• Akhlaqi Katika Uislamu (18)

    Akhlaqi Katika Uislamu (18)

    Nov 06, 2022 15:05

    Amani ya Allah, rehma na baraka zake ziwe juu yako mpendwa msikilizaji popote pale ulipo wakati huu. Nakukaribisha kusikiliza sehemu hii ya 18 ya kipindi cha Akhlaqi Katika Uislamu nikiwa na matumaini kuwa, mimi pamoja na wewe tutanufaika na yale tutakayoyasikia katika kipindi hiki. Endelea kuwa nami basi hadi tamati ya mazungumzo yetu.

  • Wiki ya Umoja na Maulidi ya Mtume (saw)

    Wiki ya Umoja na Maulidi ya Mtume (saw)

    Oct 10, 2022 07:44

    Siku hizi za mwezi wa Mfunguo Sita Rabiu Awwal ni fursa adhimu kwa Waislamu kote duniani kupitia tena Aya zinazohusiana na umoja na mshikamano wa Waislamu katika Qur'ani Tukufu na Hadithi za Mtume wetu Muhammad (saw) ambaye kwa mujibu wa riwaya na mapokezi mawili tofauti ya wanazuoni na wanahistoria, alizaliwa ama tarehe 12 au 17 ya mwezi huu.

  • Wiki ya Umoja wa Kiislamu-3: Fursa ya Kuimarisha Mazingira ya Kupatikana Umoja Katika Ulimwengu wa Kiislamu

    Wiki ya Umoja wa Kiislamu-3: Fursa ya Kuimarisha Mazingira ya Kupatikana Umoja Katika Ulimwengu wa Kiislamu

    Nov 11, 2019 07:58

    Assalamu Alaykum wapenzi wasikilizaji. Karibuni kusikiliza kipindi hiki maalumu kinachokujieni kwa mnasaba wa kuadhimisha Wiki ya Umoja, sambamba na kusherehekea kuzaliwa mbora wa viumbe Bwana Mtume Muhammad SAW. Endeleeni kuwa nami basi hadi tamati ya kipindi kutegea sikio yale niliyokuandalieni kwa leo.

  • Miaka 40 na juhudi za kuunganisha madhehebu za Kiislamu

    Miaka 40 na juhudi za kuunganisha madhehebu za Kiislamu

    Feb 02, 2019 04:35

    Katika mada ya 11 ya Katiba ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kwa msingi wa Aya ya Qur'ani Tukufu inayosema: Hakika umma wenu huu ni umma mmoja, na Mimi ni Mola wenu, kwa hivyo niabuduni Mimi, serikali ya Jamhuri ya Kiislamu inawajibika kuratibu siasa zake kuu kwa msingi wa kuleta umoja na mshikamano wa kisiasa, kiuchumi na kiutamaduni kati ya mataifa yote ya Kiislamu.

  • Mapitio ya Mkutano wa 32 wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu

    Mapitio ya Mkutano wa 32 wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu

    Dec 01, 2018 10:28

    Assalamu Alaykum msikilizaji mpenzi wa Radio Tehran popote pale ulipo wakati huu na karibu kusikiliza kipindi hiki maalumu cha Mapitio ya Mkutano wa 32 wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu uliofanyika hapa mjini Tehran kuanzia tarehe 24 hadi 26 Novemba 2018, kwa mnasaba wa Wiki ya Umoja ya maadhimisho ya kuzaliwa Kiongozi na Muunganishi wa Umma wa Kiislamu, Bwana Mtume Muhammad SAW. Endelea basi kuwa pamoja nami kuanzia awali hadi tamati ya mazungumzo yetu.

  • Umoja na Udugu wa Kidini katika Qur'ani na Hadithi

    Umoja na Udugu wa Kidini katika Qur'ani na Hadithi

    Nov 26, 2018 12:37

    Suala la umoja katika umma wa Kiislamu, ni jambo lenye umuhimu mkubwa na ambalo limesisitizwa sana katika Qur'ani na Hadithi. Kinsingi ni kuwa umoja ni nguzo muhimu katika mafundisho ya Qur'ani na pia unachukuliwa kuwa moja ya misingi muhimu katika Hadithi za Mtume Muhammad (saw) na Ahlu Beit wake (as).

  • Kuchomoza Nuru ya Uongofu; Maadhimisho ya Uzawa wa Bwana Mtume Muhammad SAW

    Kuchomoza Nuru ya Uongofu; Maadhimisho ya Uzawa wa Bwana Mtume Muhammad SAW

    Nov 24, 2018 07:27

    Assalamu Alaykum Warahamtullahi Wabarakatuh. Wasikilizaji wapenzi, tungali tumo kwenye masiku ya kuadhimisha Maulidi, yaani uzawa wa shakhsia wa kustaajabisha katika historia na zama, ambaye alipambika kwa sifa bora za akhlaqi, zilizowavutia watu na kuwajenga kiutu.

  • Umoja Katika Ulimwengu wa Kiislamu (75)

    Umoja Katika Ulimwengu wa Kiislamu (75)

    Nov 03, 2018 11:16

    Amani ya Allah, rehma na baraka zake ziwe juu yenu wapenzi wasikilizaji popote pale mlipo. Karibuni kusikiliza kipindi hiki kinachozungumzia suala muhimu na la msingi la Umoja Katika Ulimwengu wa Kiislamu. Suala ambalo kutokana na kipindi ambacho Ulimwengu wa Kiislamu unakipitia hivi sasa umuhimu wake unahisika zaidi wakati huu pengine kuliko wakati mwengine wowote ule. Endeleeni basi kuwa pamoja nami kuanzia awali hadi tamati ya mfululizo huu, hii ikiwa ni sehemu yake ya 75 na ya mwisho.

  • Umoja Katika Ulimwengu wa Kiislamu (74)

    Umoja Katika Ulimwengu wa Kiislamu (74)

    Nov 03, 2018 11:11

    Amani ya Allah, rehma na baraka zake ziwe juu yenu wapenzi wasikilizaji popote pale mlipo. Karibuni kusikiliza kipindi hiki kinachozungumzia suala muhimu na la msingi la Umoja Katika Ulimwengu wa Kiislamu. Suala ambalo kutokana na kipindi ambacho Ulimwengu wa Kiislamu unakipitia hivi sasa umuhimu wake unahisika zaidi wakati huu pengine kuliko wakati mwengine wowote ule. Endeleeni basi kuwa pamoja nami kuanzia awali hadi tamati ya mfululizo huu, hii ikiwa ni sehemu yake ya 74.

  • Umoja Katika Ulimwengu wa Kiislamu (73)

    Umoja Katika Ulimwengu wa Kiislamu (73)

    Nov 03, 2018 11:03

    Amani ya Allah, rehma na baraka zake ziwe juu yenu wapenzi wasikilizaji popote pale mlipo. Karibuni kusikiliza kipindi hiki kinachozungumzia suala muhimu na la msingi la Umoja Katika Ulimwengu wa Kiislamu. Suala ambalo kutokana na kipindi ambacho Ulimwengu wa Kiislamu unakipitia hivi sasa umuhimu wake unahisika zaidi wakati huu pengine kuliko wakati mwengine wowote ule. Endeleeni basi kuwa pamoja nami kuanzia awali hadi tamati ya mfululizo huu, hii ikiwa ni sehemu yake ya 73.