-
Jumatatu tarehe 4 Februari 2019
Feb 04, 2019 01:03Leo ni Jmatatu tarehe 28 Jamadil Awwal 1440 Hijria sawa na tarehe 4 Februari 2019.
-
Miaka 40 na juhudi za kuunganisha madhehebu za Kiislamu
Feb 02, 2019 04:35Katika mada ya 11 ya Katiba ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kwa msingi wa Aya ya Qur'ani Tukufu inayosema: Hakika umma wenu huu ni umma mmoja, na Mimi ni Mola wenu, kwa hivyo niabuduni Mimi, serikali ya Jamhuri ya Kiislamu inawajibika kuratibu siasa zake kuu kwa msingi wa kuleta umoja na mshikamano wa kisiasa, kiuchumi na kiutamaduni kati ya mataifa yote ya Kiislamu.
-
Mwaka 2019 na kujiondoka Marekani na Israel katika shirika la UNESCO
Jan 09, 2019 08:48Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel tarehe Mosi mwezi huu wa Januari 2019 zilijiondoa rasmi katika Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) zikilalamikia kile kilichotajwa ni mwelekeo wa jumuiya hiyo dhidi ya Israel.
-
Jumanne 25 Disemba 2018
Dec 25, 2018 03:01Leo ni Jumanne tarehe 17 Rabiuthani 1440 Hijria sawa na tarehe 25 Disemba 2018.
-
Jumatatu, 3 Disemba, 2018
Dec 03, 2018 01:05Leo ni Jumatatu tarehe 25 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1440 Hijria sawa na Disemba 3 mwaka 2018.
-
Mapitio ya Mkutano wa 32 wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu
Dec 01, 2018 10:28Assalamu Alaykum msikilizaji mpenzi wa Radio Tehran popote pale ulipo wakati huu na karibu kusikiliza kipindi hiki maalumu cha Mapitio ya Mkutano wa 32 wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu uliofanyika hapa mjini Tehran kuanzia tarehe 24 hadi 26 Novemba 2018, kwa mnasaba wa Wiki ya Umoja ya maadhimisho ya kuzaliwa Kiongozi na Muunganishi wa Umma wa Kiislamu, Bwana Mtume Muhammad SAW. Endelea basi kuwa pamoja nami kuanzia awali hadi tamati ya mazungumzo yetu.
-
Jumatatu, Oktoba 8, 2018
Oct 08, 2018 02:32Leo ni Jumatatu tarehe 28 Mfunguo Nne Muharram 1440 Hijria sawa na Oktoba 8, mwaka 2018 Milaadia.
-
Alkhamisi, 30 Agosti, 2018
Aug 30, 2018 02:27Leo ni Alkhamisi tarehe 18 Dhulhija 1439 Hijria sawa na Agosti 30, mwaka 2018.
-
Jumamosi, 4 Agosti, 2018
Aug 04, 2018 01:27Leo ni Jumamosi tarehe 21 Mfunguo Pili, Dhil-Qaadah 1439 Hijria mwafaka na tarehe 4 Agosti 2018 Miladia.
-
Jumatano Julai 25, 2018
Jul 25, 2018 01:18Leo ni Jumatano tarehe 11 Dhulqaada 1439 Hijria sawa na Julai 25, 2018.