-
Jumatano tarehe 24 Januari 2018
Jan 24, 2018 01:04Leo ni Jumatano tarehe 6 Jamadil Awwali 1439 Hijria mwafaka na tarehe 24 Januari mwaka 2018.
-
Ulimwengu wa Spoti, Jan 22
Jan 22, 2018 03:12Hujambo mpenzi mwanaspoti na karibu katika dakika hizi chache zilizotengwa kwa ajili ya kuangazia matukio mawili matatu ya michezo yaliyogonga vichwa vya habari kitaifa na kimataifa. Usibanduke kando ya radio yako hadi tamati ya kipindi……..Karibu…..
-
Ulimwengu wa Michezo, Jan 15
Jan 15, 2018 02:46Hujambo mpenzi mwanaspoti na karibu katika dakika hizi chache za kutupia jicho baadhi ya matukio muhimu ya spoti, yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita, ndani na nje ya nchi.
-
Chuki dhidi ya dini ya Kiislamu katika nchi za Kimagharibi 19 na sauti
Jan 10, 2018 12:40Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya 19 ya makala yanayozungumzia chuki na matukio ya kibaguzi dhidi ya Uislamu na Waislamu kwa ujumla katika nchi za Magharibi.
-
Ulimwengu wa Spoti, Jan 8
Jan 08, 2018 03:04Hujambo mpenzi msikilizaji na karibu tuangazie matukio mawili matatu ya spoti yaliyogonga vichwa vya habari ndani ya siku saba zilizopita, kitaifa na kimataifa. Tuandamane sote hadi tamati ya kipindi……Karibu…….
-
Jumamosi, 6 Januari, 2018
Jan 05, 2018 23:28Leo ni Jumamosi tarehe 18 Mfunguo Saba Rabiuthani 1439 Hijria sawa na tarehe 6 Januari 2018 Miladia.
-
Ulimwengu wa Spoti, Jan 1
Jan 01, 2018 03:55Mkusanyiko wa matukio muhimu ya spoti kitaifa na kimataifa ndani ya siku saba zilizopita....
-
Ulimwengu wa Spoti, Disemba 25
Dec 25, 2017 02:40Hujambo mpenzi mwanaspoti wa RT na karibu katika dakika hizi chache za kutupia jicho matukio yaliyogonga vichwa vya habari ndani ya siku saba zilizopita katika nyuga za spoti, kitaifa na kimataifa. Usibanduke kando ya radio yako hadi tamati ya kipindi……karibu….
-
Alkhamisi tarehe 21 Disemba, 2017
Dec 20, 2017 23:15Leo ni Alkhamisi tarehe Pili Rabiuthani 1439 Hijria sawa na Disemba 21, 2017
-
Ulimwengu wa Spoti, Dec
Dec 11, 2017 04:33Huu ni mkusanyiko wa matukio kadhaa ya spoti yaliyogonga vichwa vya habari ndani ya siku saba zilizopita, kutoka Iran, Afrika Mashariki na kwengineko......