• Jumamosi, 29 Julai, 2023

    Jumamosi, 29 Julai, 2023

    Jul 29, 2023 02:53

    Leo ni Jumamosi tarehe 11 Mfunguo Nne Muharram 1445 Hijria mwafaka na 29 Julai 2023 Miiladia.

  • Alkhamisi, tarehe 13 Julai, 2023

    Alkhamisi, tarehe 13 Julai, 2023

    Jul 13, 2023 02:15

    Leo ni Alkhamisi tarehe 24 Dhulhija 1444 Hijria sawa na Julai 13, mwaka 2023.

  • Jumatano, tarehe 14 Juni, 2023

    Jumatano, tarehe 14 Juni, 2023

    Jun 14, 2023 02:37

    Leo ni Jumatano tarehe 25 Dhilqaada 1444 Hijria inayosadifiana na tarehe 14 Juni mwaka 2023.

  • Mkono wa pole kwa mnasaba wa kuaga dunia Bibi Khadija, mke mtukufu wa Mtume (saw)

    Mkono wa pole kwa mnasaba wa kuaga dunia Bibi Khadija, mke mtukufu wa Mtume (saw)

    Apr 01, 2023 04:53

    Tarehe 10 ya mwezi Mtukufu wa Ramadhani Hijiria Qamaria, ambayo inasadifiana na tarehe Mosi Aprili 2023 ni siku ya kukumbuka kuaga dunia Bibi Khadija (sa) , mke mtukufu wa Mtume Muhammad (saw).

  • Jumamosi tarehe 18 Februari 2023 Miladia

    Jumamosi tarehe 18 Februari 2023 Miladia

    Feb 18, 2023 02:37

    Leo ni Jumamosi tarehe 27 Rajab 1444 Hijria sawa na Februari 18 mwaka 2023 Miladia.

  • Jumapili, 29 Januari, 2023

    Jumapili, 29 Januari, 2023

    Jan 29, 2023 02:34

    Leo ni Jumapili tarehe 7 Rajab, 1444 Hijria sawa na tarehe 29 Januari, 2023 Miladia

  • Maalumu Siku ya Kufa Shahidi Hadhrat Zahra al Batul (as)

    Maalumu Siku ya Kufa Shahidi Hadhrat Zahra al Batul (as)

    Dec 08, 2022 09:06

    Tarehe 13 Jumadil-Awwal, ni siku ya kumbukumbu ya kuuawa shahidi binti wa Mtume wetu, Muhammad al Mustafa (saw), Bibi Fatimatu Zahra (as) na siku ya maombolezo ya Waislamu hususan wapenzi wa Ahlul Bait (as).

  • Akhlaqi Katika Uislamu (46)

    Akhlaqi Katika Uislamu (46)

    Nov 28, 2022 04:58

    Amani ya Allah, rehma na baraka zake ziwe juu yako mpendwa msikilizaji popote pale ulipo wakati huu. Nakukaribisha kusikiliza sehemu hii ya 46 ya kipindi cha Akhlaqi Katika Uislamu nikiwa na matumaini kuwa, mimi pamoja na wewe tutanufaika na yale tutakayoyasikia katika kipindi hiki ambacho kwa leo kitaendelea kuzungumzia na kuchambua "Akhlaqi za Kisiasa" katika Uislamu. Endelea kuwa nami basi hadi tamati ya mazungumzo yetu.

  • Akhlaqi Katika Uislamu (33)

    Akhlaqi Katika Uislamu (33)

    Nov 10, 2022 14:51

    Amani ya Allah, rehma na baraka zake ziwe juu yako mpendwa msikilizaji popote pale ulipo wakati huu. Nakukaribisha kusikiliza sehemu hii ya 33 ya kipindi cha Akhlaqi Katika Uislamu nikiwa na matumaini kuwa, mimi pamoja na wewe tutanufaika na yale tutakayoyasikia katika kipindi hiki ambacho kwa leo kitazungumzia akhlaqi za kiutamaduni katika Uislamu. Endelea kuwa nami basi hadi tamati ya mazungumzo yetu.