Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Afrika

  • Uamuzi wa Afrika wa kurejesha amani kieneo na kimataifa

    Uamuzi wa Afrika wa kurejesha amani kieneo na kimataifa

    Jan 29, 2018 01:07

    Wakuu wa nchi za Afrika wamechukua uamuzi wa kuzidisha jitihada kwa ajili ya kurejesha amani katika uga wa kieneo na kimataifa.

  • Barua ya Trump kwa viongozi wa nchi za Kiafrika

    Barua ya Trump kwa viongozi wa nchi za Kiafrika

    Jan 29, 2018 01:05

    Katika barua aliyowaandikia viongozi wa nchi za Afrika Rais Donald Trump wa Marekani amedai kwamba, anawaheshimu sana watu wa bara hilo.

  • Guterres asema dunia haiwezi kuwa na amani bila kusuluhishwa migogoro ya Afrika

    Guterres asema dunia haiwezi kuwa na amani bila kusuluhishwa migogoro ya Afrika

    Jan 28, 2018 04:23

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesisitizia umuhimu wa kupatiwa ufumbuzi changamoto na migogoro inayozikumba nchi za bara Afrika kwa maslahi ya amani na maendeleo ya dunia.

  • Trump awaandikia barua viongozi wa nchi za Afrika, adai kuwa

    Trump awaandikia barua viongozi wa nchi za Afrika, adai kuwa "anawaheshimu sana" Waafrika

    Jan 28, 2018 00:59

    Rais Donald Trump wa Marekani amewaandikia barua viongozi wa nchi 55 za Afrika wanaokutana kwenye kikao cha Umoja wa Afrika (AU) mjini Addis Ababa, Ethiopia akisema kuwa "anawaheshimu sana" watu wa bara hilo.

  • Tahadhari yatolewa kuhusu kuenea ugonjwa wa malaria barani Afrika

    Tahadhari yatolewa kuhusu kuenea ugonjwa wa malaria barani Afrika

    Jan 27, 2018 01:04

    Viongozi wa Umoja wa Afrika na wa Shirika la Afya Duniani WHO wametahadharisha kuhusiana na uwezekano wa kuenea na kusambaa zaidi ugonjwa wa malaria barani Afrika.

  • Mawaziri wa Mambo ya Nje wa nchi za Afrika wakamilisha mkutano wao Addis Ababa

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa nchi za Afrika wakamilisha mkutano wao Addis Ababa

    Jan 26, 2018 13:20

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa nchi wanachama katika Umoja wa Afrika (AU) wamekamilisha mkutano wao leo Ijumaa mjini Addis Ababa huko Ethiopia.

  • Msimamo wa Umoja wa Afrika dhidi ya siasa za chuki na dharau za Trump

    Msimamo wa Umoja wa Afrika dhidi ya siasa za chuki na dharau za Trump

    Jan 26, 2018 08:27

    Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amewataka viongozi wa bara la Afrika kujibu matamshi ya kipumbavu na ya matusi ya Rais wa Marekani dhid ya Waafrika.

  • AU: Afrika haiwezi kunyamazia kimya matusi ya Trump

    AU: Afrika haiwezi kunyamazia kimya matusi ya Trump

    Jan 26, 2018 03:44

    Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amesema bara la Afrika lilishtushwa na lingali linaendelea kutafakari kuhusu kauli chafu na ya kebehi iliyotolewa na Rais Donald Trump wa Marekani, kwamba wahamiaji wanaoingia nchini Marekani kutoka bara hilo, Haiti na El Salvador wanatoka kwenye nchi za "shimo la kinyesi".

  • Uchumi wa Bara Afrika watazamiwa kustawi kwa kasi mwaka 2018

    Uchumi wa Bara Afrika watazamiwa kustawi kwa kasi mwaka 2018

    Jan 26, 2018 00:25

    Uchumi wa bara Afrika unatazamiwa kustawi kwa asilimia 3.5 mwaka huu wa 2018 hilo likuwa ni ongezeko la 0.3 kutoka mwaka 2017, amesema afisa wa Umoja wa Mataifa.

  • Ulimwengu wa Spoti, Jan 22

    Ulimwengu wa Spoti, Jan 22

    Jan 22, 2018 03:12

    Hujambo mpenzi mwanaspoti na karibu katika dakika hizi chache zilizotengwa kwa ajili ya kuangazia matukio mawili matatu ya michezo yaliyogonga vichwa vya habari kitaifa na kimataifa. Usibanduke kando ya radio yako hadi tamati ya kipindi……..Karibu…..

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS