-
Israel yawasweka jela wakimbizi wa Kiafrika
Feb 22, 2018 00:59Israel imewafunga jela Waafrika 7 raia wa Eritrea walioomba hifadhi katika utawala huo baada ya wakimbizi hao kukataa kupelekwa Rwanda kwa mabavu.
-
Bi Ellen Johnson Sirleaf ashinda tuzo ya uongozi bora Afrika yenye thamani ya dola milioni 5
Feb 12, 2018 10:49Rais wa zamani wa Liberia Bi Ellen Johnson Sirleaf aliyewahi kushinda tunzo ya amani ya Nobel na ambaye pia ni mwanamke wa kwanza Mwafrika kuwahi kuchaguliwa kuwa rais wa nchi, ameshinda tuzo ya mwaka ya Mo Ibrahim katika suala la uongozi bora barani Afrika ambayo hutunukiwa viongozi wa Afrika waliofanya vyema katika utawala bora.
-
Ulimwengu wa Spoti, Feb 12
Feb 12, 2018 03:52Huu ni mkusanyiko wa matukio muhimu ya michezo yaliyojiri kitaifa na kimataifa, ndani ya siu saba zilizopita.....
-
Indhari ya WFP kuhusu kuenea njaa kusini mwa Afrika
Feb 10, 2018 12:47Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula Duniani (WFP) limetahadharisha kuhusu kuenea njaa eneo la kusini mwa Afrika.
-
Marais wanne wa Afrika, wahanga wa vitendo vya wake zao wenyewe
Feb 05, 2018 01:09Gazeti moja la Kiarabu limechapisha makala inayoonesha namna marais wanne wa nchi za Afrika walivyokuwa wahanga wa vitendo vya wake zao na baadhi yao hata kupoteza nafasi zao za uongozi.
-
Ulimwengu wa Michezo: Morocco yatwaa taji la CHAN, Iran yazinyuka China na Myanmar Futsal
Feb 05, 2018 03:42Hujambo mpenzi mwanaspoti wa RT na karibu tutupie jicho matukio mawili matatu ya michezo yaliyogonga vichwa habari ndani ya siku saba zilizopita, kitaifa na kimataifa....
-
Israel yaanza kuwapa wahajiri wa Afrika ilani ya kutimuliwa
Feb 05, 2018 01:08Utawala wa Kizayuni wa Israel umeanza kuwapa ilani ya kutimuliwa maelfu ya wahajiri wa Kiafrika walioingia katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala huo haramu.
-
Safari ya Rais wa Ufaransa Afrika
Feb 03, 2018 23:11Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amefanya safari huko Tunisia na Senegal na kufanya mashauriano na viongozi wa ngazi za juu wa nchi mbili hizo kuhusu masuala mbalimbali kama kuzidisha ushirikiano wa pande mbili, mapambano dhidi ya ugaidi na masuala yanayohusiana na Libya.
-
Nchi za Afrika zakasirishwa na uingiliaji kijeshi wa UAE nchini Eritrea na Somalia
Jan 30, 2018 04:16Baadhi ya nchi za Kiafrika zimepinga vikali hatua ya Umoja wa Falme za Kiarabu, UAE, kujenga vituo vya kijeshi na kuingilia mambo ya ndani ya Eritrea na Somalia.
-
Umoja wa Afrika kuwawekea vikwazo wanaohatarisha amani Sudan Kusini
Jan 29, 2018 03:00Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amesema umoja huo utawawekea vikwazo wale wote wanakwaza na kutatiza juhudi za kurejesha amani na usalama nchini Sudan Kusini.