• Kupambana na Utawala wa Kizayuni wa Israel katika Mtazamo wa Uislamu

    Kupambana na Utawala wa Kizayuni wa Israel katika Mtazamo wa Uislamu

    Nov 09, 2023 11:27

    Hamjambo na karibuni kuwa nasi katika kipindi chetu cha Makala ya Wiki ambacho leo kinaangazia mtazamo wa dini ya Kiislamu kuhusu kujilinda na kukabiliana na ukandamizaji, uchokozi na uvamizi.

  • Hekaya za Aya (1)

    Hekaya za Aya (1)

    Jun 17, 2023 06:44

    Assalam Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Hamjambo na karibuni kuwa nasi katika sehemu ya kwanza ya kipindi chetu kipya tulichokipa jina la Hekaya za Aya ambacho kwa hakika kinazungumzia sababu, kisa au tukio lililopelekea kuteremshwa Aya mbalimbali za Qur'ani Tukufu.

  • Mapinduzi ya Kiislamu; Qur'ani, Umaanawi na Umoja

    Mapinduzi ya Kiislamu; Qur'ani, Umaanawi na Umoja

    Feb 07, 2023 05:32

    Assalamu Alaykum wapenzi wasikilizaji popote pale mnaponitegea sikio wakati huu. Nakukaribisheni kwa moyo mkunjufu kusikiliza mfululizo mwingine wa vipindi hivi maalumu tulivyokuandalieni kwa mnasaba wa maadhimisho ya Alfajiri Kumi za ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu, ambapo kwa leo tutazungumzia nafasi ya Qur'ani, Umaanawi, Uongozi wa Imam Khomeini na Umoja wa matabaka mbalimbali ya jamii ya Iran katika kufanikisha mapinduzi hayo. Endeleeni kuwa nami basi hadi tamati ya mazungumzo yetu.

  • Jumatano tarehe 4 Mei 2022

    Jumatano tarehe 4 Mei 2022

    May 04, 2022 02:34

    Leo ni Jumatano tarehe 2 Shawwal 1443 Hijria iinayosadifiana na tarehe 4 Mei 2022.

  • Ramadhani, mwezi wa fursa

    Ramadhani, mwezi wa fursa

    Apr 11, 2022 10:56

    Assalaam Alaykum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. Tunakukaribisheni kusikilizaji kipindi hiki maalumu ambacho tumekutayarishieni kwa mnasaba wa funga ya mwezi mtukufu wa Ramadhani.

  • Nuru ya Imani katika Mwamko wa Imam Khomeini MA

    Nuru ya Imani katika Mwamko wa Imam Khomeini MA

    Feb 13, 2020 06:21

    Hamjambo wapenzi wasikilizake na karibuni kujiunga nami katika makala hii tuliyokutayarishieni kwa mnasaba wa maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ambapo leo tutaangazia namna fikra za Imam Khomeini MA, zilivyoweza kuenea na kuwavutia wasomi wengi duniani.

  • Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran na kufuata kigezo cha Qur'ani katika kupambana na Uistikbari

    Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran na kufuata kigezo cha Qur'ani katika kupambana na Uistikbari

    Feb 04, 2020 04:44

    Assalamu Alaykum mpenzi msikilizaji popote pale ulipo. Nakukaribisha kutegea sikio mfululizo mwengine wa vipindi maalumu tulivyokuandalia kwa mnasaba wa kuadhimisha ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, ambapo leo tutazungumzia namna mapinduzi hayo yanavyofuata kigezo cha mafundisho ya Qur'ani kwa ajili ya kupambana na Uistikbari duniani. Endelea kuwa nami basi hadi tamati ya mazungumzo yetu.

  • Sura ya S’aad, aya ya 84-88 (Darsa ya 836)

    Sura ya S’aad, aya ya 84-88 (Darsa ya 836)

    Jul 10, 2019 10:40

    Wasikilizaji wapenzi wa Darsa ya Qur’ani, Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Bismillahir Rahmanir Rahim. Hamdu na sifa zote njema zinamstahikia Allah SW, na rehma na amani zimshukie Mtume wake Mtukufu na Aali zake watoharifu. Kwa taufiki yake Mola Karima aliyetupa uhai na uzima tumekutana tena katika mfululizo mwengine wa Darsa ya Qur’ani.

  • Sura ya S’aad, aya ya 79-83 (Darsa ya 835)

    Sura ya S’aad, aya ya 79-83 (Darsa ya 835)

    Jul 10, 2019 10:37

    Wasikilizaji wapenzi wa Darsa ya Qur’ani, Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Bismillahir Rahmanir Rahim. Hamdu na sifa zote njema zinamstahikia Allah SW, na rehma na amani zimshukie Mtume wake Mtukufu na Aali zake watoharifu. Kwa taufiki yake Mola Karima aliyetupa uhai na uzima tumekutana tena katika mfululizo mwengine wa Darsa ya Qur’ani.

  • Sura ya S’aad, aya ya 75-78 (Darsa ya 834)

    Sura ya S’aad, aya ya 75-78 (Darsa ya 834)

    Jul 10, 2019 10:33

    Wasikilizaji wapenzi wa Darsa ya Qur’ani, Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Bismillahir Rahmanir Rahim. Hamdu na sifa zote njema zinamstahikia Allah SW, na rehma na amani zimshukie Mtume wake Mtukufu na Aali zake watoharifu. Kwa taufiki yake Mola Karima aliyetupa uhai na uzima tumekutana tena katika mfululizo mwengine wa Darsa ya Qur’ani.