Ijumaa, 6 Januari, 2017

    Jan 06, 2017 04:20

    Leo ni Ijumaa tarehe 7 Rabiuthani 1438 Hijria sawa 6 Januari 2017.

  • Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran na Fikra ya Umoja wa Kiislamu

    Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran na Fikra ya Umoja wa Kiislamu

    Dec 12, 2016 07:13

    Assalamu Alaykum Wapenzi wasikilizaji na karibuni kuwa nami tena katika sehemu nyingine ya makala hizo zinazokujieni kwa mnasaba wa maadhimisho ya Wiki ya Umoja na Maulidi ya Mtume Muhammad (saw). Kipindi chetu leo kitazungumzia Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran na fikra ya umoja baina ya Waislamu.

  • Jumatatu, 28 Novemba, 2016

    Jumatatu, 28 Novemba, 2016

    Nov 28, 2016 09:40

    Leo ni Jumatatu tarehe 28 Safar 1438 Hijria sawa na Novemba 28, 2016.

  • Siku ya Kitaifa ya Kupambana na Ubeberu wa Kimataifa

    Siku ya Kitaifa ya Kupambana na Ubeberu wa Kimataifa

    Nov 09, 2016 07:57

    Tarehe 13 mwezi Aaban mwaka wa Hijria Shamsia ambayo mwaka huu inasadifiana na tarehe 3 Novemba, inatambuliwa hapa nchini Iran kama Siku ya Kitaifa ya Kupambana na Ubeberu wa Kimataifa.

  • Jumatatu, Oktoba 13, 2016

    Jumatatu, Oktoba 13, 2016

    Oct 03, 2016 04:50

    Leo ni Jumatatu tarehe Mosi Muharram 1438 Hijria sawa na Oktoba 3, 2016.

  • Ijumaa 23 Septemba, 2016

    Ijumaa 23 Septemba, 2016

    Sep 23, 2016 02:52

    Leo ni Ijumaa tarehe 21 Dhulhija 1437 Hijria sawa na Septemba 23, 2016.

  • Imam Khomeini (ra), Mhuishaji wa dini katika ulimwengu wa sasa

    Imam Khomeini (ra), Mhuishaji wa dini katika ulimwengu wa sasa

    Jun 03, 2016 07:58

    Assalamu Alaykum wapenzi wasikilizaji. Tuko katika siku za kukumbuka kufariki dunia Imam Khomeini (MA) ambaye ni muanzilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.