Leo ni Ijumaa tarehe 23 Jumadithani 1440 Hijria sawa na tarehe Mosi machi 2019.
Leo ni Alkhamisi tarehe 17 Muharram 1440 Hijria sawa na Septemba 27, mwaka 2018.
Leo ni Jumanne tarehe 23 Dhulhija 1439 Hijria inayosadifiana na Septemba 4, 2018.
Leo ni Jumanne tarehe 03 Dhulqaada 1439 Hijria sawa na Julai 17, 2018.
Huu ni mkusanyiko wa matukio muhimu ya spoti yaliyojiri duniani ndani ya siku saba zilizopita, haswa kufikia tamati michuano ya Kombe la Dunia Russia....
Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya 37 ya makala haya yanayozungumzia chuki na matukio ya kibaguzi dhidi ya Uislamu na Waislamu kwa ujumla katika nchi za Magharibi.
Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni kutegea sikio sehemu ya 36 ya makala haya yanayozungumzia chuki na matukio ya kibaguzi dhidi ya Uislamu na Waislamu kwa ujumla katika nchi za Magharibi.
Leo ni Jumapili tarehe Mosi Jamadi tha-Thani 1439 Hijiria, mwafaka na tarehe 18 Februari mwaka 2018 Miladia.
Leo ni Jumapili tarehe 3 Jamadul-Awwal mwaka 1439 Hijria sawa na tarehe 21Januari 2018 Miladia.
Leo ni Jumapili tarehe 5 Rabiuthani 1439 Hijria sawa na Disemba 24 , 2017