Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afghanistan

  • Shamkhani asisitiza ushirikiano wa kistratejia kati ya Iran na Afghanistan

    Shamkhani asisitiza ushirikiano wa kistratejia kati ya Iran na Afghanistan

    Aug 06, 2016 08:53

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesisitiza udharura wa kuendelezwa mazungumzo ya kiusalama kati ya Tehran na Kabul ili kupata njia ya kudumu ya kurejesha amani katika mipaka ya pamoja na kupambana na ugaidi.

  • Magaidi 120 wa Daesh wauawa Afghanistan

    Magaidi 120 wa Daesh wauawa Afghanistan

    Jul 26, 2016 23:30

    Makumi ya wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh wameuawa katika operesheni kali ya jeshi la Afghanistan, katika mkoa wa Nangarhar, kaskzini mwa nchi.

  • Zarif: Masunni na Mashia lazima waungane kuzima ugaidi

    Zarif: Masunni na Mashia lazima waungane kuzima ugaidi

    Jul 24, 2016 00:00

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani hujuma ya kigaidi ya hapo jana iliyosababisha vifo vya makumi ya watu nchini Afghanistan na kusisitiza kuwa, wakati umefika kwa Waislamu wa madhehebu ya Shia na Sunni waungane kwa shabaha ya kulikabili kwa pamoja jinamizi la ugaidi.

  • Rouhani: Ugaidi ni tishio kwa dunia nzima

    Rouhani: Ugaidi ni tishio kwa dunia nzima

    Jul 06, 2016 00:02

    Rais Hassan Rouhani wa Iran ametoa mkono wa kheri na nafaka kwa kuwadia sherehe za Idul-Fitri na kumalizika mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa marais wa nchi za Kiislamu na kusema kuwa, jinamizi la ugaidi ni tishio sio tu kwa nchi jirani na marafiki wa Jamhuri ya Kiislamu katika eneo hili Mashariki ya Kati, bali kote duniani.

  • Iran yakosoa ukosefu wa misaada ya kimataifa kwa wakimbizi Waafghani nchini

    Iran yakosoa ukosefu wa misaada ya kimataifa kwa wakimbizi Waafghani nchini

    Jun 18, 2016 23:43

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif ameikosoa jamii ya kimataifa kwa kutotoa misaada ya kutosha kwa ajili ya wakimbizi wa Afghanistan walioko nchini. Aidha amesisistiza kuhusu umuhimu wa kuandaa mazingira ya wakimbizi hao kurejeshwa kwa hiari nchini Afghanistan.

  • Hujuma ya kigaidi msikitini Afghanistan, wanne wauawa

    Hujuma ya kigaidi msikitini Afghanistan, wanne wauawa

    Jun 10, 2016 23:16

    Watu wanne wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa wakati magaidi walipoulenga msikiti kwa bomu katika mkoa wa Nangarhar mashariki mwa Afghanistan.

  • Raia wa Afghanistan aachiliwa huru kutoka jela ya Guantamano baada ya miaka 14

    Raia wa Afghanistan aachiliwa huru kutoka jela ya Guantamano baada ya miaka 14

    May 21, 2016 02:55

    Wizara ya Ulinzi ya Marekani imetangaza kuwa, tume ya kuchunguza faili za msamaha katika jela ya Guantanamo, imetoa amri ya kuachiliwa huru Ubaidullah, raia wa Afghanistan ambaye amekuwa akizuiliwa ndani ya jela hiyo ya kuogofya kwa miaka 14 sasa.

  • Pentagon: Hujuma ya US dhidi ya hospitali Afghanistan sio jinai ya kivita

    Pentagon: Hujuma ya US dhidi ya hospitali Afghanistan sio jinai ya kivita

    Apr 30, 2016 03:14

    Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) imetetea mashambulizi ya anga yaliyofanywa na jeshi lake dhidi ya hospitali moja nchini Afghanistan mwishoni mwa mwaka jana 2015.

  • Alkhamisi 28 Aprili 2016

    Alkhamisi 28 Aprili 2016

    Apr 27, 2016 23:52

    Leo ni Akhamisi tarehe 20 Rajab 1437 Hijria sawa na tarehe 28 Aprili 2016.

  • Makumi wauawa katika shambulizi la bomu Kabul, Afghanistan

    Makumi wauawa katika shambulizi la bomu Kabul, Afghanistan

    Apr 19, 2016 03:26

    Makumi ya watu wameuawa na mamia ya wengine kujeruhiwa katika mripuko wa bomu ulioutikisa mji wa Kabul karibu na ubalozi wa Marekani nchini Afghanistan mapema leo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS