-
Seif al-Islam Gaddafi ajiandikisha kugombea urais nchini Libya
Mar 20, 2018 04:31Mkuu wa Mipango ya Mwana wa Kanali Muammar Gaddafi, yaani Seif al-Islam Gaddafi ametangaza kuwa, mwana huyo wa kiongozi wa zamani wa Libya ameandikisha jina lake la kuwa miongoni mwa wagombea katika uchaguzi ujao wa rais nchini humo.
-
Rais Putin: Russia haiko katika mashindano ya silaha na nchi za Magharibi
Mar 20, 2018 00:55Rais Vladmir Putin wa Russia ametangaza kwamba, nchi yake haiko katika mashindano ya silaha na nchi za Marekani na Magharibi.
-
Putin apata ushindi wa kishindo katika uchaguzi wa rais Russia
Mar 19, 2018 00:52Vladimir Putin amechaguliwa tena kuingoza Russia baada ya kupata ushindi wa kishindo katika uchaguzi uliofanyika jana.
-
UN yaunga mkono kufanyika uchaguzi Julai nchini Zimbabwe
Mar 18, 2018 13:10Umoja wa Mataifa umesema kuwa unaunga mkono mpango wa kufanyika uchaguzi wa rais nchini Zimbabwe mwezi Julai mwaka huu.
-
Kuanza uchaguzi wa rais nchini Misri, viashiria hasi vya uchaguzi
Mar 17, 2018 00:18Uchaguzi wa rais wa Misri ulianza jana Ijumaa machi 16 kwa Wamisri wanaoishi katika nchi 124 za kigeni na utaendelea kwa muda wa siku tatu.
-
Uchaguzi wa rais Misri waanza nje ya nje, wapinzani wataka wananchi wasusie
Mar 16, 2018 00:53Uchaguzi wa rais wa Misri umenza leo Ijumaa nje ya nchi hiyo huku wapinzani wa serikali ya jenerali mstaafu, Abdul Fattah al Sisi wakiwataka wananchi wasusie zoezi hilo kwa hoja kwamba, halitakuwa huru na la wazi.
-
Kinara wa upinzani DRC azindua azma ya kuwania urais akiwa uhamishoni
Mar 13, 2018 03:57Moise Katumbi, kiongozi mashuhuri wa upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo aliyeko uhamishoni amezindua rasmi azma yake ya kugombea urais katika uchaguzi ujao baadaye mwaka huu.
-
Mgombea wa upinzani nchini Sierra Leone aongoza huku duru ya pili ikitarajiwa
Mar 12, 2018 04:32Matokeo ya awali ya uchaguzi wa Rais yanayoendelea kutangazwa nchini Sierra Leone yanaonesha kuwa, mgombea wa upinzani anaongoza huku akiwa amemuacha mbali mgombea wa chama tawala kwa zaidi ya kura elfu 15.
-
Uchaguzi wa Rais Sierra Leone waingia duru ya pili
Mar 12, 2018 03:33Matokeo ya uchaguzi mkuu nchini Sierra Leone yameonesha kwamba, hakuna mgombea aliyefanikiwa kupata ushindi mutlaki na kwa msingi huo uchaguzi huo umeingia duru ya pili.
-
DRC yasisitiza kuwa uchaguzi wa rais utafanyika mwaka huu kama ulivyopangwa
Mar 08, 2018 12:39Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amesema uchaguzi wa rais utafanyika mwishoni mwa mwaka huu kama ulivyopangwa licha ya changamoto wanazokabiliwa nazo.