-
Jumanne, tarehe 31 Januari, 2017
Jan 31, 2017 01:10Leo ni Jumanne tarehe Pili Jamadil Awwal 1438 Hijria inayosadifiana na 31 Januari, 2017.
-
Maadhimisho ya Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu (Sehemu ya Kwanza)
Jan 29, 2017 03:37Assalaamu Alaykum wasikilizaji wapenzi. Karibuni katika mfululizo huu wa vipindi kadhaa tulivyokuandalieni kwa mnasaba wa maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya nchini Iran. Ni matumaini yetu mtakuwa nasi hadi mwisho wa mfululizo huu ambao tutakuwa nao kila siku hadi yatakapofikia kileleni maadhimisho hayo yaani siku ya Ijumaa ya tarehe 10 Februari.
-
Ijumaa, 27 Januari, 2017
Jan 26, 2017 23:18Leo ni Ijumaa tarehe 28 Rabiuthani 1438 Hijria sawa na tarehe 27 mwezi Januari mwaka 2017.
-
Ijumaa, 6 Januari, 2017
Jan 06, 2017 04:20Leo ni Ijumaa tarehe 7 Rabiuthani 1438 Hijria sawa 6 Januari 2017.
-
Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran na Fikra ya Umoja wa Kiislamu
Dec 12, 2016 07:13Assalamu Alaykum Wapenzi wasikilizaji na karibuni kuwa nami tena katika sehemu nyingine ya makala hizo zinazokujieni kwa mnasaba wa maadhimisho ya Wiki ya Umoja na Maulidi ya Mtume Muhammad (saw). Kipindi chetu leo kitazungumzia Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran na fikra ya umoja baina ya Waislamu.
-
Jumatatu, 28 Novemba, 2016
Nov 28, 2016 09:40Leo ni Jumatatu tarehe 28 Safar 1438 Hijria sawa na Novemba 28, 2016.
-
Siku ya Kitaifa ya Kupambana na Ubeberu wa Kimataifa
Nov 09, 2016 07:57Tarehe 13 mwezi Aaban mwaka wa Hijria Shamsia ambayo mwaka huu inasadifiana na tarehe 3 Novemba, inatambuliwa hapa nchini Iran kama Siku ya Kitaifa ya Kupambana na Ubeberu wa Kimataifa.
-
Jumatatu, Oktoba 13, 2016
Oct 03, 2016 04:50Leo ni Jumatatu tarehe Mosi Muharram 1438 Hijria sawa na Oktoba 3, 2016.
-
Ijumaa 23 Septemba, 2016
Sep 23, 2016 02:52Leo ni Ijumaa tarehe 21 Dhulhija 1437 Hijria sawa na Septemba 23, 2016.
-
Imam Khomeini (ra), Mhuishaji wa dini katika ulimwengu wa sasa
Jun 03, 2016 07:58Assalamu Alaykum wapenzi wasikilizaji. Tuko katika siku za kukumbuka kufariki dunia Imam Khomeini (MA) ambaye ni muanzilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.