-
UN yatafuta dola milioni 266 kuwanusuru wakimbizi milioni tatu katika nchi za Afrika Mashariki
Mar 03, 2021 00:52Mashirika ya Umoja wa Mataifa yanasaka dola milioni 266 ili kunusuru wakimbizi milioni tatu waliokumbwa na mkato wa mgao kwenye nchi za Afrika Mashariki.
-
Iran yasafirisha kwa wingi matrekta katika nchi za Afrika, Asia
Feb 07, 2021 04:10Afisa Mkuu Mtendaji wa Shirika la Kuzalisha Matrekta la Iran amesema nchi hii imeanza kuuza kwa wingi tingatinga katika nchi za Afrika, Asia na Amerika ya Latini.
-
Viongozi wa Afrika leo wanakutana kujadili corona, usalama
Feb 06, 2021 01:19Viongozi wa bara la Afrika leo wanashiriki katika Mkutano wa 34 wa Kilele wa Umoja wa Afrika kujadili masuala ya usalama na janga la corona au COVID-19.
-
Afrika yaagiza dozi milioni 400 zaidi za Covid-19
Jan 29, 2021 04:08Kituo cha Umoja wa Afrika cha kudhibiti na kuzuia magonjwa (Africa-CDC) kimesema bara hilo limefanikiwa kuagiza dozi milioni 400 za chanjo za Covid-19 zaidi, baada ya kuagiza dozi milioni 270 za chanjo hizo hapo awali.
-
Mamia ya mamilioni ya Waafrika wanangojea kupatiwa chanjo ya corona
Jan 24, 2021 10:26Kuzuka kirusi kinachosambaa kwa kasi zaidi cha corona barani Afrika kumesababisha kuongezeka kwa kasi idadi ya watu wanaoambukizwa maradhi ya Covid-19 barani humo; na kutokana na hali hiyo, kupatiwa chanjo ya kinga ndiyo matumaini pekee waliyonayo sasa watu wa bara hilo kwa ajili ya kukabiliana na maradhi hayo.
-
Corona imeua wanahabari 28 barani Afrika tokea Machi 2020
Jan 06, 2021 23:07Shirika moja la kufuatilia maslahi ya waandishi wa habari la Uswisi limesema jumla ya waandishi wa habari 600 wameaga dunia kutokana na ugonjwa wa Covid-19 kote duniani tokea mwezi Machi mwaka uliomalizika 2020 hadi sasa, ambapo 28 miongoni mwao ni wa nchi za Afrika.
-
Matokeo ya kuendelea kuwepo kijeshi Ufaransa barani Afrika
Jan 03, 2021 08:53Uwepo wa kijeshi wa Ufaransa katika maeneo mbalimbali barani Afrika ungali unaendelea.
-
Zimbabwe yaanza tena kutekeleza karantini nchi nzima
Jan 03, 2021 04:29Serikali ya Zimbabwe imetangaza kuwa sheria ya karantini ya nchi nzuma imeanza kutekelezwa nchini humo kwa mara nyingine tena kuanza jana usiku kutokana na kuongezeka maambukizi mapya ya corona.
-
Eneo la Biashara Huru la Afrika, AfCFTA, laanza rasmi kazi
Jan 01, 2021 23:15Eneo la Biashara Huru la Afrika, AfCFTA, limezinduliwa rasmi Januari Mosi 2021 ikiwa ni hatua kubwa katika kujumuisha soko la pamoja la nchi za Afrika.
-
CDC yaonya dhidi ya hatari ya kuicheleweshea Afrika chanjo ya Covid-19
Jan 01, 2021 00:45Taasisi kuu ya kudhibiti magonjwa barani Afrika imetahadharisha kuwa, dunia itajiingiza katika matatizo ya kimaadili iwapo nchi za Afrika zitachelewa kupokea chanjo za ugonjwa wa Covid-19, wakati huu ambapo aghalabu ya nchi tajiri duniani zimeanza kuwachanja wananchi wao.