Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • WHO: Kampeni ya kutoa chanjo barani Afika inaenda mwendo wa kinyonga

    WHO: Kampeni ya kutoa chanjo barani Afika inaenda mwendo wa kinyonga

    Dec 16, 2021 13:11

    Shirika la Afya Duniani limetangaza kuwa, kuna uwezekano kwamba, itakuchua muda wa kufikia nusu ya pili ya mwaka 2024 ili bara la Afrika liweze kutoa chanjo ya virusi vya corona kwa asilimia 70 ya jamii ya watu wa bara hilo.

  • Shirika la Iran Khodro laanza tena kuunda magari Afrika

    Shirika la Iran Khodro laanza tena kuunda magari Afrika

    Dec 14, 2021 23:01

    Shirika la Iran Khodro, ambalo ndilo shirika kubwa zaidi la kuunda magari Asia Magharibi, limetangaza kufungua tena kiwanda chake cha kuunda magari nchini Senegal.

  • Mahojiano na Balozi Joshua I Gatimu wa Kenya mjini Tehran + Sauti

    Mahojiano na Balozi Joshua I Gatimu wa Kenya mjini Tehran + Sauti

    Dec 13, 2021 13:20

    Jumapili ya jana ya Disemba 12, 2021, Wakenya waliadhimisha siku ambayo taifa hilo lilipata uhuru wake kutoka kwa mkoloni Muingereza.

  • Afrika CDC: Dunia isibabaike kutokana na kirusi cha Omicron

    Afrika CDC: Dunia isibabaike kutokana na kirusi cha Omicron

    Dec 03, 2021 00:55

    Mkurugenzi wa Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa cha Afrika (Africa CDC) ametoa mwito kwa jamii ya kimataifa kuwa watulivu na iache kubabaika kutokana na kugunduliwa spishi mpya ya kirusi cha corona aina ya Omicron.

  • Mkutano wa 3 wa mabinti wa Kiafrika wa kupiga vita ndoa za Utotoni wafanyika Niger

    Mkutano wa 3 wa mabinti wa Kiafrika wa kupiga vita ndoa za Utotoni wafanyika Niger

    Nov 18, 2021 23:28

    Niger imekuwa mwenyeji wa Mkutano wa Tatu wa Mabinti wa Kiafrika ambao ulianza shughuli zake tarehe 16 hadi 18 mwezi huu wa Novemba.

  • Kifo cha FW De Klerk chaibua hisia tofauti nchini Afrika Kusini

    Kifo cha FW De Klerk chaibua hisia tofauti nchini Afrika Kusini

    Nov 12, 2021 04:23

    Kifo cha rais wa mwisho mweupe wa utawala wa ubaguzi wa rangi nchini Afrika Kusini, Frederik Willem (FW) de Klerk kimeibua hisia tofauti baina ya raia na wanasiasa ndani na nje ya nchi hiyo.

  • HAMAS yapongeza jitihada za kupokonywa Israel uanachama wa AU

    HAMAS yapongeza jitihada za kupokonywa Israel uanachama wa AU

    Oct 18, 2021 00:23

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imepongeza na kuunga mkono jitihada zinazoendelea za kuupokonya utawala wa Kizayuni wa Israel kibali cha kuwa mwanachama mtazamaji wa Umoja wa Afrika (AU).

  • Faki Mahamat: Utegemezi unatishia uhuru wa kujitawala AU

    Faki Mahamat: Utegemezi unatishia uhuru wa kujitawala AU

    Oct 15, 2021 00:49

    Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amesema mataifa ya bara hilo yanapaswa kushirikiana na kufanya kazi pamoja, ili kuhakikisha kuwa yanaondokana na utegemezi na vilevile yanajikomboa kifedha.

  • AU yaunga mkono kuundwa kikosi cha pamoja nchini Somalia

    AU yaunga mkono kuundwa kikosi cha pamoja nchini Somalia

    Oct 12, 2021 04:37

    Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika limetangaza kuunga mkono pendekezo la kuundwa kikosi cha pamoja cha Umoja wa Mataifa nchini Somalia, kitakachochukua nafasi ya Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini humo (Amisom), iwapo wazo hilo litapasishwa.

  • Russia: Matatizo ya bara la Afrika inapasa yatatuliwe na viongozi wa nchi za Afrika

    Russia: Matatizo ya bara la Afrika inapasa yatatuliwe na viongozi wa nchi za Afrika

    Oct 07, 2021 23:20

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema, matatizo ya baraza la Afrika inapasa yatatuliwe na viongozi wa nchi za Afrika na akaongeza kwamba Russia inaweza kuandaa mazingira ya kuwekwa askari wa kulinda amani barani humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS