-
Shamkhani asisitiza ushirikiano wa kistratejia kati ya Iran na Afghanistan
Aug 06, 2016 08:53Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesisitiza udharura wa kuendelezwa mazungumzo ya kiusalama kati ya Tehran na Kabul ili kupata njia ya kudumu ya kurejesha amani katika mipaka ya pamoja na kupambana na ugaidi.
-
Magaidi 120 wa Daesh wauawa Afghanistan
Jul 26, 2016 23:30Makumi ya wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh wameuawa katika operesheni kali ya jeshi la Afghanistan, katika mkoa wa Nangarhar, kaskzini mwa nchi.
-
Zarif: Masunni na Mashia lazima waungane kuzima ugaidi
Jul 24, 2016 00:00Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani hujuma ya kigaidi ya hapo jana iliyosababisha vifo vya makumi ya watu nchini Afghanistan na kusisitiza kuwa, wakati umefika kwa Waislamu wa madhehebu ya Shia na Sunni waungane kwa shabaha ya kulikabili kwa pamoja jinamizi la ugaidi.
-
Rouhani: Ugaidi ni tishio kwa dunia nzima
Jul 06, 2016 00:02Rais Hassan Rouhani wa Iran ametoa mkono wa kheri na nafaka kwa kuwadia sherehe za Idul-Fitri na kumalizika mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa marais wa nchi za Kiislamu na kusema kuwa, jinamizi la ugaidi ni tishio sio tu kwa nchi jirani na marafiki wa Jamhuri ya Kiislamu katika eneo hili Mashariki ya Kati, bali kote duniani.
-
Iran yakosoa ukosefu wa misaada ya kimataifa kwa wakimbizi Waafghani nchini
Jun 18, 2016 23:43Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif ameikosoa jamii ya kimataifa kwa kutotoa misaada ya kutosha kwa ajili ya wakimbizi wa Afghanistan walioko nchini. Aidha amesisistiza kuhusu umuhimu wa kuandaa mazingira ya wakimbizi hao kurejeshwa kwa hiari nchini Afghanistan.
-
Hujuma ya kigaidi msikitini Afghanistan, wanne wauawa
Jun 10, 2016 23:16Watu wanne wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa wakati magaidi walipoulenga msikiti kwa bomu katika mkoa wa Nangarhar mashariki mwa Afghanistan.
-
Raia wa Afghanistan aachiliwa huru kutoka jela ya Guantamano baada ya miaka 14
May 21, 2016 02:55Wizara ya Ulinzi ya Marekani imetangaza kuwa, tume ya kuchunguza faili za msamaha katika jela ya Guantanamo, imetoa amri ya kuachiliwa huru Ubaidullah, raia wa Afghanistan ambaye amekuwa akizuiliwa ndani ya jela hiyo ya kuogofya kwa miaka 14 sasa.
-
Pentagon: Hujuma ya US dhidi ya hospitali Afghanistan sio jinai ya kivita
Apr 30, 2016 03:14Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) imetetea mashambulizi ya anga yaliyofanywa na jeshi lake dhidi ya hospitali moja nchini Afghanistan mwishoni mwa mwaka jana 2015.
-
Alkhamisi 28 Aprili 2016
Apr 27, 2016 23:52Leo ni Akhamisi tarehe 20 Rajab 1437 Hijria sawa na tarehe 28 Aprili 2016.
-
Makumi wauawa katika shambulizi la bomu Kabul, Afghanistan
Apr 19, 2016 03:26Makumi ya watu wameuawa na mamia ya wengine kujeruhiwa katika mripuko wa bomu ulioutikisa mji wa Kabul karibu na ubalozi wa Marekani nchini Afghanistan mapema leo.