-
Jumatatu tarehe 4 Februari 2019
Feb 03, 2019 21:33Leo ni Jmatatu tarehe 28 Jamadil Awwal 1440 Hijria sawa na tarehe 4 Februari 2019.
-
Miaka 40 na juhudi za kuunganisha madhehebu za Kiislamu
Feb 02, 2019 01:05Katika mada ya 11 ya Katiba ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kwa msingi wa Aya ya Qur'ani Tukufu inayosema: Hakika umma wenu huu ni umma mmoja, na Mimi ni Mola wenu, kwa hivyo niabuduni Mimi, serikali ya Jamhuri ya Kiislamu inawajibika kuratibu siasa zake kuu kwa msingi wa kuleta umoja na mshikamano wa kisiasa, kiuchumi na kiutamaduni kati ya mataifa yote ya Kiislamu.
-
Mwaka 2019 na kujiondoka Marekani na Israel katika shirika la UNESCO
Jan 09, 2019 05:18Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel tarehe Mosi mwezi huu wa Januari 2019 zilijiondoa rasmi katika Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) zikilalamikia kile kilichotajwa ni mwelekeo wa jumuiya hiyo dhidi ya Israel.
-
Jumanne 25 Disemba 2018
Dec 24, 2018 23:31Leo ni Jumanne tarehe 17 Rabiuthani 1440 Hijria sawa na tarehe 25 Disemba 2018.
-
Jumatatu, 3 Disemba, 2018
Dec 02, 2018 21:35Leo ni Jumatatu tarehe 25 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1440 Hijria sawa na Disemba 3 mwaka 2018.
-
Mapitio ya Mkutano wa 32 wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu
Dec 01, 2018 06:58Assalamu Alaykum msikilizaji mpenzi wa Radio Tehran popote pale ulipo wakati huu na karibu kusikiliza kipindi hiki maalumu cha Mapitio ya Mkutano wa 32 wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu uliofanyika hapa mjini Tehran kuanzia tarehe 24 hadi 26 Novemba 2018, kwa mnasaba wa Wiki ya Umoja ya maadhimisho ya kuzaliwa Kiongozi na Muunganishi wa Umma wa Kiislamu, Bwana Mtume Muhammad SAW. Endelea basi kuwa pamoja nami kuanzia awali hadi tamati ya mazungumzo yetu.
-
Jumatatu, Oktoba 8, 2018
Oct 07, 2018 23:02Leo ni Jumatatu tarehe 28 Mfunguo Nne Muharram 1440 Hijria sawa na Oktoba 8, mwaka 2018 Milaadia.
-
Alkhamisi, 30 Agosti, 2018
Aug 29, 2018 21:57Leo ni Alkhamisi tarehe 18 Dhulhija 1439 Hijria sawa na Agosti 30, mwaka 2018.
-
Jumamosi, 4 Agosti, 2018
Aug 03, 2018 20:57Leo ni Jumamosi tarehe 21 Mfunguo Pili, Dhil-Qaadah 1439 Hijria mwafaka na tarehe 4 Agosti 2018 Miladia.
-
Jumatano Julai 25, 2018
Jul 24, 2018 20:48Leo ni Jumatano tarehe 11 Dhulqaada 1439 Hijria sawa na Julai 25, 2018.