-
Kampeni za uchaguzi zasimamishwa Zambia kutokana na machafuko
Jul 11, 2016 02:54Machafuko ya kabla ya uchaguzi mkuu nchini Zambia yamesababisha kufutiliwa mbali kampeni za uchaguzi huo katika mji mkuu Lusaka na viunga vyake.
-
Mkuu wa upinzani DRC apuuza waranti ya kukamatwa dhidi yake
Jul 05, 2016 08:52Moise Katumbi, kinara wa upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amepuuzilia mbali waranti ya kukamatwa iliyotolewa dhidi yake na serikali ya nchi hiyo na kusema kuwa atarejea nchini karibuni hivi kwa ajili ya kuwania urais.
-
Hizbullah: Saudia inazuia kufanyika uchaguzi wa rais Lebanon
Jun 28, 2016 03:07Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon ameikosoa vikali Saudi Arabia kwa kukwamisha mikakati ya kisiasa sambamba na kuzuia juhudi za kufanyika uchaguzi wa rais nchini Lebanon.
-
Machafuko ya kabla ya uchaguzi Afrika Kusini
Jun 23, 2016 03:00Machafuko na ghasia zimeripotiwa kupamba moto katika kipindi hiki cha kabla ya uchaguzi wa mabaraza ya miji nchini Afrika Kusini.
-
Kuendelea maandamano dhidi ya Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka ya Kenya, IEBC
May 24, 2016 06:31Watu watatu waliuawa Jumatatu nchini Kenya katika maandamano yaliyofanyika katika pembe tofauti za nchi hiyo dhidi ya Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka IEBC.
-
Bunge la Somalia latakiwa kuidhinisha uchaguzi wa rais
May 22, 2016 11:51Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na nchi wafadhili za Magharibi zimelitaka Bunge la Somalia kuharakisha mchakato wa kufanyika uchaguzi mkuu katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Umoja wa Mataifa waunga mkono uchaguzi wa rais Somalia
May 17, 2016 09:25Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limesema linaunga mkono kikamilifu mpango wa kufanyika uchaguzi mkuu nchini Somalia.
-
Mahakama ya Katiba Comoro yaidhinisha ushindi wa Kamanda Azali Assoumani
May 15, 2016 23:08Mahakama ya Katiba nchini Comoro imemtangaza Kamanda Azali Assoumani kuwa mshindi wa duru ya pili ya uchaguzi wa rais katika visiwa hivyo.
-
Baraza la Katiba la Chad laidhinisha matokeo ya uchaguzi wa Rais yaliyomrejesha madarakani Rais Deby
May 03, 2016 23:53Baraza la Katiba la Chad limeidhinisha matokeo ya uchaguzi wa Rais uliofanyika nchini humo Aprili 10 ya mwezi uliopita na kumrejesha tena madarakani Rais Idriss Deby wa nchi hiyo.
-
Uchaguzi wa Rais katika visiwa vya Comoro kurejewa katika baadhi ya maeneo
May 01, 2016 03:11Mahakama ya Katiba katika visiwa vya Comoro imetoa amri ya kurejewa uchaguzi wa Rais katika baadhi ya maeneo ya nchi hiyo.