Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

2017 Uchaguzi

  • Kukataa Mahakama ya Katiba ya Gabon takwa la kuzuiwa Rais Ali Bongo kugombea uchaguzi ujao

    Kukataa Mahakama ya Katiba ya Gabon takwa la kuzuiwa Rais Ali Bongo kugombea uchaguzi ujao

    Jul 31, 2016 03:20

    Mahakama ya Katiba ya Gabon jana Ijumaa ilitangaza rasmi kukataa takwa la kuzuiwa Rais Ali Bongo kutetea kiti chake cha urais katika uchaguzi ujao.

  • 25 wauawa katika machafuko ya kabla ya uchaguzi Afrika Kusini

    25 wauawa katika machafuko ya kabla ya uchaguzi Afrika Kusini

    Jul 28, 2016 11:00

    Watu wasiopungua 25 wameuawa katika machafuko ya kabla ya uchaguzi wa mabaraza ya miji nchini Afrika Kusini.

  • Trump: Hillary Clinton ni mzizi wa matatizo ya kiusalama duniani

    Trump: Hillary Clinton ni mzizi wa matatizo ya kiusalama duniani

    Jul 22, 2016 10:15

    Mgombea wa kiti cha rais kwa tiketi ya chama cha Republican nchini Marekani, Donald Trump amesema aghalabu ya changamoto za kiusalama zinaoikabili dunia kwa sasa zilisababishwa na hasimu wake wa kisiasa Hillary Clinton, anayetaka kuwa rais kupitia chama cha Democrats.

  • Bunge la Ghana lakataa kubadilsha tarehe ya uchaguzi mkuu

    Bunge la Ghana lakataa kubadilsha tarehe ya uchaguzi mkuu

    Jul 22, 2016 10:11

    Bunge la Ghana limekataa kupasisha hoja ya kubadilisha tarehe ya uchaguzi mkuu nchini humo unaotazamiwa kufanyika baadaye mwaka huu.

  • Kampeni za uchaguzi zasimamishwa Zambia kutokana na machafuko

    Kampeni za uchaguzi zasimamishwa Zambia kutokana na machafuko

    Jul 11, 2016 02:54

    Machafuko ya kabla ya uchaguzi mkuu nchini Zambia yamesababisha kufutiliwa mbali kampeni za uchaguzi huo katika mji mkuu Lusaka na viunga vyake.

  • Mkuu wa upinzani DRC apuuza waranti ya kukamatwa dhidi yake

    Mkuu wa upinzani DRC apuuza waranti ya kukamatwa dhidi yake

    Jul 05, 2016 08:52

    Moise Katumbi, kinara wa upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amepuuzilia mbali waranti ya kukamatwa iliyotolewa dhidi yake na serikali ya nchi hiyo na kusema kuwa atarejea nchini karibuni hivi kwa ajili ya kuwania urais.

  • Hizbullah: Saudia inazuia kufanyika uchaguzi wa rais Lebanon

    Hizbullah: Saudia inazuia kufanyika uchaguzi wa rais Lebanon

    Jun 28, 2016 03:07

    Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon ameikosoa vikali Saudi Arabia kwa kukwamisha mikakati ya kisiasa sambamba na kuzuia juhudi za kufanyika uchaguzi wa rais nchini Lebanon.

  • Machafuko ya kabla ya uchaguzi Afrika Kusini

    Machafuko ya kabla ya uchaguzi Afrika Kusini

    Jun 23, 2016 03:00

    Machafuko na ghasia zimeripotiwa kupamba moto katika kipindi hiki cha kabla ya uchaguzi wa mabaraza ya miji nchini Afrika Kusini.

  • Kuendelea maandamano dhidi ya Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka ya Kenya, IEBC

    Kuendelea maandamano dhidi ya Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka ya Kenya, IEBC

    May 24, 2016 06:31

    Watu watatu waliuawa Jumatatu nchini Kenya katika maandamano yaliyofanyika katika pembe tofauti za nchi hiyo dhidi ya Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka IEBC.

  • Bunge la Somalia latakiwa kuidhinisha uchaguzi wa rais

    Bunge la Somalia latakiwa kuidhinisha uchaguzi wa rais

    May 22, 2016 11:51

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na nchi wafadhili za Magharibi zimelitaka Bunge la Somalia kuharakisha mchakato wa kufanyika uchaguzi mkuu katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS